Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Kamati ya Mambo ya Nje la Bunge la Umoja wa Ulaya imefanya kazi nzuri, ilichobaki ni kwenda mbele kushawishi Bunge zima la EU na nchi wanachama kuibana serikali ya Tanzania.
Tanzania wabanwe kwa lipi mkuu.
 
Kamati ya Mambo ya Nje la Bunge la Umoja wa Ulaya imefanya kazi nzuri, ilichobaki ni kwenda mbele kushawishi Bunge zima la EU na nchi wanachama kuibana serikali ya Tanzania.
Hamna kitu hapo ni propaganda zao.

Wazungu wengi ma-experts na vijikampuni vyao vya ushauri elekezi ndo wamekuwa hard hit.

Symbion ndo bado wanalialia.

JPM ataka watanzania ndo washike hizo tenda na wawe wanazingatiwa kwanza.

Sifahamu wale jamaa wa PWC kama bado wadunda mjini Dar.

Na hio ni "tip of iceberg" kuna Japan na JICA nao wamekuwa hit somehow.

Hivyo ukiona kelele hizi si za bure.
 
Taarifa nilizoziona, ni kutoka kwa “McAllister” Kama sikosei ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo. Na yeye ndiye anayeleta maazimio hayo kwenye bunge! Huyu jamaa ni kilaza tu angenyamaza. Au kama kuna ukweli, angeomba wahusika wakanushe! Ile ni tweet ya mwenyekiti wa hiyo kamati! Lakini ukweli kwamba kuna wabunge watano kwenye kamati waliotoa maoni hasi, siyo suala la kupuuza eti kwasababu hao wengine 70 na ushee hawakuzungumza. Ndiyo maana nasema ni kilaza. Pia hiyo nafasi inaonyesha ni kwa namna gani ccm hawako competitive kwenye kuleta vichwa vya kutuwakilisha kwa manufaa ya Taifa na si chama.
Duh! Kumbe wengi hamjaielewa ile "video ya McAlister", pale ni kikao cha kamati wanmhoji officer wao wa EU anayehusika na kutoa hela za CoVID, ndo wanamtaka atoe maelezo kwanini katoa Tanzania wakati hatuna corona n.k., kama hana hapo amletee kwa maandishi ndani ya siku 2, pia anahoji na ofisi ya EU ambayo ipo Tanzania... pale hatoi tamko wala hatuhoji sisi kama nchi, anafwatilia hela za walipa kodi wao, sana sana kama akishindwa kujieleza watamtumbua huyo officer na sidhani kama atakosa maelezo
 
Utawala wa CCM Mpya Tanzania ina nafasi ya "kujisahihisha" , ili kuepukana na vikwazo, kulaaniwa na kupewa karipio mara kwa mara na Jumuiya ya Kimataifa tusifikie ngazi za tawala za Zimbabwe na Eritrea zilipofika kuwekewa vikwazo vya kila namna.
 
Hahaha anapingana na wananchi?! Wananchi wanataka bunge la ulaya liiwekee Tanzania vikwazo, yeye kama hataki shauri yake, au naye ajiunge huko kwenye mitandao awe anajibizana na wananchi.

Yeye ni wakala wa mtu sio nchi.
 
Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimang kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.

Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.

Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.

Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.

Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.

Awamu hii ni shida tupu!

No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
Umechangia kinyumbunyumbu maana habari inahusu bunge la ulaya kukanusha habari za kuiwekea vikwazo tz, wewe umeleta habari za beberu lenu Amsterdam.
Soma Tena hiyo habari.
 
Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimang kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.

Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.

Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.

Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.

Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.

Awamu hii ni shida tupu!

No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
misaada wanakata lini?
 
19 Nov 2020
Brussels, Tanzania

Magufuli has dismantled Tanzanian democracy - European MPs


Members of European Parliament have criticised Tanzanian government under President John Magufuli for dismantling the little democratic gains the country has had.

