Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi mkuu. Kwanini sisi?

Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi mkuu. Kwanini sisi?

Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
Hauelewi unachoongea.

1. Marekani ni mtu ndie anayegombea na sio chama.

2 Ukimzuia mtu ( au taasisi yeyote) yeyote kuongea kwa vyovyote vile kutapingana na First Amendment ya Katiba yao ambayo inatoa haki ya kuzungumza kwa uhuru na uwazi bila kuingiliwa kwa namna yeyote na serikali.

3. Kutokana na First Amendment vyombo vya habari, watu binafsi, vyama vya siasa, asisi tofauti n.k. zinauwezo wa kuikosoa na kuipinga serikali wakati wowote na bila uoga. Ndio maana mpaka sasa hivi kuna watu wanasema wazi kuwa hawamtambui Biden kama Rais wao. Wakati wa Trump watu kama De Niro, Spike Lee, Snoop walikuwa wanamtukana Trump matusi ya nguoni bila kujificha.

4. Trump toka ameshindwa amekuwa akifanya mikutano ya siasa na hivi karibuni ametangaza nia ya kugombea na ataendelea na mikutano ya hadhara ambapo ataiponda serikali iliyopo na kujisifia kuwa yeye ni bora zaidi.

5. Stacey Abrams aliposhindwa kwa mara ya kwanza aliendelea kuorganize watu kwa ajilu ya uchaguzi wa mwaka huu.

6. Marekani mikutano ya hadhara ni njia moja tu ya kutangaza sera zako. Nyingine ni TV, radio, social media, town hall meetings n.k. ambazo anasiasa wanazitumia zaidi kwa sababu zina uwezo wa kufikia wapiga kura wengi. Unapokaribia uchaguzi ndio mikutano ya hadhara, simu, flyers na kugonga milango kunashamiri. Kinachowafanya wanasiasa wasifanye siasa za namna hii muda wote ni gharama. Wakati kama huu wanategemea zaidi interviews kwenye TV, na juhudi za taasisi zinazowaunga mkono.

Sisi nyumbani sio tu watu hawaruhusiwi kufanya mikutano ya hadhara bali hata hizo njia mbadala ni shida.

Kwa kifupi katika nchi ulizotaja hakuna nchi inayozuia raia wake kufanya mikutano ya kisiasa popote pale.

Amandla...
 
Hivi inakuwaje mtu ana Ph.D halafu anaandika upuzi wa kiwango cha SGR!!??

Kuna kila sababu ya kuhakiki hizi shahada zetu na kuwachukulia hatua hawa watu wanaoonekana wana vichwa vya kufugia nywele na kubebea masikio,pua na mdomo.
 
Leta kwanza ushahidi kuwa unayo akili kwanza kisha ntakuwekea ushahidi unaousaka
Ujinga mtupu mmeshindwa kuushawishi umma ili upinzani uimarike matokeo yake mnatapatapa tu. Watanzania siyo wajinga wa kuyaamini mijitu mijinga kama wewe eti tuandamane kila siku ! Mtasubiri sana na Ikulu hamtaingia kamwe nyau nyie
 
True 100%? Hauko making, mbona marekani Trump anapiga kameni kila siku. Kule Kenya Ruto alipiga kampeni miaka minne yote kabla ya uchaguzi.
Usilinganishe Tanzania na Kenya ambayo emeelemewa na mzigo wa ukabila. Ndiyo maana mpaka leo Taifa hilo linatawaliwa na makabila mawili tu (kalenjini na Kikuyu )
 
Uchwara ni CCM . Mnazuia upinzani kufanya siasa lakini ukifika uchaguzi mnawakata na kufanya ujinga wa kila aina. Kama hamtaki vyama vingi turudi kwenye mfumo wa chama kimoja.
Tuna akili siye. Tulishaona Tanzania hakuna upinzani ni wachumia tumbo tu.
 
pia hakuna mabendera ya vyama .
Sijui ma umoja ya vijana,sijui wazazi,wanawake.
mara wenyeviti wa wilaya,mikoa,makatibu
 
Marekani wanafanya uchaguzi wa viti vyote vya bunge na theluthi ya viti vya maseneta kila baada miaka miwili. Hiyo nchi iko kwenye siasa muda wote.
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
Kwann usilinganishe na demokrasia ya huko ughaibuni na hapa bongo? Unakwama wap mzee 😂😂, Hebu tuwe sawa kati ya demokrasia ya ulaya na hapa kwetu.
 
