Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi mkuu. Kwanini sisi?

Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi mkuu. Kwanini sisi?

Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubeligiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
Kama wewe daktari basi ni zwazwa. Tumekwisha. Unataka US na Europe waandamane kwa kudai katiba mpya? Wenzetu walipita huko miaka zaidi ya 100 iliyopita. Black Lives Matter ilikuwa nini? Kama unajifananisha na US, unataka watu wakavamia jengo la Bunge ili tuwe sare sare?
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubeligiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
Sababu:
1. Wana katiba zinazosimamia demokrasia

2. Wana uhuru wa kujieleza na kutoa maoni unaotokana na katiba bora. Hivyo hawana haja ya kuandamana ili wasikilizwe

3. Maandamano hufanyika pale tu katiba inapokiukwa, mfano Black Lives Matter. Kwa hiyo maandamano yao ni kwa kulinda katiba

4. Katiba huwalazimisha viongozi waliichaguliwa kuwajibika kwa wananchi kwa kuzingatia ilani zao.

5. Mahitaji ya msingi ya binadamu mf maji safi, elimu, afya, uhuru wa kuongea yametekelezwa tangu kupata uhuru

7. Hakuna ubaguzi wa shughuli za maendeleo kwa misingi ya upinzani na chama tawala

8. Hawadeki barabara kwa ajili ya watawala kupita

9.
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
Yaani kukaa na kufikiri kote hapo ndipo umefika mwisho wako? PUMBAFU

Ulaya viongozi wanawajibika kwa kujiuzuru pale inapotokea sitofahamu ktk wizara zao, vipi hapa tz??

Ulaya viongozi hawaingilii mahakama na kuwapa miongozo jinsi ya kuhukumu
KWA KIFUPI USIJARIBU KULINGANISHA WATU WALIOSTAARABIKA NA WATU WA OVYO
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!

Mbona marekani mikutano ya siasa kila siku. Au humuoni Trump ameanza kampeni.
 
Ndugai namkubali sana .

Kuna aina Fulani ya Upuuzi ilitaka kuhamia Bungeni ya Kutoa kauli za kudhalilisha, kuzomea wengine walitoa hoja ZAO, Kupinga Kila kitu, Kudharau Kila MTU n.k.

Ndugai akasimama imara kuondoa uchafu Huo na kujifanya Bunge linyooke Mstari Mmoja.

Utasikia ,"Halima Mdee Nimekuona unazomea ,,Toka Nje", Nakupa dk Moja ,Toka Nje" .

Hahaaaa .

Halima Kistarabu kabisa anawaaga wenzake anatoka Nje. Esta Bulaya na Wewe Nimekuona , "Toka Nje"

Kama SIO Uimara Wa Job Ndugai Wapinzani 2015 /2020 walidhamiria kujifanya Bunge lisitawalike. Limgekua ni Bunge la fujo na kupigana ngumu.

Jobu Ndugai ni Mtanzania Mwenye Msimamo thabiti Wa kusimamia Sheria .

Wapinzani Wanatumia mikutano ya hadhara KUTUKANA badala ya kuleta será mbadala.

Lakini pia wapinzani wanakosa mbinu za kisiasa zinazoendana na mazingira.

Slaa,Lipumba, Marehemu Seif n.k. WALIKUA wanajua kucheza na Akili za watanzania na kufanikiwa kubadili Upepo Wa kisiasa.

Kwa Mfano Mbali na Kigoma ,hakuna Mwananchi nje ya Twitter anayefaham kuwa Zito ni kitu Gani. Ni MTU au ni Zito Kwa MAANA ya weight.?

Unamuongelea Huyo ndugai aliyepewa kazi ya kuwashughulikia wapinzani Bungeni?. Ndugai ana msimamo gani mbona alianza kulia asamehewe na bado akatimuliwa. Tafuta mifano yenye maana.
 
Wrooooong...ipo kila siku, Trump ana mikutano kila siku kuanzia siku aliposhindwa uraisi, and in average kampeni za uraisi wa US zinachukua miaka 2 kabla ya uchaguzi, unafanya mkutano unapojisikia na hakuna kuomba vibali kutoka polisi CCM, hakuna watu wapumbavu kama CCM
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!

Punguza uongo duniani kote wapi?. Kama mnataka mikutano ya siasa iswepo, yafutayo yafanyike.

1. Kuwepo na sera maalum ya taifa ya uchumi na mambo ya nje. Ambapo kila Rais anaye ingia lazima aitekeleze haijalishi chama anatokea chama gani.

2. Matokeo ya urais yapingwe mahakamani. Wanaodai wameibiwa kura watoe vielelezo vyao hadharani. Na maamuzi ya mahakama yawe ya mwisho.

