Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Muda ni mwalimu mzuri sana , walamba miguu wa Jiwe na vibaraka wake wote subirini mnyooshwe , bunge tumelisiliza Jana na wametema nyongo kwelikweli kuhusu Tanzania , Jiwe na vibaraka wake hamponi safari hii hata mdhikiri uchi .
 
Tanzania ya viwanda,
Uchumi was kati,
Tunajenga mikasi mikubwa kwa fedha zetu
Deni la Taifa kutoka kwa mabebelu Tr.52
Tulieni dawa iwaingie
 
Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimanga kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.

Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.

Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.

Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.

Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.

Awamu hii ni shida tupu!

No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
Tunategemeana sote, hata wao wanatutegemea.
 
Propoganda yako balozi ni failure.

Tambua kuwa;
1. Kamati ndiyo bunge

2. Si rahisi wajumbe wote kupata muda wa kuchangia mada moja.

3. Umeshindwa kutuambia ni wajumbe wangapi kati ya hao 71 wameisemea vizuri Tanzania?

5. Umesema umoja wa ulaya hautoi hizo 1.6t, then unasema hizo pesa umoja wa ulaya wanazitoa na zinaendelea kutolewa.....which is which?

6. Ujatuambia kwanini mlichukua pesa za kupambana na COVID-19 wakati nchi ni free from corona, na mmezifanyia nini hizo pesa?

7. Huku tunaaminiswa kuwa nchi hizo ni MABEBERU wenye nia mbaya nasi, kwanini wewe unasema mna uhusiano nao mzuri?

Mpropoganda huwa hazifanywi hivyo balozi!

Jipange.
Unaweza kutuwekea hilo azimio la nchi za ulaya kuhusu tanzania hapa?
 
Kama wakoloni wangekuwa wanaanza kuitawala Afrika wakati huu hapa Tanzania wasingepata upinzani wowote! Haki ya Mungu watu wamejichoka wenyewe kwa mujibu wa michango ya JF
Ni wajinga wachache tu wapo pale ufipa wana uchungu wa kushindwa
 
Muda ni mwalimu mzuri sana , walamba miguu wa Jiwe na vibaraka wake wote subirini mnyooshwe , bunge tumelisiliza Jana na wametema nyongo kwelikweli kuhusu Tanzania , Jiwe na vibaraka wake hamponi safari hii hata mdhikiri uchi .
Kwamba jiwe ndio ataanza kulala njaa?

[emoji23][emoji23][emoji23]Alafu hivi mnafikiri tz ni kikundi cha vikoba?
 
Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimanga kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.

Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.

Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.

Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.

Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.

Awamu hii ni shida tupu!

No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
Ni mabeberu tu kwani uongo?
 
Aibu sana kwa wapotoshaji kama nyinyi. Hamna hoja zaidi ya kejeli na kubadiri maneno.
Sasa mmekuja na jipya sio tena kufutiwa misaada. Na mlifeli pale mliposema eti misaada ina sitishwa sababu, pamoja na mengineyo, ni suala la ugaidi mikoa ya kusini na mpakani mwa msumbiji. Hivi, kweli ugaidi kama ule unaweza kusababisha nchi kuwekewa vikwazo? Nyie mandezi kweli na propaganda zenu. Leteni hoja sio viloja.
Wazungu tunawategemea ila kutwa kuwasimanga kwa kuwaita mabeberu! Kuweni na shukurani na sio kuleta kejeli na dharau huku watu wenyewe sisi ni tegemezi.

Kwa jinsi tunavyowakejeli, wazungu hawa wangekuwa na mavichwa kama yetu, hata hiyo misaada na mikopo wangeshaisitisha, ila wamegundua baadhi ya watu wetu ni wajinga na wameamua kuwapuuza ili kusaidia masikini wa hii nchi wasio na hatia.

Isitoshe kwa hapa JF, uzi uliopo unaongelea kamati na si Bunge zima.

Alafu elezeni pia mlikopeleka hela za Covid.

Sisi tunasubiri taarifa rasimi ya hilo Bunge ila mpaka sasa teyari ni aibu tosha kwani hatukwahi kuwa na status mbovu na mbaya kiasi hiki.

Awamu hii ni shida tupu!

No wonder hata JK aliwahi sema watu waache "kujimwambafai."
 
19 Nov 2020
Brussels, Tanzania

Magufuli has dismantled Tanzanian democracy - European MPs



Members of European Parliament have criticised Tanzanian government under President John Magufuli for dismantling the little democratic gains the country has had.

Members of European Union Foreign Affairs Council members going berserk by bizarre explanation coming out of Tanzanian government officials in Dar es Salaam.
Source : Weyani TV
 

Attachments

  • VID-20201120-WA0004.mp4
    1.1 MB
  • VID-20201120-WA0004.mp4
    1.1 MB
Aibu sana kwa wapotoshaji kama nyinyi. Hamna hoja zaidi ya kejeli na kubadiri maneno.
Sasa mmekuja na jipya sio tena kufutiwa misaada. Na mlifeli pale mliposema eti misaada ina sitishwa sababu, pamoja na mengineyo, ni suala la ugaidi mikoa ya kusini na mpakani mwa msumbiji. Hivi, kweli ugaidi kama ule unaweza kusababisha nchi kuwekewa vikwazo? Nyie mandezi kweli na propaganda zenu. Leteni hoja sio viloja.
Kumbe na wewe ni mwehu kiasi hiki??
 