Ujinga mtupu mmeshindwa kuushawishi umma ili upinzani uimarike matokeo yake mnatapatapa tu. Watanzania siyo wajinga wa kuyaamini mijitu mijinga kama wewe eti tuandamane kila siku ! Mtasubiri sana na Ikulu hamtaingia kamwe nyau nyie
Ndo umefikia ukomo wa kufikiri na hilo siyo kosa lako.

CCM ilaaniwe
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
Ulimbukeni bado unatusumbua.
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
Sasa mlitunga sheria ya nn
 
Unataka kuhalalisha Nini hapa . By the way sio Kwamba hakuna au hakukuwa na hayo mambo Bali wamevuka hiyo stage. Lakini pia hakuna Sheria inasema Kwamba baada ya uchaguzi kusiwe na hayo Mambo

Hii ndio point muhimu. Hakuna sheria inayozuia kusiwe na mikutano. Kwa upande wangu ninachoona ni dhaifu katika taifa leo ni civic societies kuwa dhaifi, dhaifu, dhaifu sana!! Ukiukwaji mkubwa wa sheria za nchi na maadili havipingwi mahakamani na makundi ya kijamii yaliyo na interests na kikachozuiliwa. Swala la mikutano wameachiwa wanasiasa tu na hatakushughulikiwa kwao na vyombo vya usamala ni pale tu wanaposhiriki mambo yaliyokatazwa. Hakuna kesi mahakamani kuhoji hayo!!

Asasi za kiraia (na ndizo zinaogopwa na serikali) zikiwa dhaifu basi polisi huchukua nafasi ya kuhakikisha katiba inavunjwa na serikali iliyo madarakani!
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
kukiwa na usawa katika kuendesha siasa hata wewe hautawalalamikia wanaolalamika kutoka kuwepo mikutano ya hadhara maana hawatataka kuandamana, kwa sababu wanajua wakati ukifika. Uwanja ni fair kwa wote.
 
Uchwara ni CCM . Mnazuia upinzani kufanya siasa lakini ukifika uchaguzi mnawakata na kufanya ujinga wa kila aina. Kama hamtaki vyama vingi turudi kwenye mfumo wa chama kimoja.
Hakuna Chama Tawala kinachowasaidia wapinzani wake kukitoa madarakani.

Fanyeni utafiti mjue nguvu yenu . Mjue idadi yenu . Muwekeze KWENYE Siasa. Mfano mnatakiwa mjue mna wanachama hai wangapi na Mashabiki wangapi?
Mjue ni wanachama Wangapi wapo tayari kufia chama inyeshe mvua liwake Jua!! Hiví kama Mdee kukosa tu Ubunge Kwa Miezi tu ameyumba na kukisaliti chama Tena akiwa na nafasi KUBWA ya uenyekiti Wa BAWACHA unategemea nani ataamini Katika kukifia chama?

Huwezi kuleta mabadiliko Kwa mbinu za usaliti na woga.
Mmewahi kujiuliza Kuwa mna WATU wangapi ndani ya mifumo?
Mna WATU wangapi ambao wapo tayari kupambana Kwa maandamano Hata Kwa kwenda au kufa? Hiví Mbowe ndio MTU Wa kufungwa Huku wanachama wake wakiwa wamelala nyumbani Kwa Raha mustarehe?
Mwenyekiti Wa chama KWENYE nchi ya mfumo Wa vyama vingi halafu mwenyekiti anafungwa gerezani Miezi SITA Bila sababu halfu wanachama na Mashabiki hawafanyi chchote eti Kuna MTU amekataa katiba isifuatwe. ? MTU Mwenyewe ni mwenyekiti Wa Chama kingine kinachotaka kuendelea kushinda !! Kweli KABISA mnataka Siasa za kutegemea huruma za mwenyekiti Wa CCM mnayeshindana Naye Ili mushinde uchaguzi ? Are you sirious?

