Upo sahih mkuu, Gamondi huyu huyu alotupa raha kupita kiasi msimu jana, leo kaishiwa mbinu?Tuachieni yanga yetu, ni mapema sana kuanza kumnanga kocha.
Yanga bingwa
Kwa hiyo pep, arteta na don carlo wanavyopoteza michezo kwa sasa wameishiwa mbinu.
Dah! Mashabiki wa kibongo wamejawa mihemko sana.