Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Muda utasema, mitandao ya kwao imeandika. Mfano ارقام : اخبار ومعلومات سوق الأسهم السعودي - تاسي pia mitandao mingine ya kimataifa. Tanzania magazeti mengi yameandika, waache kukataa walifanya. Shida nini?
Muda ni mwalim mzuri
 
Inasikitisha nini. Au inasikitisha kwa wewe kutoelewa kiingereza
Kwa hivi vitu tunavyo wapatia waarabu wasipo tupatia maji matukufu ya zamzam tutakuwa tumepata hasara ...safari hii ni lazima tunywe maji ya zamzam 😇😇😇😇😇😇😇😇😇 FaizaFoxy
 
Bandari haijauzwa na wala hatuwezi kuuza bandari zetu na jambo hilo haliwezi kutokea kamwe hapa Nchini chini ya viongozi wetu wanaotokana na CCM
"Wala hatuwezi kuuza bandari zetu" bandari zako wewe na nani,una bandari wewe" sema huwezi kuuza kende zako na si bandari zetu
 
Vijana wa ChaDema wakifikishwa mahakamani kwa kusambaza na kuzua habari potofu kwa lengo la kuzua hamaki kwa jamii wanalalamika.

Tujifunze kutumia mitandao kwa usahihi ni Bora limetolewa tamko kukana hizo taarifa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kasoro ya kwanza kuwa hii barua haijaandikwa na ubalozi wa Saudi ni kuwa tarehe inaonyesha imeandikwa February 25, 2025 wakati leo ni tarehe February 14, 2025.
 
Duh,
Na picha za waSaudia zipo hapo..
Na hiyo ni kwa mujibu wa gazeti la The Guardian la Tanzania leo 13/02/2025.

Lucas Mwashambwa, njoo utoe ufafanuzi hapa.

Huo ni ushahidi kamili kuwa unachopinga kimefanyika!

Kataa kutumikishwa kwa propaganda za uongo kama

Jo wonder Lussu anasema ipo siku watoto wetu watauzwa pia. Hii tamaa ya pesa ya Watawala imezidi.

Siku tukiuzwa waanze kuwauza akina Lukas kwanza ili sisi tuwe wa mwisho mwisho.
 
Hii nyumba naona imegeuka geto la masela jirani anapataje nguvu isemea nyumba yenye baba, mama na watoto? Sijawahi ona tofauti na hapo baba ............
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Kwa jini serikali ya Saud itoe maelezo wakati serikali yetu inayowajibika kwa watu wake ipo kimya. Sometimes common sense is not common
 
Kingereza kigumu ila nmeona bandari
Wacha wauze tu sku vikiisha vya kuuza tutauzwa na sisi, lakin pia sisim wakumbuke madhara ni wote tunapata
 
Jo wonder Lussu anasema ipo siku watoto wetu watauzwa pia. Hii tamaa ya pesa ya Watawala imezidi.

Siku tukiuzwa waanze kuwauza akina Lukas kwanza ili sisi tuwe wa mwisho mwisho.
Embu acha Utani wako hapa wewe😄😄 Tanzania ni salama Mikononi kwa mzalendo wa kweli Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan aliyejitoa na kujitolea kwa ajili ya ustawi wa Taifa na watanzania wote kwa ujumla wake.
 
Kingereza kigumu ila nmeona bandari
Wacha wauze tu sku vikiisha vya kuuza tutauzwa na sisi, lakin pia sisim wakumbuke madhara ni wote tunapata
Umeonaje bandari wakati umesema kiingereza kigumu. Unaelewa bandari inaitwaje kwa kiingereza
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

View: https://x.com/MariaSTsehai/status/1890046922389639674?t=bDBMJC0G8KY4Y7liZy3mqg&s=19
 
Back
Top Bottom