Nyie Wapinzani Mnajua utamu Wa asali nyie kweli ? Mbona mnaogopa nyuki?

Jipangeni Vizuri msirudie makosa . Kutafuta Urais SIO lelemama, ni nafasi KUBWA kuliko zote Duniani , Bila kugangamara Ikulu musahau kuifanya ofisi yenu.
Ni WATU Wawili tu waliokuwa wamefanya ujinga na kukosa Ikulu. Marehemu L.Mrema na Lowasa. Hawa walikua na WATU NDANI ya mifumo Yote ya kidola,mahakama na Bunge Huku wakiwa na nguvu ya umma. Wakadanganyika Kuwa hawataki kuchochea maandamano. Hawa walijawa na woga Wa kukamatwa Kumbe ilikua ni kupoteza Fursa kubwa sana ya kuingia Ikulu na kuiondosha CCM madarakani.

Hawa Wawili walikua wameshinda uchaguzi na walikua na Watu wengi KWENYE Dola hivyo walikua na uwezo Wa kuitisha maandamano makubwa nchi nzima Kupinga hujuma na Tabia ya kakikundi ka WATU wachache kubadili matokeo ya uchaguzi na kuwaletea watanzania Kiongozi Wa kulinda maslahi yao.

Anatokea MTU kama Bashiru Ali anasimama na Kupinga Uungu Wa watawala kujifanya Kuwa wao ndio miungu wagawa riziki na Kila kitu Kwa wanadamu Lakini cha ajabu Wapinzani nao wanajitokeza kumpinga Kwa sababu ya woga tu Wa kisiasa Ili asije akapata umaarufu akawazidi.
Upinzani Gani usio na hoja ya kusimamia Ili hata waliopo NDANI ya CCM wenye misimamo Hiyo waone sapoti.!!
 
Kwa nyongeza nchi za kidemokrasia za kaskazini serikali ni wananchi (watu) na siyo mtu . Hivyo nchi inaweza kuendelea bila serikali kuwa na rais au waziri mkuu kwa miaka hata miwili huku vyama vya siasa vikiendelea na shughuli zao za,kisiasa kutafuta rais au waziri mkuu

Sababu kuu wenzetu nchi za kaskazini mifumo na taasisi zao imara zinafanya kazi vizuri bila kutegemea uwepo rais au waziri mkuu
10.
3 August 2020
BELGIUM SIKU 592 BILA KUWA NA WAZIRI MKUU


Nchi ya Belgium imevuja rekodi, kwa kutokuwa na kiongozi wa serikali kwa siku 592.

Pia imewahi kutokea huko nyuma nchi hii ya Belgium kuendelea bila kutetereka kwa siku 541 bila kuwa na kiongozi mkuu wa serikali yaani waziri mkuu

Kuwepo kwa taasisi imara zinazoongozwa na makatibu wakuu wa mawizara na zile taasisi za serikali za Mitaa kumewezesha nchi kazi iendelee bila ya kuwepo waziri mkuu ...

The Brussels Times
https://www.brusselstimes.com › bel...
Belgium breaks own record for longest period without government

3 Aug 2020 — It has been 592 days since the previous government, led by former Prime Minister Charles Michel, collapsed over inter........
Strained negotiations after last year's elections in May have routinely collapsed as party leaders and several top government officials resign from their mission to steer the coalition negotiations.

