Ndugu hakuna haja ya kuhangaika na hawa chadema wanaohangaika kukata roho. Ina maana wao sera yao ni ipi? In short hakuna maendeleo ya watu bila vitu labda kama kuna vitu wanavyovilenga wao watuambie waziwazi ni vitu gani ambavyo ambavyo havileti maendeleo vinavyofanywa na serilai ya awamu ya tano. Wanaitumia kauli ya mwalimu Nyerere kisiasa tena kwa kuipotosha zaidi. Hivi niulize swali moja tu, Ni vitu gani ambavyo serikali ya awamu ya tano chini ya Jemedali Magufuli inavifanya ambavyo havikufanyika wakati wa serikali ya awamu ya kwanza chini ya mwalimu Nyerere?
Je Nyerere hakujenga mabawa ya umeme tena kwa fedha za mkopo, hakujenga reli (TAZARA) tena kwa mkopo wenye riba nafuu/usiokuwa nba riba, Hakujenga vivuko na madaraja, hakujenga shule za msingi, sekondari na vyuo, hakujenga viwanda, hakujenga zahanati, vituo vya afya na hospitali, hakununua ndege 11 kwa ajili ya shirika la AirTanzania, hakujenga barabara hata kama ni za changarawe (kulingana na uchiumi wetu wakati huo, hakutengeneza na kukarabati meli kwenye maziwa na bahari ya nchi yetu, Hakuwekeza kwenye kuboresha bandari zetu n.k n.k n.k? CHADEMA NI CHAMA KILICHOKOSA SERA NA ITIKADI INAYOELEWEKA WAMEBAKI KUONGEA PUMBA TU. TUNATAKA CHADEMA WATUAMBIE WAO WAKIINGIA MADARAKANI WATAFANYA NINI NA WALA SI KULAUMU BILA KUTUAMBIA NJIA MBADALA.
Kimsingi Raisi Magufuli ndiye anayemuenzi kimatendo mwalimu Nyerere kwa kufanya yale yote ambayo mwalimu aliamini kwamba ndio chachu ya maendeleo ya watanzania.