Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Amesema hakuna azimio hata moja lililowekwa. Mkuu, kilikuwa kikao tu cha kubadilishana mawazo. Ni kweli ukifuatilia majadiliano hakuna azimio lolote lililowekwa
Taarifa nilizoziona, ni kutoka kwa “McAllister” Kama sikosei ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo. Na yeye ndiye anayeleta maazimio hayo kwenye bunge!

Huyu jamaa ni kilaza tu angenyamaza. Au kama kuna ukweli, angeomba wahusika wakanushe! Ile ni tweet ya mwenyekiti wa hiyo kamati!

Lakini ukweli kwamba kuna wabunge watano kwenye kamati waliotoa maoni hasi, siyo suala la kupuuza eti kwasababu hao wengine 70 na ushee hawakuzungumza.

Ndiyo maana nasema ni kilaza. Pia hiyo nafasi inaonyesha ni kwa namna gani ccm hawako competitive kwenye kuleta vichwa vya kutuwakilisha kwa manufaa ya Taifa na si chama.
 
Kamati hiyo ndiyo ina kazi za kufanya chunguzi na kutoa ripoti na mapendekezo. Sasa huyu kilaza anabeza? Au anajipendekeza tu kwa kujidai eti ni mzalendo. Kilaza!
Wamekuwa wanafanya hivyo miaka yote.

Hata sasa wamenyamaza kimya kama hawaoni anayoyafanya bwana Ayib kule Ethiopia.

He is ethnic cleanser mwenye baraka zote za mabeberu.
 
Ubalozi wa Tanzani Ubelgiji umekanusha vhabari za uongo zinazoenezwa mitandaoni kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo. Ubalozi umeeleza kuwa ni wabunge watano tu kati ya wabunge 71 wa Kamati ya Mambo ya Nje ndiyo walitoa mawazo yao na hakuna azimio lolote lililowekwa dhidi ya Tanzania na Kamati hiyo. Imeelezwa kuwa Mbunge yeyote anaweza kutoa mawazo yake binafsi na na siyo kila wazo binafsi la Mbunge ni azimio la Bunge. Bunge lote la Ulaya lina wabunge 705 na waliotoa mawazo yao binafsi ni walikuwa ni wabunge watano (5) tu. S
Sikiliza clip hii
Kukanusha sio issue, lazima wakanushe tu ila ndio hivyo washakula za uso. Vipi za Covid19 nazo wamekanusha?
 
Wamekuwa wanafanya hivyo miaka yote.

Hata sasa wamenyamaza kimya kama hawaoni anayoyafanya bwana Ayib kule Ethiopia.

He is ethnic cleanser mwenye baraka zote za mabeberu.
Endeleeni na propaganda zenu tuone mwisho wake.
 
MARA YA MWISHO UBALOZI WA BELGIUM KUPOST TWITTER NI TAREHE 16 OFFICIAL ISSUES ZOTE LAZIMA WAPOST TWITTER
PILI BUNGE LA ULAYA WABUNGE 705 SIYO 71
TATU UBALOZI WA UBELGIJI HAUWEZI KUTOA TAARIFA KUHUSU EU PARLIAMENT HATA KAMA MAKAO MAKUU YAPO BRUSSELS KUNA
OFISI YA EU HAPA TANZANIA WAO NDIYO WANATAKIWA KUTOA TAARIFA KWANZA KILICHOPO WAO(WAKO KIKAANGONI WAELEZE ILKUWAJE WAKATOA HIZO BILIONI 63
Bwashee mbona mbona Kama umeumia Sana mpaka umeamua utuharibu macho yetu kwa kutuandikia herufi kubwa utafikiri unaandika kichwa Cha habari.

Shusha hasira, Andika kwa herufi ndogo Wana Jf niwaelewa Sana watakuelewa tu.
 
Yuko hapo kwasababu amteuliwa na jiwe. Ni kilaza hata apeleke vitu gani. Si nimemsikia mimi mwenyewe?
Mkuu, huyu kapita vetting kali sana.

Alikuwepo mzee mmoja nduguyo aitwa Mlay pale alitokea London miaka ya nyuma.

Huwa hatupeleki vilaza pale.
 
Endeleeni na propaganda zenu tuone mwisho wake.
Sio propaganda.

Abiy ananyang'anya ardhi ili awape makabaila wa kizungu.

Sasa wananchi wa Ethiopia wamekuwa wakimbizi na wengine twawakamata huko Morogoro.

Ndo mlitaka Tundu Lissu afuate sera hizo kuweka rehani rasilimali za nchi.
 
