Hajaona mafundi wa viatu na shoe shiner ambao hata machinga wafukuzwe vipi, wao watabaki pale pale, wametegeshwa nje ya majengo ya kimkakati, njia panda, hospitali, madaraja muhimu, Ofisi muhimu.masoko, feri, hospitali kubwaJidanganye mzee,Kuna TISS wengi sana wametapakaa,huko posta ndo usiseme
Tiss ina nini cha maana?
Kwanini wasishirikiane na vyo7mbo vyetu vya usalama ili kudhibiti kuliko kuwatia wananchi hofu waishi bila furaha? Kauli zao tumesha zizoea, mfano Balozi wetu nchini Marekani atoe Taarifa kwa Watanzania na Raisa wa East Afrika wasitemblee Marekani kuna matishio ya watu kuuliwa kwa kupigwa Risasi unafkiri huyo Barozi wetu si angepewa Masaa 24 aondoke Marekani, Mabalozi kama awa ndiyo maana Magufuli alikuwa ana warudisha makwao uko.
Amen & akhsante sana ndugu.Ni vyema sana umemjibu huyo bwana kwa utu na uungwana... kuliko wenye kumshushua na kumbeza!
Mwenyezi mungu akubariki sana! 👊🏾👍🏾
Shida ya kuwapa watu uhuru uliopitiliza unakuwa na changamoto zake.Mbona nasikia raia wanauwana hovyo kwa sababu ya urahisi wa kumiliki silaha na serikali haifanyi kitu?
Hivi kama hawa jamaa huwa wanajua kuna dalili ya ugaidi, kwanini huwa hawatuambii hivyo vitisho vitatokea wapi ili vikamalizwe huko huko, kuliko wanavyofanya kutoa tahadhari pekee na kutuacha njia panda?
Kuna ma-westerners wa tandale akina diamondo, kiba, konde boy.....Mzungu kaandika hapo kasema tishio ji kwa maeneo yanayotembelewa zaidi na wamagharibi (wazungu)....."areas frequented by westerners". Siyo maeneo ya Mwembeyanga na Kwamtogole ambako waswahili wamejaa.
Kazi ya watu wa usalama ni nini?Tuzuie mikusanyiko kwa muda
wanasemaJmn mnaojua kingereza tutafsirien kuna hali ya hatari au!! [emoji849]naona neno terrorist hapo!
wanatupa taharuki tengefu na mshindo nyumaSasa CHADEMA mkiambiwa msikusanye watu mpaka tishio liishe, mtasema mnaonewa, aliyesema ndio moja ya watu wenu. Na mtu wenu akiambiwa asifanye mkutano wa hadhara analia, akiachiwa akadhurika, anaililia serikali.
View attachment 2495531
Nasikia hao wauza silaha ni ndio kikwazo ni kama wauza unga.Shida ya kuwapa watu uhuru uliopitiliza unakuwa na changamoto zake.
Katika kuhakikisha usalama wa raia unakuwepo kwa hali na mali, Joe Biden anataka kupeleka muswada wa kuzuia uuzaji holela na umiliki holela wa silaha. Hiyo ni hatua muhimu sana kulinda raia.
Hao wageni wa kwenda misikitini ni waarabu au?wanasema
maeneo yanayolengwa sana ni yale yanayotembelewa na wageni kutoka hasa raia wa Marekani na nchi za Magharibi maeneo ya Draesalaam, maeneo mengine ya Tanzania kama hotel, migahawa, balozi mbalimbali, vituo vya polisi,misikiti,masoko ya kawaida na masoko makubwa "Mall" na sehemu za wageni
Neno wageni ni pana sana elewa tu hilo, na sio kila avae kanzu na kuingia msikitini ni muislamu au mwarabu na sio kila avae msalaba na kuingia kanisani ni Mkristo au mzungu watu wajanja sana boss wanguHao wageni wa kwenda misikitini ni waarabu au?
Kwani ulisema hujui utachekwa.Naifahamu kwa kina
Mkuu, umeniunganishia tu, Lisu hajatajwa!Lissu anahusikaje hapo mkuu acha chuki ww tukufuatilie huenda ulihusika kumpga risasi
Magaidi ni haohao USAHivi kama hawa jamaa huwa wanajua kuna dalili ya ugaidi, kwanini huwa hawatuambii hivyo vitisho vitatokea wapi ili vikamalizwe huko huko, kuliko wanavyofanya kutoa tahadhari pekee na kutuacha njia panda?
... hasa penye raia wengi wa kigeni/wa magharibi.Ubalozi wa Marekani unasema tuwe makini na mashambulio ya kigaidi, hayo makundi ya kigaidi yanaweza kushambulia kwa kutoa onyo dogo au wasitoe kabisa, wanadai kuna dalili Dsm au maeneo mengine ya Tanzania yakashambuliwa na magaidi, maeneo hayo yanayoweza kushambuliwa ni kama hoteli, balozi, migahawa na masoko.
sasa we umeshajijengea imani mbaya na Waislam... hao sio magaidi na wala sio maana yake. Futa hiyo na relax!Itachukua miaka mingi kufuta hiyo kitu vichwani mwa watu wengi, tena hasa wale wavaa suruali fupi ndo hao niko jirani nao
Hujajibu swali we mpumbavu! Mimi sijaleta ujuaji... tuambie Hamza ni nani na alifanya nini?! Na zipi sababu za yeye kufanya aliyofanya?!Punguza ujuaji hata Habib Anga aliwahi kuleta thread juu ya mpango wa kuvamia Mlimani City ila ukawa botched na TISS dakika za mwisho baada ya kutonywa na majasusi wa nje!!
Ndio nasema kwanini huwa hamuwezi fikiria uwepo wa gunman kma Hamza eneo kama kariakoo au Manzese Ili hata likitokea la kutokea akutane na askari standby? Ila intelijensia yenu imejikita kwenye Chadema tu na kudukua simu za viongozi.
Empty set kabisa