The previous record for Belgium's longest post-election period without a government stands at 541 days and ended with the swearing-in of Former Prime Minister Elio Di Rupo after a similarly convoluted negotiation period followed the June 2010 elections Source : Belgium breaks own record for longest period without government
Huku Afrika Rais akiondoka leo. Kwanza wanagawana pesa zote Banki kuu.
Akija mwenzake anakuta hakuna Hata mía.
Anaona madeni tu utadhani nchi ilikua Haina mapato.

Watu wanaenda kuficha mabulungutu ya pesa Nyumbani.
Akija Mwingine anasema hakuna pesa. Na Kwa sababu Naye ALIKUA madarakani wanafichiana Siri na kulindana.
 
Trump ana fanya kampeni za ndani ya chama ili kuomba lidhaa ya kuteuliwa na chama chake kuwa mgombea wa urais...

Pia ameanza mapema ili aweze kupiga chenga kesi zinazo mkabili pamoja na uchunguzi usitishwe kwa kipindi chote cha kampeni kama sheria zinavyo taka

Kwa marekani ukiwa na kesi na ukagombea kiti cha urais basi kesi itasimama kwanza

Kwa nujibu wa TBC...
Hakuna kipindi kilichokua Kizuri Kwa wapinzani kujipanga kama awamu ya Tano ya JPM !
Wapinzani wamejaa tamaa sana ya umaarufu Badala ya mikakati ya kujenga vyama vyao.

2015 wakishinda Viti vingi vya Ubunge na Udiwani.
Magufuli alitangazwa mshindi. JPM akawaomba sana wamuunge mkono Ili ashughulike na majipipu na kuyatumbua . Akasema yupo tayari kuwapa kiwanja cha kujenga makao makuu ya Chadema Dodoma. Akasema Maendeleo hayana vyama.
Akaanza kuwatumbua maCCM majizi Kwa haraka sana na Wengine wakatiwa NDANI kama Akina Manji . Chadema wakashindwa kucheza na Akili ya JPM ya kumtumia kukiua chama cha Mapinduzi.
Matokeo yake mfumo ambao umejaa Makada Wa CCM NDANI ya TISS,Polisi na JWTZ wakashtuka kuwa watakaoumia na msimamo wa JPM ni CCM mana ndiko waliojificha majizi . Wakafanikiwa kuja na mkakati wa kulinda Chama Cha mapinduzi Kwa kusema kuwa adui wa JPM ni wapinzani Kwa sababu wanapinga kila kitu. Wkaanza kukamata kamata wanaopinga, wapinzani bila kujua JANJA ya wahujumu uchumi walioshirikiana na majizi kwenye mifumo wakaungia mkenge.

Nikawashauri sana wapinzani kuwa tumieni wakati huu kuimarisha miundo mbinu ya Chama kwani wanaotumbuliwa ni CCM. Ulikua ni wakati wa kujenga ofisi za Chama kila Shina nchi nzima. Majengo ya ofisi ni rasilimali za wanachama sio viongozi wanaona hakuna umuhimu mana wao WANALENGA kura TU lakini sio Uimara wa Chama kuanzia kwenye msingi. Ujenzi wa ofisi kwanza unatoa nafasi ya Chama kujua mashina yenye nguvu na utayari wa kuimarisha chama. Wanapata ofisi halali za kufanyia mikakato yao. Jengo la Makao makuu linaleta Imani Kwa wananchi na kuonyesha nguvu yao kitaifa. Wanachama mil . 6 wakichanga Elfu 2000 ,wanajenga Jengo lenye thamani ya sh. Bil .12 . Juzi nimeona kahengo ka Chadema kenye hadhi ya choo Cha soko kakiwa kamejengwa Kwa zaidi ya mil. 116.Nikajiuliza Hawa wanasemaga wanataka serikali ili wakafanye ufisadi au wanataka kuosha majina tuu ?

