Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Ni kwa sababu hapakuwapo na jamii forums na utandawazi kama sasa mwanangu. Hata hivyo, walikuwa wakituita maskini yaani a society of eat nothing people ndipo Nyerere akawaambia the country of man eat man. Kumbuka kama umri wako unakuruhusu mwanangu. Huu upuuzi ulianza hata kabla ya uhuru ila hapakuwapo na media ya kuusambaza kama sasa.Mbona Nyerere, Mwinyi, Kikwete na Mkapa hawajawahi kusingiziwa; why Magufuli?