3. Tume huru ya uchaguzi iwepo isiyo egemea upande wowote. Iwe na ofisi kila Jimbo.

4. Vyombo vya dola visijiingize kwenye siasa. Vibaki neutral. Polisi na Jeshi wasitumike kulinda chama fulani madarakani. Kama ilivyotokea Zanzibar 2015 na 2020.

Pia Punguza uongo sio dunia nzima ni baadhi ya nchi na siyo ulizo zitaja.
 
Ndugai namkubali sana .

Kuna aina Fulani ya Upuuzi ilitaka kuhamia Bungeni ya Kutoa kauli za kudhalilisha, kuzomea wengine walitoa hoja ZAO, Kupinga Kila kitu, Kudharau Kila MTU n.k.

Ndugai akasimama imara kuondoa uchafu Huo na kujifanya Bunge linyooke Mstari Mmoja.

Utasikia ,"Halima Mdee Nimekuona unazomea ,,Toka Nje", Nakupa dk Moja ,Toka Nje" .

Hahaaaa .

Halima Kistarabu kabisa anawaaga wenzake anatoka Nje. Esta Bulaya na Wewe Nimekuona , "Toka Nje"

Kama SIO Uimara Wa Job Ndugai Wapinzani 2015 /2020 walidhamiria kujifanya Bunge lisitawalike. Limgekua ni Bunge la fujo na kupigana ngumu.

Jobu Ndugai ni Mtanzania Mwenye Msimamo thabiti Wa kusimamia Sheria .

Wapinzani Wanatumia mikutano ya hadhara KUTUKANA badala ya kuleta será mbadala.

Lakini pia wapinzani wanakosa mbinu za kisiasa zinazoendana na mazingira.

Slaa,Lipumba, Marehemu Seif n.k. WALIKUA wanajua kucheza na Akili za watanzania na kufanikiwa kubadili Upepo Wa kisiasa.

Kwa Mfano Mbali na Kigoma ,hakuna Mwananchi nje ya Twitter anayefaham kuwa Zito ni kitu Gani. Ni MTU au ni Zito Kwa MAANA ya weight.?
We ni mbwa , halafu utakuta majitu maseng€ kama wewe ndio mnalalamika maisha magumu , fool
 
Uko sahihi. Haya mapinzani uchwara yanalenga fujo tu

Uchwara ni CCM . Mnazuia upinzani kufanya siasa lakini ukifika uchaguzi mnawakata na kufanya ujinga wa kila aina. Kama hamtaki vyama vingi turudi kwenye mfumo wa chama kimoja.
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
Nilijuwa jina la Dr Akili unaakili kumbe jina tu.Kasome katiba yetu halafu urudi hapa.
 
Kwa mujibu wa katiba yetu kuzuia maandamano na mikutano ya hadhara ni kukiuka katiba, afanyaye hivyo anatakiwa kuwajibishwa.
 
Ukivuta bangi uache kusema uongo. Trump kajiandikisha kugombea leo unajua maana yake? Akimaliza hapo anaanza mikutano miaka miwili akikutana na watu mbalimbali kuwaelezea sera zake. Two years in campaign from the day he indicated he was gonna run. Germany na uk wana town hall meeting between members of parliament and his constituency. Do you have any idea what they talk about? Also theirs is the parliamentary system ours is presidential system meaning the candidate needs to canvass for his voters from times to time so they wont forget him or her
 
Mbona marekani mikutano ya siasa kila siku. Au humuoni Trump ameanza kampeni.
Hapo ndipo unapojionesha ulivyo hujui kinachoendelea duniani, mikutano uliyoiona ya Trump ni ya uchaguzi katikati ya muhula yaani nusu ya awamu ya urais.
 
Uhuru wakujieleza, uwajibikaji wa viongozi, katiba imaram, ukweli na uwazi, huduma Bora za jamii!! Vyote hivi na vingine vingi wanavyo kwa 99%, na haya yote wanayapata kutokana mikutano na maandamano waliyoifanya miaka ya nyuma. Ni mpumbavu na mjinga tu ndiye anayewaza asione umuhimu wa mikutano ya kisiasa hasa kwa Taifa la watu maskini na wajinga wengi kama Tz, angalia Tz ya 2005-2014 watu waliamka kutoka usingizini baada ya vyama vya siasa kuanza mikutano na kutoa elimu juu ya Nchi yao. Kila mtanzania akaanza kufuatilia Mambo ya Nchi yake kupitia bunge na mikutano ya kisiasa.
 
CCM mnaposifia wazungu, mlinganishe kila tu muhimu chao mkifanye na nyie,
Huko ulaya hawaobi kura kama nyie
Anzieni hapo kwanza
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
Wanakulana Tigo why not us?? It goes without saying. Pambafu kabisa wewe.
 
Back
Top Bottom