Ufisadi umejichimbia CCM Kwa muda mrefu na Aliyekua na Nia ya kuuondoa alikua ni JPM lakini alipata upinzani Toka vyama vyote . Hivi unawezaje kufoji cheti na kupata ajira kama wewe sio CCM. Unawezaje kuiba Mali za umma kama wewe sio CCM. Wapinzani wakajikuta wanawapigania majizi ya CCM matokeo yake majizi yakapata nguvu kubwa kuliko Ile ya mwanzo. Nchi ndio imepotea njia kabisa na wapinzani kamwe hawawezi Tena kuingia Ikulu Kwa siasa za CCM zilizojaa mbinu za kila aina mbaya na hujuma za kila aina.
CCM hawaogopi Nyuki mana wanajua utamu wa asali.
 
Hakuna kipindi kilichokua Kizuri Kwa wapinzani kujipanga kama awamu ya Tano ya JPM !
Wapinzani wamejaa tamaa sana ya umaarufu Badala ya mikakati ya kujenga vyama vyao.

2015 wakishinda Viti vingi vya Ubunge na Udiwani.
Magufuli alitangazwa mshindi. JPM akawaomba sana wamuunge mkono Ili ashughulike na majipipu na kuyatumbua . Akasema yupo tayari kuwapa kiwanja cha kujenga makao makuu ya Chadema Dodoma. Akasema Maendeleo hayana vyama.
Akaanza kuwatumbua maCCM majizi Kwa haraka sana na Wengine wakatiwa NDANI kama Akina Manji . Chadema wakashindwa kucheza na Akili ya JPM ya kumtumia kukiua chama cha Mapinduzi.
Matokeo yake mfumo ambao umejaa Makada Wa CCM NDANI ya TISS,Polisi na JWTZ wakashtuka kuwa watakaoumia na msimamo wa JPM ni CCM mana ndiko waliojificha majizi . Wakafanikiwa kuja na mkakati wa kulinda Chama Cha mapinduzi Kwa kusema kuwa adui wa JPM ni wapinzani Kwa sababu wanapinga kila kitu. Wkaanza kukamata kamata wanaopinga, wapinzani bila kujua JANJA ya wahujumu uchumi walioshirikiana na majizi kwenye mifumo wakaungia mkenge.

Nikawashauri sana wapinzani kuwa tumieni wakati huu kuimarisha miundo mbinu ya Chama kwani wanaotumbuliwa ni CCM. Ulikua ni wakati wa kujenga ofisi za Chama kila Shina nchi nzima. Majengo ya ofisi ni rasilimali za wanachama sio viongozi wanaona hakuna umuhimu mana wao WANALENGA kura TU lakini sio Uimara wa Chama kuanzia kwenye msingi. Ujenzi wa ofisi kwanza unatoa nafasi ya Chama kujua mashina yenye nguvu na utayari wa kuimarisha chama. Wanapata ofisi halali za kufanyia mikakato yao. Jengo la Makao makuu linaleta Imani Kwa wananchi na kuonyesha nguvu yao kitaifa. Wanachama mil . 6 wakichanga Elfu 2000 ,wanajenga Jengo lenye thamani ya sh. Bil .12 . Juzi nimeona kahengo ka Chadema kenye hadhi ya choo Cha soko kakiwa kamejengwa Kwa zaidi ya mil. 116.Nikajiuliza Hawa wanasemaga wanataka serikali ili wakafanye ufisadi au wanataka kuosha majina tuu ?

Ufisadi umejichimbia CCM Kwa muda mrefu na Aliyekua na Nia ya kuuondoa alikua ni JPM lakini alipata upinzani Toka vyama vyote . Hivi unawezaje kufoji cheti na kupata ajira kama wewe sio CCM. Unawezaje kuiba Mali za umma kama wewe sio CCM. Wapinzani wakajikuta wanawapigania majizi ya CCM matokeo yake majizi yakapata nguvu kubwa kuliko Ile ya mwanzo. Nchi ndio imepotea njia kabisa na wapinzani kamwe hawawezi Tena kuingia Ikulu Kwa siasa za CCM zilizojaa mbinu za kila aina mbaya na hujuma za kila aina.
CCM hawaogopi Nyuki mana wanajua utamu wa asali.
True 100%
 
Back
Top Bottom