Wamemuangushaje wakati mmempola ushindi wake???
Huwezi kushinda uchaguzi/au kuongoza nchi kwa kushirikiana na KABURU. Tundu Lisu angekuwa mzalendo wa nchi hii angeunda chama chake safi kabisa ambacho hakina mahusiano na hao Makaburu. Alitakiwa kuwa na chama cha kizalendo na kuzungumza mambo muhimu kwa ukweli na kugusa shida za watu kwa ukweli kabisa watu wangemuelewa kwasababu watu ndio wenye kuhitaji maendeleo na watu ndio wapiga kura.

Ila kwa hesabu zake za ajabu za kutetea mambo ya kishenzi yaliojaa ukaburukaburu, kuweka rehani rasilimali za Taifa kwa Makaburu ili kupewa misaada yenye masharti ya ajabu ni kujidanganya yeye na roho yake.

Watanzania sio wajinga kama mnavyodhani, kuna elimu ndogo,kati na kubwa. Watanzania wengi wanajitambua na wanauwezo wa kuelewa hata pale kiongozi anapozungumza sio mpaka waende darasani.
 
Huwezi kushinda uchaguzi/au kuongoza nchi kwa kushirikiana na KABURU. Tundu Lisu angekuwa mzalendo wa nchi hii angeunda chama chake safi kabisa ambacho hakina mahusiano na hao Makaburu. Alitakiwa kuwa na chama cha kizalendo na kuzungumza mambo muhimu kwa ukweli na kugusa shida za watu kwa ukweli kabisa watu wangemuelewa kwasababu watu ndio wenye kuhitaji maendeleo na watu ndio wapiga kura.

Ila kwa hesabu zake za ajabu za kutetea mambo ya kishenzi yaliojaa ukaburukaburu, kuweka rehani rasilimali za Taifa kwa Makaburu ili kupewa misaada yenye masharti ya ajabu ni kujidanganya yeye na roho yake.

Watanzania sio wajinga kama mnavyodhani, kuna elimu ndogo,kati na kubwa. Watanzania wengi wanajitambua na wanauwezo wa kuelewa hata pale kiongozi anapozungumza sio mpaka waende darasani.
Kaburu gani mnaemsema huyu ambaye nyie mnaenda kumuomba euro mil 27 mkidai kwenu kuna corona alafu mmetangaza kuwa kwenu hakuna corona?

Mbaya zaidi mnapiga hela zake na kumtembezea bakuli kila siku? Au kaburu yupi?
 
Ubalozi wa Tanzani Ubelgiji umekanusha habari za uongo zinazoenezwa mitandaoni kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo.

Ubalozi umeeleza kuwa ni wabunge watano tu kati ya wabunge 71 wa Kamati ya Mambo ya Nje ndiyo walitoa mawazo yao na hakuna azimio lolote lililowekwa dhidi ya Tanzania na Kamati hiyo. Imeelezwa kuwa Mbunge yeyote anaweza kutoa mawazo yake binafsi na na siyo kila wazo binafsi la Mbunge ni azimio la Bunge.

Bunge lote la Ulaya lina wabunge 705 na waliotoa mawazo yao binafsi walikuwa ni wabunge watano (5) tu. S
Sikiliza clip hii

Zaidi soma:


Mimi nilifikiri EU ndio wamekanusha, kumbe balozi wa Tanzania EU!!
 
Huwezi kushinda uchaguzi/au kuongoza nchi kwa kushirikiana na KABURU. Tundu Lisu angekuwa mzalendo wa nchi hii angeunda chama chake safi kabisa ambacho hakina mahusiano na hao Makaburu. Alitakiwa kuwa na chama cha kizalendo na kuzungumza mambo muhimu kwa ukweli na kugusa shida za watu kwa ukweli kabisa watu wangemuelewa kwasababu watu ndio wenye kuhitaji maendeleo na watu ndio wapiga kura.

Ila kwa hesabu zake za ajabu za kutetea mambo ya kishenzi yaliojaa ukaburukaburu, kuweka rehani rasilimali za Taifa kwa Makaburu ili kupewa misaada yenye masharti ya ajabu ni kujidanganya yeye na roho yake.

Watanzania sio wajinga kama mnavyodhani, kuna elimu ndogo,kati na kubwa. Watanzania wengi wanajitambua na wanauwezo wa kuelewa hata pale kiongozi anapozungumza sio mpaka waende darasani.
Mtabakiaga hivyo hivyo na hizo hoja zenu mfu
 
Mbona mnateseka hivyo.
Wata hangaika sana lakini ukweli una baki kuwa ukweli. Maana hata covid tuliaminishwa haipo kumbe jamaa walivuta mshiko.
Tunaambiwa umeme wa REA ni hela za ndani kumbe ni hela za mabeberu. Wana kanusha maana wana jua. Mabeberu hawa somi kiswahili. Mwisho wa siku itajulikana nani mkweli kati ya balozi na aliye weka bango hapa.
Maana hata kwenye mtandao iko picha live wakiijadili Tz
 
Ni jambo jema kwamba sasa serikali yasikiliza maoni chanya juu ya kujibu tuhuma na taarifa zisizo na ukweli zitolewazo mitandaoni.

Pia, kwa faida ya wengi khasa majukwaa ya kimataifa, ni budi pia kutumia lugha ya kiingereza ili kuwekana sawa pande zote za dunia.
Sisi tuna ongea Kigogo hatuna habari na lugha za mabeberu[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom