Ubalozi wa Marekani watoa tahadhari kusafiri kwenda Mtwara

Ubalozi wa Marekani watoa tahadhari kusafiri kwenda Mtwara

Sasa ubalozi wa Marekani kwanini uzungumzie mambo ya Jamuhuri huru ya Muungano ya Tanzania?
Hapo nao wanaanza kukwama.
Ubalozi wa Marekani una wajibu wa kuwaarifu Wamarekani kuhusu hali inayoweza kuathiri usalama wao popote duniani.

Unaelewa hilo?
 
Kwenye hili naona, magufuli kawa mzembe.
Linapokuja suala la usalama wa mtanzania, siasa zikae pembeni.

IGP Sirro ni Mpuuzi tu, mshenzi
 
Umesoma hata hilo tangazo lenyewe au unabwabwaja tu? Wametahadharisha raia wao kwenda Mtwara, wewe kama unaona panakufaa nenda.
Wao waache kwenda sisi hatuwezi kuwatenga Ndugu zetu wa Mtwara
 
Sasa ubalozi wa Marekani kwanini uzungumzie mambo ya Jamuhuri huru ya Muungano ya Tanzania?
Hapo nao wanaanza kukwama.
Nchi yetu imekuwa kama Somalia au Burundi siku hizi.
 
Kupitia akaunti yao ya tweeter marekani wametoa tahadhari kuhusu usalama katika mkoa wa Mtwara.


NB
Kwanini Serikali yetu ya Tanzania haijatoa tahadhari wakati serikali ya Marekani wanatoa tahadhari kuhusu usalama wetu??
Kuna mengi tunafichwa

Na kwa mwenye kufikiria atatambua kwa nini Rais Magufuli HAKUFANYA KAMPENI KUSINI??

"Hakufanya Kampeni Kusini" na bado akashinda kwa kishindo huko huko..., maajabu si hayo?

Ngoja nikuulize swali mkuu 'AbaMukulu":
Ulishasikia kuwa ugonjwa wa corona (COVID-19) upo duniani kote na unaua watu hadi sasa, kasoro Tanzania pekee?

Ni Tanzania pekee ndiko hakuna ugonjwa huo hadi sasa, wewe huoni maajabu makubwa hayo?

Kwa hiyo kutosikia au kutoambiwa juu ya habari yoyote ni mbinu muhimu sana inayotumiwa na aina ya serikali tuliyonayo sasa hivi.
Usishangae, hiyo ni kawaida kwao.
 
Hao Magaidi sio watu wazuri mana wanawakata vichwa watu wasio na hatia wala hawana maamuzi juu ya jambo lolote kwenye Nchi hizi za Msumbuji na Tanzania.

Magaidi ni watu wabaya sana mana wanawaumiza maskini wenzao bila hatia.

Wanateka maskini wenzao na kuwakata vichwa ili iweje sasa.?
 
Wanajua wanachofanya. Wao Marekani ndio wanaotoa Silaha kwa magaidi
 
Kupitia akaunti yao ya tweeter marekani wametoa tahadhari kuhusu usalama katika mkoa wa Mtwara.


NB
Kwanini Serikali yetu ya Tanzania haijatoa tahadhari wakati serikali ya Marekani wanatoa tahadhari kuhusu usalama wetu??
Kuna mengi tunafichwa

Na kwa mwenye kufikiria atatambua kwa nini Rais Magufuli HAKUFANYA KAMPENI KUSINI??

Waandishi wa habari na vyombo vya habari hawana tena uhuru. Wakirusha hizi habari lazima wakamatwe na wafungiwe vyombo vyao. Imagine kila chombo cha habari wako dodoma
 
Sasa ubalozi wa Marekani kwanini uzungumzie mambo ya Jamuhuri huru ya Muungano ya Tanzania?
Hapo nao wanaanza kukwama.
Wamewataarisha raia wao tu...ndio maana wameweka ktk website yao. Km wewe sio raia wao unaa chana nayo hiyo habari.
 
Kupitia akaunti yao ya tweeter marekani wametoa tahadhari kuhusu usalama katika mkoa wa Mtwara.


NB
Kwanini Serikali yetu ya Tanzania haijatoa tahadhari wakati serikali ya Marekani wanatoa tahadhari kuhusu usalama wetu??
Kuna mengi tunafichwa

Na kwa mwenye kufikiria atatambua kwa nini Rais Magufuli HAKUFANYA KAMPENI KUSINI??

Hata kwenye Corona wametoa sana tahadhali, acha waendelea itafika mahala wataacha.
 
Sasa ubalozi wa Marekani kwanini uzungumzie mambo ya Jamuhuri huru ya Muungano ya Tanzania?
Hapo nao wanaanza kukwama.
Huwa wanatoa angalizo kuwalinda raia wao walio katika nchi husika.
 
Ahhhh dah! umesoma lakini hiyo tweeter? Balozi wa Marekani anawatahadharisha wamarekani kutoenda sehemu fulani, hii ni moja ya majukumu yao. Ni jukumu la kibalozi kuwashauri na kuwatahadharisha wananchi wao waliopo au wanaotaka kutembea katika nchi ambayo Balozi mhusika amewekwa. Tafauti na balozi zetu za Tanzania ambazo tuna maofisa wanaojiona na kudharau watanzania wanaofika katika balozi hizo kutaka muongozi au msaada wowote ule.
Mbona Serikali yetu haitoi tamko kuhusu hali ilivyo huko Mtwara?.
 
Back
Top Bottom