Tanzania wabanwe kwa lipi mkuu.Kamati ya Mambo ya Nje la Bunge la Umoja wa Ulaya imefanya kazi nzuri, ilichobaki ni kwenda mbele kushawishi Bunge zima la EU na nchi wanachama kuibana serikali ya Tanzania.
Hamna kitu hapo ni propaganda zao.Kamati ya Mambo ya Nje la Bunge la Umoja wa Ulaya imefanya kazi nzuri, ilichobaki ni kwenda mbele kushawishi Bunge zima la EU na nchi wanachama kuibana serikali ya Tanzania.
Duh! Kumbe wengi hamjaielewa ile "video ya McAlister", pale ni kikao cha kamati wanmhoji officer wao wa EU anayehusika na kutoa hela za CoVID, ndo wanamtaka atoe maelezo kwanini katoa Tanzania wakati hatuna corona n.k., kama hana hapo amletee kwa maandishi ndani ya siku 2, pia anahoji na ofisi ya EU ambayo ipo Tanzania... pale hatoi tamko wala hatuhoji sisi kama nchi, anafwatilia hela za walipa kodi wao, sana sana kama akishindwa kujieleza watamtumbua huyo officer na sidhani kama atakosa maelezoTaarifa nilizoziona, ni kutoka kwa “McAllister” Kama sikosei ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo. Na yeye ndiye anayeleta maazimio hayo kwenye bunge! Huyu jamaa ni kilaza tu angenyamaza. Au kama kuna ukweli, angeomba wahusika wakanushe! Ile ni tweet ya mwenyekiti wa hiyo kamati! Lakini ukweli kwamba kuna wabunge watano kwenye kamati waliotoa maoni hasi, siyo suala la kupuuza eti kwasababu hao wengine 70 na ushee hawakuzungumza. Ndiyo maana nasema ni kilaza. Pia hiyo nafasi inaonyesha ni kwa namna gani ccm hawako competitive kwenye kuleta vichwa vya kutuwakilisha kwa manufaa ya Taifa na si chama.
Wewe ni mtanzania?Kwa akili yako ulitaka hao wabunge 71 wachangie kwa siku moja? Hao watano wamewakilisha mawazo ya wenzao, subiri vikwazo vinakuja mlipie dhuluma yenu
We nawe unaambiwa balozi wa Tanzania nchini Belgium, unatafuta balozi wa Belgium hapa Tanzania wabongo bhana ndo mana mnatekwa haraka na habari za hovyokakanushia wapi huyu balozi mbona twitter wanapotoaga taarifa zao hawajapost tangu tarehe 16?
View attachment 1630337
Maelezo kutoka kwa nani?anayeonekana kwenye video akilalamikia bilion 63 na kutoa masaa 48 ya kutaka maelezo ilivyotumiaka ni huyu Mc allister ni mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje ya bunge la ulaya
View attachment 1630339
Umechangia kinyumbunyumbu maana habari inahusu bunge la ulaya kukanusha habari za kuiwekea vikwazo tz, wewe umeleta habari za beberu lenu Amsterdam.Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimang kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.
Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.
Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.
Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.
Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.
Awamu hii ni shida tupu!
No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
Kimya kingi kina mshindo mkuu. Tulia tuMbona Amsterdam na Tundu "Quinsling" Lisu leo wako kimya, mipango imebuma au?
misaada wanakata lini?Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimang kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.
Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.
Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.
Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.
Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.
Awamu hii ni shida tupu!
No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
Mataga hawaelewi hii lugha19 Nov 2020
Brussels, Tanzania
Magufuli has dismantled Tanzanian democracy - European MPs
Members of European Parliament have criticised Tanzanian government under President John Magufuli for dismantling the little democratic gains the country has had.
Members of European Union Foreign Affairs Council members going berserk by bizarre explanation coming out of Tanzanian government officials in Dar es Salaam.
Source : Weyani TV
Wachaga kubalini mshashindwa uchaguzi na 2025 mtashindwa vibaya zaidi 😂😂😂.Taarifa nilizoziona, ni kutoka kwa “McAllister” Kama sikosei ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo. Na yeye ndiye anayeleta maazimio hayo kwenye bunge! Huyu jamaa ni kilaza tu angenyamaza. Au kama kuna ukweli, angeomba wahusika wakanushe! Ile ni tweet ya mwenyekiti wa hiyo kamati! Lakini ukweli kwamba kuna wabunge watano kwenye kamati waliotoa maoni hasi, siyo suala la kupuuza eti kwasababu hao wengine 70 na ushee hawakuzungumza. Ndiyo maana nasema ni kilaza. Pia hiyo nafasi inaonyesha ni kwa namna gani ccm hawako competitive kwenye kuleta vichwa vya kutuwakilisha kwa manufaa ya Taifa na si chama.
WEWE NI KIBARAKA WA MABEBERU.Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimang kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.
Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.
Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.
Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.
Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.
Awamu hii ni shida tupu!
No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
Tukupe were, aud tumteue Lissu.Nimemsikiliza. Ni kilaza. Yuko kisiasa zaidi. Nafasi aliyopo hana uwezo nayo.
baniani mbaya kiatu chake dawa.ILA KWA TAARIFA TU,JIANDAE KISAIKOLOJIA..kama una shamba Lima Sana,weka chakula ndani...,.weka akiba ya pesa kwenye kibubu..,PUNGUZA ULAFI....,SITISHA SAFARI ZA DODOMA KUOMBA TEUZI,KAA HOME NA FAMILIA.,MFARIJIANE MAANA NYAKATI MBAYA ZINAKUJAUbalozi wa Tanzani Ubelgiji umekanusha vhabari za uongo zinazoenezwa mitandaoni kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo. Ubalozi umeeleza kuwa ni wabunge watano tu kati ya wabunge 71 wa Kamati ya Mambo ya Nje ndiyo walitoa mawazo yao na hakuna azimio lolote lililowekwa dhidi ya Tanzania na Kamati hiyo. Imeelezwa kuwa Mbunge yeyote anaweza kutoa mawazo yake binafsi na na siyo kila wazo binafsi la Mbunge ni azimio la Bunge. Bunge lote la Ulaya lina wabunge 705 na waliotoa mawazo yao binafsi ni walikuwa ni wabunge watano (5) tu. S
Sikiliza clip hii
Aibu kwa nani,wewe tangu urudi chadema akili zako zumekufyatuka,lissu anakudanganyeni sana,Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimang kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.
Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.
Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.
Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.
Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.
Awamu hii ni shida tupu!
No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
Dogo, kumbe ww ni hamnazo?! Badala ya kujadili hoja unaleta ushabiki... duh🙄Ukisoma habari zake unakuta huyu aliyekuwa Mwenyekiti kumbe anatoka chama cha CDU cha Ujerumani ambacho ni chama dada wa CHADEMA na chama kinachoidhamini CHADEMA kwenye mambo mbalimbali. Kumbe............ Ataisoma namba na chadema yake
yaliyotolewa sio maazimio ya kamati ni wabunge binafsi kuchangia kwenye kamatiHuyo balozi ni muongo, na Pia ni kilaza! Eti anathubutu kubeza maoni ya wabunge 5?! Tena wa kamati ya mambo ya nje? Eti kuwa siyo bunge lote, hajui kuwa bunge lote husikiliza hizo kamati? Ama anadhani ni bunge la Ndugai?
Mbona tayari tunao TBC, Channel ten, Uhuru & Mzalendo, na akina Musiba..Sisi tunatakiwa nasi tuwe na waandishi wa habari mahiri na vyombo vya habari mahiri kutangaza masuala yao huko wako...