Ubinafsi wa Gamondi ni anguko la Yanga

Ubinafsi wa Gamondi ni anguko la Yanga

Kiukwel Gamondi must go maana mbinu zake zishachuja na Hana mbadala wapinzani washamsoma muda Mrefu....

Matokeo yake ya mbinu zake kuwa hafifu tunauwona sasa ushindi mwembamba katika mechi za Yanga hadi kufikia sasa anapoteza mechi mbili mfululizo tena hii Tabora Kwa idadi kubwa ya magoli
Kwa mtindo huu timu za Tz zitabadili sana makocha. Kufungwa ni sehemu ya mchezo hata timu ifungwe mara tatu. Tujifunze kwa nchi zilizoendelea
 
Kwa mtindo huu timu za Tz zitabadili sana makocha. Kufungwa ni sehemu ya mchezo hata timu ifungwe mara tatu. Tujifunze kwa nchi zilizoendelea
Hatuzungumzii kufungwa Bali tunazingumzia kiwango Cha timu!

Kwahiyo wewe unavyoona Kwa Uchezaji huu wa Yanga wako sahihi?,Kuna muda unafungwa na unaona timu imecheza na kutengeneza nafasi,lakini Yanga ya Sasa hilo halipo,hata wakishinda ni papatu papatu tu!
 
Back Pass Back Pass, pass pass pass pass pass pass pass pass pass turnover kaba back Pass Back Pass pass pass turnover turnover repeat again Zero Attempt no cross.

Unataka kuwa Barcelona.
Hairs Ile Barca ya mapass kibwens ilifeli sana after UCL ya 2011.

Timu inapaswa kupiga straight football more shorts on Target

Sio pass kibwena attempts sifuri.

How. Comes mabeki wanaucheza sana mpira kuliko viungo na washambuliaji.

Viungo wa Yanga wanajua kurudisha mipira nyuma tu sio kupeleka mbele.

Soon mtavurugana
 
Back Pass Back Pass, pass pass pass pass pass pass pass pass pass turnover kaba back Pass Back Pass pass pass turnover turnover repeat again Zero Attempt no cross.

Unataka kuwa Barcelona.
Hairs Ile Barca ya mapass kibwens ilifeli sana after UCL ya 2011.

Timu inapaswa kupiga straight football more shorts on Target

Sio pass kibwena attempts sifuri.

How. Comes mabeki wanaucheza sana mpira kuliko viungo na washambuliaji.

Viungo wa Yanga wanajua kurudisha mipira nyuma tu sio kupeleka mbele.

Soon mtavurugana
Tigha bhatemweeeeee!
 
Hatuzungumzii kufungwa Bali tunazingumzia kiwango Cha timu!

Kwahiyo wewe unavyoona Kwa Uchezaji huu wa Yanga wako sahihi?,Kuna muda unafungwa na unaona timu imecheza na kutengeneza nafasi,lakini Yanga ya Sasa hilo halipo,hata wakishinda ni papatu papatu tu!
Kufungwa kunaambatana na makosa kama hayo unayoyaona. Timu ina kiwango kizuri tu. Haimaanishi makosa hayo ni permanent.
 
Niliwaza Abuya kuchukua nafasi ya Nkane,Kisha kati kati Angekaa Mkude.

Diara psychologically hayuko Sawa,anawaza mengi kichwani,hakuna goal hata moja ameruka kujaribu kudaka mpira.

Awekwe bechi Mshery apewe nafasi kidogo.
 
Msitupigie kelele, Yanga sio baba yenu au mama yenu, hameni mtuache na kocha wetu master Gamondi, kocha la mbinu
 
Mliona raha sana kujaza ma-star wenye majina makubwa makubwa kwenye timu yenu, sasa nidhamu imeshuka, Kila mmoja anajiona kambale hivyo timu inacheza bila muunganiko.timu inacheza kwa Kila mchezaji kuonesha uwezo wake binafsi. Kukusanya mastaa na wakacheza kitimu inahitaji akili kubwa sana, wengi waliojaribu kufanya hivyo hawakubaki salama
 
Mliona raha sana kujaza ma-star wenye majina makubwa makubwa kwenye timu yenu, sasa nidhamu imeshuka, Kila mmoja anajiona kambale hivyo timu inacheza bila muunganiko.timu inacheza kwa Kila mchezaji kuonesha uwezo wake binafsi. Kukusanya mastaa na wakacheza kitimu inahitaji akili kubwa sana, wengi waliojaribu kufanya hivyo hawakubaki salama
Yaan hapo Kuanzia kocha Gamondi anajiona star,Hersi anajiona star ,Chama,Azizi K, Pacome wote ma star
 
Kwa hyo mkaona mbadala wa fitness coach ni kuwaboost wachezaji kwa masindano?ona Sasa Yao yao dawa zimedunda baada ya kuathiriwa na sindano..amebakiwa wa mbao ndefu tu
 
Back
Top Bottom