Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Sawa maoni yako yaheshimiwe boss sasa haya mabeberu tutafanyeje boss kama yana nia mbaya hivi si tuyafukuze tu hapa kwetu?
 
19 Nov 2020
Brussels, Tanzania

Magufuli has dismantled Tanzanian democracy - European MPs


Members of European Parliament have criticised Tanzanian government under President John Magufuli for dismantling the little democratic gains the country has had.

Members of European Union Foreign Affairs Council going berserk by explanation coming out of Tanzanian government officials in Dar es Salaam.
Source : Weyani TV
 
Mbona Amsterdam na Tundu "Quinsling" Lisu leo wako kimya, mipango imebuma au?
nafikiri huo mda wa kufatilia wameongea au hawajaongea ungejaribu kufatilia michango ya babu tale kuleta maendeleo na kutunga sheria bora kabisa, Amsterdam pia ni wakili wa Bob wine unajua kianchoendelea Uganda yuko busy kule pia yaani bunge la EU link ilitolewa ilikuwa live unataka tena watu waongee?
 
sawa maoni yako yaheshimiwe boss sasa haya mabeberu tutafanyeje boss kama yana nia mbaya hivi si tuyafukuze tu hapa kwetu?
Tuwekeane nao "memorandum of understanding" watambue kuwa sasa hivi sisi si watumwa wa fikra.

Pia watambue kuwa tunao uwezo wa kujiamulia mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa.

Tupo tayari kwa ushirikiano lakini si wa kuwkewa nyuzi au kamba zinazoweza kuvutwa wakti wowote.
 
Hapana kuonyeshwa kuchukizwa na kuingiliwa mambo yetu wafukuzwe haraka na sisi tuondoe mabalozi huko kwao unaonaje hiyo?
 
Utopolo mtupu.
 
kwani MOU si ndo hiyo mikataba ya kupewa misaada unaambiwa HESHIMU HAKI ZA BINADAMU, UTAWALA BORA, DEMOKRASIA na wewe ukasaini ukachukua mpunga si ndo MOU yenyewe hiyo? Kisha ukienda kinyume unakumbushwa bwana we mbona huheshimu tena makubaliano yetu kijana?
 
Mbona mnahangaika sana na ngozi nyeupe. Tanzania sio masikini ki-vile kuwategemea wazungu, hao wazungu ndio walikuja huku na kuwadanganya watemi na vipande vya sabuni na sukari, matokeo yake ndio huu utumwa wa kuwaabudu wazungu. Afrika tulikuwa tunatumia matunda kumudu mahitaji yetu ya ndani kiafya na kutumia mitishamba kama dawa muhimu. Kama hufahamu hilo angalia Covid-19 ilivyowamaliza, waogopeni wazungu kama ukoma.
 
Kwani wao wao kwenye nchi zao wanaheshimu hayo yote kwa asilimia 100%?
 
Sio propaganda.

Abiy ananyang'anya ardhi ili awape makabaila wa kizungu.

Sasa wananchi wa Ethiopia wamekuwa wakimbizi na wengine twawakamata huko Morogoro.

Ndo mlitaka Tundu Lissu afuate sera hizo kuweka rehani rasilimali za nchi.
Unatolea mfano wa nchi moja unaacha mifano ya nchi nyingi ndiyo maana ya propaganda.
 
Kwani wao wao kwenye nchi zao wanaheshimu hayo yote kwa asilimia 100%?
na sisi inatakiwa tuwatolee tamko kali la kutoheshimu haki za binadamu na kuwawekea vikwazo kwa mfano hakuna raia wa ulaya kuja kutalii hapa au kuwekeza ili tuwathiri kiuchumi lazima watapiga magoti na kuanza kuheshimu haki za binadamu huko kwao
 
Yaani ukisikia wanavyo wananga mabeberu utasikia tulichezewa sana, fedha zetu za ndani, sisi ni donakantri

Kumbe wamepokea fedha zaidi ya trillion 1.4 ambazo hatujui zilitumika vipi, basi leo kabudi sukari ishapanda
Halafu alivyo kilaza, anasema “hatupoekei pesa”, hapo hapo anasema “pesa hazijasitishwa”
 
anayeonekana kwenye video akilalamikia bilion 63 na kutoa masaa 48 ya kutaka maelezo ilivyotumiaka ni huyu Mc allister ni mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje ya bunge la ulaya
View attachment 1630339
Ukisoma habari zake unakuta huyu aliyekuwa Mwenyekiti kumbe anatoka chama cha CDU cha Ujerumani ambacho ni chama dada wa CHADEMA na chama kinachoidhamini CHADEMA kwenye mambo mbalimbali.
 
