Umesoma hata hilo tangazo lenyewe au unabwabwaja tu? Wametahadharisha raia wao kwenda Mtwara, wewe kama unaona panakufaa nenda.
Unaweza kuthibitisha upuuzi wao,Kwenye hili naona, magufuli kawa mzembe.
Linapokuja suala la usalama wa mtanzania, siasa zikae pembeni.
Igp sirro ni Mpuuzi tu, mshenzi
Lack of informationMi niko Mtwara mbona niko poa na watu kibao wanaendelea na mishe zao Kama kawa! Acha kuwasikiliza Mabeberu,au humwamini Kamanda Siro!? Wwe unamwamini Balozi wa USA kisa una ndoto za kwenda kuishi huko Marekani!!
Acha ushabiki wa kipuuzi..! Watu tumeishi Mtwara na tunandugu zetu huko Mtwara kibao tu.Lack of information
Maisha ni kuwa na habari na taarifa kamili kwa wakati
Kama huna taarifa kaa kimya
Kama una taarifa isiyokamili lala
Pia mwenye kufikira, atatambua kwanini Lissu alikatazwa kampeni sehemu hizo na lihelkopta alilokodi!Kupitia akaunti yao ya tweeter marekani wametoa tahadhari kuhusu usalama katika mkoa wa Mtwara.
NB
Kwanini Serikali yetu ya Tanzania haijatoa tahadhari wakati serikali ya Marekani wanatoa tahadhari kuhusu usalama wetu?
Kuna mengi tunafichwa.
Na kwa mwenye kufikiria atatambua kwa nini Rais Magufuli HAKUFANYA KAMPENI KUSINI?
Vyombo vyao vya ujasusi vinaangalia na kufanya kazi dunia nzima, tofauti na nchi kama zetu ambazo usalama wa taifa unaangalia ndani ya nchi.Hivi kwa nini marekani inajua sana magaidi kuliko hata majeshi yetu. Kila mara wanatoa tahadhari kabla ya mambo hayajatomea na marazote hutokea. Naanza kufikiria kama sio marekani wenyewe ni magaidi basiwana ufungamano wa karibu sana na magaidi. Sidhani kama kuna mwingine anawaza kama mimi
JF huwa inanipa furaha sana haiwezi kupita Siku bila kuingia humu jamvini.Unaendeleza mkurupuko, Mimi siyo mwenye thread mkuu.
Wewe jamaa kweli kichwa CCM, wako hapa kwa maslahi ya Taifa lao na wananchi wake, hiyo tahadhali ni kwa wananchi wa Marekani wewe inakuhusu nini?Sasa ubalozi wa Marekani kwanini uzungumzie mambo ya Jamuhuri huru ya Muungano ya Tanzania?
Hapo nao wanaanza kukwama.
Mkuu umelisoma tangazo kweli? Hajakwambia wewe Mataga, ni tahadhali kwa raia wa Marekani so wewe endelea na mishe zakoMi niko Mtwara mbona niko poa na watu kibao wanaendelea na mishe zao Kama kawa! Acha kuwasikiliza Mabeberu,au humwamini Kamanda Siro!? Wwe unamwamini Balozi wa USA kisa una ndoto za kwenda kuishi huko Marekani!!
Kuna raia wa Marekani anayeishi huko Mtwara? Hii ni tahadhali kwa raia wa Marekani tu. JielimisheAnaye ishi mtwara afanyaje?
Mungu wabariki Wazungu
Hahaaaaaaaa. Kamanda bwana. Tulia tuKumekucha!
Unasahau kuwa hao marecakani ni wafadhili wa maghaidi hao ili waibe gesi yetu na mafuta yetu.Hivi hawawezi kufungiwa ubalozi ili nchi iwe salama?Kupitia akaunti yao ya tweeter marekani wametoa tahadhari kuhusu usalama katika mkoa wa Mtwara.
NB
Kwanini Serikali yetu ya Tanzania haijatoa tahadhari wakati serikali ya Marekani wanatoa tahadhari kuhusu usalama wetu?
Kuna mengi tunafichwa.
Na kwa mwenye kufikiria atatambua kwa nini Rais Magufuli HAKUFANYA KAMPENI KUSINI?
Hata ukiambiwa utafanyaje sasa?Kupitia akaunti yao ya tweeter marekani wametoa tahadhari kuhusu usalama katika mkoa wa Mtwara.
NB
Kwanini Serikali yetu ya Tanzania haijatoa tahadhari wakati serikali ya Marekani wanatoa tahadhari kuhusu usalama wetu?
Kuna mengi tunafichwa.
Na kwa mwenye kufikiria atatambua kwa nini Rais Magufuli HAKUFANYA KAMPENI KUSINI?
Wamesikia magufuli anasema na kiwanda cha LNG cha gesi kitajenngwa mtwara wameanza kutukwamisha,Unasahau kuwa hao marecakani ni wafadhili wa maghaidi hao ili waibe gesi yetu na mafuta yetu.Hivi hawawezi kufungiwa ubalozi ili nchi iwe salama?
Huku wakitutisha kwenye mabaa kwamba una jeuri ukija ubalozini na shida zako sikusaidii.Ahhhh dah! umesoma lakini hiyo tweeter? Balozi wa Marekani anawatahadharisha wamarekani kutoenda sehemu fulani, hii ni moja ya majukumu yao. Ni jukumu la kibalozi kuwashauri na kuwatahadharisha wananchi wao waliopo au wanaotaka kutembea katika nchi ambayo Balozi mhusika amewekwa. Tafauti na balozi zetu za Tanzania ambazo tuna maofisa wanaojiona na kudharau watanzania wanaofika katika balozi hizo kutaka muongozi au msaada wowote ule.
Hiki ndicho tunakataa watanzania. Mtwara, Lindi, Muleba, Kigoma, Tanga, Tabora, Singida, Kondoa, na baadhi ya wilaya na mikoa iliyoshamiri Uislam, tafadhali wananchi wa huko rudini shule. HAKUNA Mungu anaruhusu watoto wake wauane kwani ni dhambi iliyokatazwa na yeye mwenyewe. Mnadanganyika na nini? Jamani, shule muhimu sana.Kupitia akaunti yao ya tweeter marekani wametoa tahadhari kuhusu usalama katika mkoa wa Mtwara.
NB
Kwanini Serikali yetu ya Tanzania haijatoa tahadhari wakati serikali ya Marekani wanatoa tahadhari kuhusu usalama wetu?
Kuna mengi tunafichwa.
Na kwa mwenye kufikiria atatambua kwa nini Rais Magufuli HAKUFANYA KAMPENI KUSINI?
Si afadhali ya hilo wanakutishia tu, UK wanajiona wao ni Miungu.huku wakitutisha kwenye mabaa kwamba una jeuri ukija ubalozini na shida zako sikusaidii.