Members of European Union Foreign Affairs Council members going berserk by bizarre explanation coming out of Tanzanian government officials in Dar es Salaam.
Source : Weyani TV

Mataga hawaelewi hii lugha
 
Taarifa nilizoziona, ni kutoka kwa “McAllister” Kama sikosei ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo. Na yeye ndiye anayeleta maazimio hayo kwenye bunge! Huyu jamaa ni kilaza tu angenyamaza. Au kama kuna ukweli, angeomba wahusika wakanushe! Ile ni tweet ya mwenyekiti wa hiyo kamati! Lakini ukweli kwamba kuna wabunge watano kwenye kamati waliotoa maoni hasi, siyo suala la kupuuza eti kwasababu hao wengine 70 na ushee hawakuzungumza. Ndiyo maana nasema ni kilaza. Pia hiyo nafasi inaonyesha ni kwa namna gani ccm hawako competitive kwenye kuleta vichwa vya kutuwakilisha kwa manufaa ya Taifa na si chama.
Wachaga kubalini mshashindwa uchaguzi na 2025 mtashindwa vibaya zaidi 😂😂😂.

Mnaanza kulazimisha vitu ambavyo havipo ili mpate faraja 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimang kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.

Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.

Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.

Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.

Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.

Awamu hii ni shida tupu!

No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
WEWE NI KIBARAKA WA MABEBERU.
 
Ubalozi wa Tanzani Ubelgiji umekanusha vhabari za uongo zinazoenezwa mitandaoni kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo. Ubalozi umeeleza kuwa ni wabunge watano tu kati ya wabunge 71 wa Kamati ya Mambo ya Nje ndiyo walitoa mawazo yao na hakuna azimio lolote lililowekwa dhidi ya Tanzania na Kamati hiyo. Imeelezwa kuwa Mbunge yeyote anaweza kutoa mawazo yake binafsi na na siyo kila wazo binafsi la Mbunge ni azimio la Bunge. Bunge lote la Ulaya lina wabunge 705 na waliotoa mawazo yao binafsi ni walikuwa ni wabunge watano (5) tu. S
Sikiliza clip hii
baniani mbaya kiatu chake dawa.ILA KWA TAARIFA TU,JIANDAE KISAIKOLOJIA..kama una shamba Lima Sana,weka chakula ndani...,.weka akiba ya pesa kwenye kibubu..,PUNGUZA ULAFI....,SITISHA SAFARI ZA DODOMA KUOMBA TEUZI,KAA HOME NA FAMILIA.,MFARIJIANE MAANA NYAKATI MBAYA ZINAKUJA

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimang kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.

Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.

Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.

Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.

Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.

Awamu hii ni shida tupu!

No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
Aibu kwa nani,wewe tangu urudi chadema akili zako zumekufyatuka,lissu anakudanganyeni sana,

Kwa taarifa yako ili usiendelee kuumia kwa chuki zako dhidi ya government ya CCM yakupasa utambue kuwa hakuna cha vikwazo wala kaka yake na vukwazo au sijui kukatwa kwa misaada ya hao mabeberu

Jiandae kisaikolojia
 
Ukisoma habari zake unakuta huyu aliyekuwa Mwenyekiti kumbe anatoka chama cha CDU cha Ujerumani ambacho ni chama dada wa CHADEMA na chama kinachoidhamini CHADEMA kwenye mambo mbalimbali. Kumbe............ Ataisoma namba na chadema yake
Dogo, kumbe ww ni hamnazo?! Badala ya kujadili hoja unaleta ushabiki... duh🙄
 
Huyo balozi ni muongo, na Pia ni kilaza! Eti anathubutu kubeza maoni ya wabunge 5?! Tena wa kamati ya mambo ya nje? Eti kuwa siyo bunge lote, hajui kuwa bunge lote husikiliza hizo kamati? Ama anadhani ni bunge la Ndugai?
yaliyotolewa sio maazimio ya kamati ni wabunge binafsi kuchangia kwenye kamati
 
Sisi tunatakiwa nasi tuwe na waandishi wa habari mahiri na vyombo vya habari mahiri kutangaza masuala yao huko wako...
Mbona tayari tunao TBC, Channel ten, Uhuru & Mzalendo, na akina Musiba..
Waambie wafanye kazi hiyo
 
Back
Top Bottom