Unatolea mfano wa nchi moja unaacha mifano ya nchi nyingi ndiyo maana ya propaganda.
Abiy si pekee wapo wengine hata huyu Tsishekedi yupoyupo tu watu wanaendelea kuuana huku mabeberu wanaiba malighafi ya kutengeneza battery za magari.

Kwa taarifa yako EU magari ya petroli na dizeli yatapigwa marufuku ifikapo 2030.

Wana uhakika na malighafi na maliasili zingine kama dhahabu na almasi.

Lakini Congo DRC wapo UN, na watu wengine wa ajabuajabu wakiiba rasilimali za nchi hiyo.

Tsishekedi alitangazwa kuwa raisi wa Congo DRC mwezi january 2019 na mwezi April 2019 akatimkia zake Washington kukutana na bwana Pompeo.

Weye wadhani waliongea masuala gani ya maendeleo kwa Congo DRC?
 

Watu wengi watanzania wachache. Fedha hata siku moja hazita mkwamua Maskini.
Umaskini wa kwanza ni fikra.
JPM ana fikra sahihi.
Covid ipi. Tanzania ni moja ya nchi chache ambazo watu wanasalimiana kwa kushikana mikono. Wewe hujaangalia kumalizika kwa tatizo hela imekuzuzua.
 
Ukisoma habari zake unakuta huyu aliyekuwa Mwenyekiti kumbe anatoka chama cha CDU cha Ujerumani ambacho ni chama dada wa CHADEMA na chama kinachoidhamini CHADEMA kwenye mambo mbalimbali. Kumbe............ Ataisoma namba na chadema yake
tumpige marufuku kuja Tanzania ndugu yangu halafu chadema si ishakufa au?
 
19 November 2020
Brussels, Tanzania

Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji ambaye pia ni mwakilishi wa Tanzania EU, Mh. Balozi Jestas Abuok Nyamanga amefunguka


Hii ni baada ya Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Umoja wa Ulaya - EU kuzungumzia kuzorota kwa demorkasia, uchaguzi uliomalizika 28 Oktoba 2020 nchini Tanzania na jinsi Tanzania inavyoshughulikia janga la gonjwa la COVID-19
 
Mbona hizo 27million Euros ni ndogo sana. Kama hata hao wachangiaji hawafahamu kama kweli walitoa hiyo pesa, ujinga mtupu. Tanzania sasa naona wapo pazuri lazima wale sahani moja na hawa wapumbavu.
 
na sisi inatakiwa tuwatolee tamko kali la kutoheshimu haki za binadamu na kuwawekea vikwazo kwa mfano hakuna raia wa ulaya kuja kutalii hapa au kuwekeza ili tuwathiri kiuchumi lazima watapiga magoti na kuanza kuheshimu haki za binadamu huko kwao
Sisi tunatakiwa nasi tuwe na waandishi wa habari mahiri na vyombo vya habari mahiri kutangaza masuala yao huko wako.

Ulaya wapo ombaomba, kuna food bank wazifahamu hizi?

Idadi ya waso na kazi ni kubwa na sasa COVID -19 yawala wao kisawasawa, hivyo nao wana matatizo mengi tu wakae kimya kila mtu ashughulike na lwake.

Sie twapeta tu.

Sasa kama twataka usawa wa propaganda basi twaanzia hapo.

Halafu, uzuri mimi nimeishi huko Ulaya na Marekani hivyo nafahamu ninacho kiongea.

Kumbuka, hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hakumwambia bwana Sir Edward Twinning kwamba ataka uhuru halafu baadae arudishe uhuru huo kwa wazungu kwa njia ya kujikombakomba.
 
Kamati ya Mambo ya Nje la Bunge la Umoja wa Ulaya imefanya kazi nzuri, ilichobaki ni kwenda mbele kushawishi Bunge zima la EU na nchi wanachama kuibana serikali ya Tanzania kufuatia (Action Plan) azimio la mpango kazi wa 2020- 2024 kuhusu kuimarisha Demokrasia na Haki za Binadamu wanapotoa misaada ambayo ni kodi za wananchi wa nchi za Jumuiya ya Ulaya : Soma hapa chini Azimio hilo:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…