Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #241
Vyombo vya habari vikitaka kuhataisha usalama wa nchi ni lazima vithibitiwe ndugu yangu. Mamlaka za Tanzania ninawaomba wafungie huu mtandao mara moja.Tafadhal niruhusu nikukosoe pakubwa. Daily post sio gazeti. Ni web page kwa jina blog. Wala sio maarufu unavyosema. Mwenyewe hajulikani! Do not confuse that with Daily Nation (Nation Media Group).
The blog thrives on clicks. So wanaweka taarifa yenye mvuto kwenye headline. Halafu watu wanaclick hio page kusoma ile taarifa. Most of the time on the body of the post huwa haisemi cha muhimu. No details. At the end of the day the advertisements on the sites are seen by many people and the revenue is higher.
That page/blog will soon be blocked. Tanzania sio nchi ya kuchafuana kwa umbea umbea wa kipuuzi kama huo. Sisi ni taifa kubwa.I do not visit that blog due to the reasons above. Vile umeagazia hio story hapa, umewaongezea mapato yao maradafu iwapo wabongo wenzako wataflood kwenye hio page.
All domains that are used for transmitting false information to the public are subject to restrictions. Tanzania sio nchi ya kuandika mambo ya uongo bila kuwa na ushahidi wa kutosha.Hii site ulifungwa na serikali around 2012. Then mwenyewe akaifungua using another domain from abroad, must be the USA. Serikali ya Kenya haiwezi kufunga websites outside their jurisdiction.
Hope umenipata.
Kwa JP Magufuli sio kitu cha kawaida kwa maana alikuwa anajiheshimu sana yule baba.Wewe ndo umeieneza tulikua hatujui iyo lakini kwa mwanaume ni kitu ya kawaida
I think you have the same problem...Bwana Infatry Soldier nadhani una tatizo la proper thinking...
They might be receiving some payments from evil sources...Hapa unatakiwa kujiuliza why people are talking bad about Magufuli?
Umesahau sakata la Ze Utamu la kumchafua Rais Kikwete? Au ulikuwa bado mtoto?Nyerere au Kikwete mbona wanazungumziwa vizuri sana,why this?
Huyo jamaa anajifanya amesahau mikasa ya kuchafua viongozi wetu wakati wa utawala wa awamu ya nne (4). Wazandiki ni lazima washughulikiwe.Una uhakika Nyerere/Kikwete wanazungumziwa vizuri sana?au ni hisia zako tu?
Sijawahi kusikia issues za Mbowe na LissuPia mwisho mbona Lissu ameitwa Shoga mara kina Mbowe mbona hukutetea?
Ndio inapaswa kufanya hivyoSasa kama ni nonsense unafikiri serikali ya Kenya itapoteza muda wake kujihusisha na nonsense!
Uhuru hafanyi chochote kwa sababu anazozijua yeye mwenyeweUhuru anafanyiwa dhihaka na wananchi wake na wala hafanyi chochote.
Wadhalilishane wao kwa wao huko huko Kenya na sio kuvuka mipaka na kuingilia viongozi wa taifa kubwa la Tanzania.Kenya ni tofauti sana na wengine katika EAC ambao wengi wao ni madikteta.
Huyo jamaa anajifanya amesahau mikasa ya kuchafua viongozi wetu wakati wa utawala wa awamu ya nne (4). Wazandiki ni lazima washughulikiwe.
Ukiwa mzalendo "automatically" unapata mamlaka ya kuzungumzia watanzania wote.Nani amekupa mamlaka ya kuzungumza kwa niaba ya Watanzania wote wewe unayejiita dereva wa taxi bubu?
Chalamila ndio nani?Huna tofauti na Chalamila aliyekuwa hajui kama Rais anaweza kufa!
Huyu sio jiwe huyu ni Rais MagufuliView attachment 1761669
Huyu hapa...
Rais anakimbia wananchi wake? Anashindwaje kuwashughulikia?Uhuru alikimbia hadi twitter
Rais hapaswi kutukanwa hata siku moja. Huyu ndiye Raia number moja na anastahili heshima "to the fullest"Being humiliated (as a Kenyan) on social media happens daily on social media. Look at our Twitter space. Take not am not talking about matusi. No. Just opinions (tough words) here and there. Hata Rais ni human, sio special.
Kama wewe una akili timamu nioneshe vyeti vya daktari.Sasa wewe mwenye matatizo ya kufikiri una uwezo gani wa kujudge wenye akili timamu?
Yaani jiwe ndio mti wenye matundaMti wenye matunda