Kwa akili yako ulitaka hao wabunge 71 wachangie kwa siku moja? Hao watano wamewakilisha mawazo ya wenzao, subiri vikwazo vinakuja mlipie dhuluma yenu
Wanajitahidi kujipa moyo, wanatamani haya mambo yasahaulike na waachwe wafanye upuuzi wao!
 
Bwashee mbona mbona Kama umeumia Sana mpaka umeamua utuharibu macho yetu kwa kutuandikia herufi kubwa utafikiri unaandika kichwa Cha habari.

Shusha hasira, Andika kwa herufi ndogo Wana Jf niwaelewa Sana watakuelewa tu.
Mimi nataka facts kuumia kufurahia sijui ni ujinga gani huo ,kasema balozi wa ubelgiji kapinga kamati ya bunge la ulaya?unajua EU parliament waliweka kabisa kwenye schedule yao issue ya Tanzania na iliruka live? Halafu balozi wa nchi moja anajibu kama nani wakati EU wana mwakilishi wao hapa nchini, naomba mnijibu hilo.
 
Mchana nilianzisha Uzi wa kushangazwa na kile kilichosadikika kujadiliwa na Wana "EU" kwa wepesi wake wa Hoja angali Najua wazi kabisa "EU" huwa Ina hoja nzito na huwa inajadili Mambo kwa kina zaidi na Wala siyo kwa mihemko Kama vile.

Hatimaye muda umeongea kwa kupitia balozi kuwa Wahuni Wachache tu Kati ya wengi ndo walitaka kutumika kuihujumu Tanzania ndani na nje ya ulaya kwa masilahi yao binafsi.

Hongera Sana Balozi kwa kukanusha habari hizi Tena hadharani hii inaonyesha jinsi gani Tanzania ilivyo nchi huru isiyo ogopa Wala kuteteleka pale inaponangwa kwa masilahi ya Wahuni Wachache.

I love my country [emoji1241]
 
Sio propaganda.

Ayib ananyang'anya ardhi ili awape makabaila wa kizungu.

Sasa wananchi wa Ethiopia wamekuwa wakimbizi na wengine twawakamata huko Morogoro.

Ndo mlitaka Tundu Lissu afuate sera hizo kuweka rehani rasilimali za nchi.
Mgogoro wa ethiopia ni wa karne na karne kuna watu wako adis ababa wankimbia nchi iliyojaa ma flyover na ma ethiopian airlines lakini ahat mzunguko wa hela hakuna, the issue ya ukabila goes back centuries tundu lissu anaingiaje hapo?
 
Mchana nilianzisha Uzi wa kushangazwa na kile kilichosadikika kujadiliwa na Wana "EU" kwa wepesi wake wa Hoja angali Najua wazi kabisa "EU" huwa Ina hoja nzito na huwa inajadili Mambo kwa kina zaidi na Wala siyo kwa mihemko Kama vile.

Hatimaye muda umeongea kwa kupitia balozi kuwa Wahuni Wachache tu Kati ya wengi ndo walitaka kutumika kuihujumu Tanzania ndani na nje ya ulaya kwa masilahi yao binafsi.

Hongera Sana Balozi kwa kukanusha habari hizi Tena hadharani hii inaonyesha jinsi gani Tanzania ilivyo nchi huru isiyo ogopa Wala kuteteleka pale inaponangwa kwa masilahi ya Wahuni Wachache.

I love my country [emoji1241]
kakanushia wapi huyu balozi mbona twitter wanapotoaga taarifa zao hawajapost tangu tarehe 16?
balozi.JPG
 
mgogoro wa ethiopia ni wa karne na karne kuna watu wako adis ababa wankimbia nchi iliyojaa ma flyover na ma ethiopian airlines lakini ahat mzunguko wa hela hakuna,the issue ya ukabila goes back centuries tundu lissu anaingiaje hapo?
Tundu Lissu ameingia kwasababu alikuwa ataka kufanya afanyayo Abiy sasa hivi.

Ile tuzo ya Nobel ni kiini macho tu lakini Ayib anatumia na nchi za kibeberu wanaotaka ile Horn of Afrika yenye mafuta na gesi.

Mashirika na makampuni ya kibeberu yapo nyuma ya kampeni zake za kuweka rasilimali za nchi kama ardhi, mashirika ya umma na miundombinu vyote kubinafsisha kwa mabeberu.

Haya mambo yataka upembuzi yakinifu sana ili kuyaelewa.

Tundu Lissu na Abiy Ahmed wote ni vibaraka wa nchi za kibeberu.
 
Anayeonekana kwenye video akilalamikia bilion 63 na kutoa masaa 48 ya kutaka maelezo ilivyotumiaka ni huyu Mc allister ni mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje ya bunge la Ulaya

allister.JPG
 
Back
Top Bottom