Una tabia ya ukuda kama Mwendazake, hufai kuwa hata kiongozi wa nyumba yako.Hilo gazeti should print a detract. Wachapishe tangazo la kuomba radhi pia waondoe hiyo content mara moja mkuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una tabia ya ukuda kama Mwendazake, hufai kuwa hata kiongozi wa nyumba yako.Hilo gazeti should print a detract. Wachapishe tangazo la kuomba radhi pia waondoe hiyo content mara moja mkuu...
Atakuja mwingine atawanyoosha kama mwendazake.Una tabia ya ukuda kama Mwendazake, hufai kuwa hata kiongozi wa nyumba yako.
Mimi sio mwanasiasa mkuuKuuwa watu sio tabia mbaya au kuamuru mtu auwawe sio tabia mbaya, kupakazia watu vyesi sio tabia mbaya au kudhulumu watu mali zao sio tabia mbaya.
Acheni unafiki bwana, Magufuli alikuwa rais wa hovyo kuwahi kupatikanakatika nchi hii. Bure kabisa.
Sijui hata unamzungumzia bonge ganiyule bonge ni wa Janeth pia.... bac sawa!!
Kigogo2014 ni mdaku tu kama hao Wakenya hawezi kuwa na classified documents za taifa kubwa la Tanzania.Kigogo anavujisha classified information.Kusema kuwa Kiongozi fulani ana uhusiano na binti fulani ni masuala ya kimbea na udaku ambayo kimsingi yule ambaye anaona ana haki ya kudai fidia anadai fidia ili sio nkufungia media kwa sababu ya udaku.Habari za udaku zina nafasi yake katika jamii ilio staarabika
I think you and I both need therapistsTauche mzaha, you need a Therapist...
Tatizo lako ni kubwa sana.
Bila shaka wewe tatizo lako ni dogo sanaTatizo lako ni kubwa sana.
Mkuu, ninaomba nikuache tu kama ulivyo.Mkuu,Kisa tu habari ya udaku ambayo ni mtu kaonesha sanaa ya kutunga simulizi?Tutaua vipaji.Tuache udaku ubaki kuwa udaku.Tutafute tu namna ya kuwezesha watu kujua kuwa ni udaku.
Mimi nishamwona na tatizo langu limeanza kuisha......I think you and I both need therapists
Mbona mamlaka husika walifungia Ze Utamu enzi za mstaafu Kikwete?Hili ni jambo la kawaida sana, binadamu ni binadamu tu hakuna cha rais wala mswaga ng'ombe, sasa angesemwa Trump au Biden kwani mngeona ajabu si mngeona ni kawaida tu.
Kwani Magufuli ni nani mbona amekufa tu kama wengine. Hata hapa tu ilisemekana kwamba ana mahusiano na waziri wake moja tena mke wa mtu.
Hauna uthibitisho wowote wa yeye kuzini mkuu. Acha kumdhalilisha Rais wa nchiHayo ni mambo ya kawaida katika jamii hakuna anayeweza kuyakwepa na kama angetaka asisemwe basi asingezini naye. That's it.
Mimi ninaona tatizo lako bado lipo na linazidi kuwa kubwa "as days go by"Mimi nishamwona na tatizo langu limeanza kuisha......
Hii nimeisikia sana lakini sijawahi kuona imekuwa published kwenye mainstream media.mmh nani hajawahi kusingiziwa? mbona ni common?
haujawahi kusikia baba mzazi wa Freeman Mbowe ni Nyerere?
Huu ni uzandiki (subversion) dhidi ya viongozi wetu na TCRA wachukue hatua mara moja.Legacy huwa inajisimamia na kujitetea yenyewe tu.
Mti wenye matunda ndio hupigwa maweAcheni kuya aibisha Matunda yalioumbwa na Mwenyezi.
Ulitaka nilete malalamiko yangu pasipo kuwa na ushahidi wowote mkuu?sasa ndugu yangu na wewe umeamua kuianika habari kama ilivyo? ilitosha tu kutuambia kuna gazeti huko kenya limeandika so and so juu ya dr. magufuli.
Hakika JPM alikuwa ni chumawakuu hii isitupe shida wanawake wa kenya wana hii tabia sana tu ,hata kule kenya mtu maarufu akifa wanakuja wanawake kama wote, kila moja akidai amezaa na marehemu ili tu wapate mgao wa uridhi ,wambieni wamekosea njia hapa hatutoi hela ngo"
Tena ni defamation kubwa sana mkuu. Ninashangaa watu wanatetea upuuzi kama huu na TCRA wanagoma kuufungia mtandao wa kijinga wa Kenya.The family can sue hiyo media, maana ni deformation....
Daaah aisee kumbe hawa jamaa wana historia ya kudhalilisha viongozi wetu miaka nenda rudi. Unaona sasa.Walifungiwa kisa katuni ya Gado ikimuonyesha Kikwete yuko kitandani na wanawake symbolising rushwa, uzembe etc. Serikali ya TZ walimind kinoma
Enzi za Mzee Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete hapakuwa na mitandao ya kijamii yenye nguvu kama sasa. Unakumbuka sakata la Ze Utamu wakati wa uongozi wa Rais Kikwete?Unataka kusema Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete ilikua kitu isiyo na matunda?