Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Tahadhari hii ili tolewa vile vile Masaki, Dar es Salaam. Au ya Masaki imekwisha ondolewa. Mambo ya mahangaiko ya kisiasa tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeishia darasa la ngapiSasa ubalozi wa Marekani kwanini uzungumzie mambo ya Jamuhuri huru ya Muungano ya Tanzania?
Hapo nao wanaanza kukwama
La hamna mkuuUmeishia darasa la ngapi
Marekani kwenyewe hali tete Wazungu kibao wamesha nunua silahaa wameziweka majumbani wanasikilizia mwisho itakuwaje na huo Uchaguzi wao!! Trump hakubali Matokeo!!Kupitia akaunti yao ya tweeter marekani wametoa tahadhari kuhusu usalama katika mkoa wa Mtwara.
NB
Kwa nini serikali yetu ya Tanzania haijatoa tahadhari wakati serikali ya Marekani wanatoa tahadhari kuhusu usalama wetu??
Kuna mengi tunafichwa
Na kwa mwenye kufikiria atatambua kwa nini Rais Magufuli HAKUFANYA KAMPENI KUSINI??
Ukisema hivi inamaana Serikali yetu isifanye lolote kuhusu hali ya usalama huko MtwaraMarekani kwenyewe hali tete Wazungu kibao wamesha nunua silahaa wameziweka majumbani wanasikilizia mwisho itakuwaje na huo Uchaguzi wao!! Trump hakubali Matokeo!!
Kazi nzuri anayoizungumza ni kusaidia kupora kura za wananchi.Mambo huko kusini sio mazuri, japo nimemsikia jamaa akivisifia sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi vizuri.
Anyway, kama amedanganya kuhusu "ushindi wa kishindo" walioupata, kwanini asidanganye na hili?!
Sasa ubalozi wa Marekani kwanini uzungumzie mambo ya Jamuhuri huru ya Muungano ya Tanzania?
Hapo nao wanaanza kukwama.
Kupitia akaunti yao ya tweeter marekani wametoa tahadhari kuhusu usalama katika mkoa wa Mtwara.
NB
Kwanini Serikali yetu ya Tanzania haijatoa tahadhari wakati serikali ya Marekani wanatoa tahadhari kuhusu usalama wetu??
Kuna mengi tunafichwa
Na kwa mwenye kufikiria atatambua kwa nini Rais Magufuli HAKUFANYA KAMPENI KUSINI??
Kote huko ni CCM acha watafunwe sawasawaMungu tusaidie wengine tuna ndugu, jamaa na marafiki huko Mtwara.
Inaonekana (perception)Unaonekana hujui kitu na akili yako bado sana sana.
Kwani sisi balozi wetu pale Marekani yupo kwa interest ya nani?wamarekani ni very strategic and is for there interest tu
Marekani ipi hiyo unayozungumzia?!Marekani kwenyewe hali tete Wazungu kibao wamesha nunua silahaa wameziweka majumbani wanasikilizia mwisho itakuwaje na huo Uchaguzi wao!! Trump hakubali Matokeo!!
SIJUIKwani sisi balozi wetu pale Marekani yupo kwa interest ya nani?
Kupitia akaunti yao ya tweeter marekani wametoa tahadhari kuhusu usalama katika mkoa wa Mtwara.
NB
Kwanini Serikali yetu ya Tanzania haijatoa tahadhari wakati serikali ya Marekani wanatoa tahadhari kuhusu usalama wetu??
Kuna mengi tunafichwa
Na kwa mwenye kufikiria atatambua kwa nini Rais Magufuli HAKUFANYA KAMPENI KUSINI??
Mi niko Mtwara mbona niko poa na watu kibao wanaendelea na mishe zao Kama kawa! Acha kuwasikiliza Mabeberu,au humwamini Kamanda Siro!? Wwe unamwamini Balozi wa USA kisa una ndoto za kwenda kuishi huko Marekani!!Ukisema hivi inamaana Serikali yetu isifanye lolote kuhusu hali ya usalama huko Mtwara
Wewe endelea kulala,huna connection,si ndiyo mmefunguliwa Sasa hivi na TCRA!?Marekani ipi hiyo unayozungumzia?!