Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

We chawa wa marehemu na uko hai? Kwanini usimfuate. Nchi hii ni yetu sote yule wa kwako hayupo na nchi lazima iendelee. "Kazi iendelee"
Una uhakika mimi ni CHAWA wa marehemu yeyote yule? Kwa taarifa yako, hao wote nawasagia kunguni .
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Watanzania wengi ni waoga, hawapendi kutoka katika ile comfort zone wanayoishi. Ni uoga wa kutotaka kupokea changamoto mpya zenye kuweza kuja kuwasaidia maishani siku za mbeleni.

Ukiona haya matusi na lugha hasi ujue tatizo letu ni hilo, chanzo chake ni ile tabia ya kutopenda kutafuta maarifa mengi hivyo wanaamua kuishi kwa hulka zile zile zinazopitwa na wakati.
 
Unaamua kuandika chochote ulicho nacho kichwani!!

Tunataka useme kwenye mkataba na DP, uhai wa mkataba ni miaka mingapi? Mambo gani yatasababisha contract termination prior life of the contract.
Ni mikataba sio mkataba mmoja. Kuna mambo ya TEHAMA yanaingia, kuna mambo ya usafirishaji yanaingia humo.

Sio mkataba mmoja kama unavyojaribu kuwalisha watu matango pori humu JF. Bungeni lilikwenda azimio la mahusiano ya kibiashara kati ya Tanzania na Dubai na baada ya hapo ndio wadau kwa kina wanajadiliana kifungu kwa kifungu kadri ya maslahi mapana ya nchi yanavyotakiwa kulindwa.
 
Unaamua kuandika chochote ulicho nacho kichwani!!

Tunataka useme kwenye mkataba na DP, uhai wa mkataba ni miaka mingapi? Mambo gani yatasababisha contract termination prior life of the contract.
Muda wa mkataba unategemeana na miaka ya return of investment ya hela iliyowekezwa.

Sasa sio lazima wachukue maximu kila mwaka; serikali inaweza amua kuchukua asilimia kadhaa katika maeneo yao wanayoaendesha na kufanya muda wao wa kurudisha hiyo hela uwe mrefu.

Wanaweza pia kuwa na mkataba mwingine wa ku manage maeneo ya port baada ya hapo kama outsource contract kwa muda utakaopangwa na bandari; kukawa na condition kufikia KPI fulani wakishindwa mkataba wa uendeshaji unaweza vunjwa.

Hayo ni ya msingi kwenye kuamua muda na terms za kuvunja mkataba; si kwamba ni mkataba wa milele.
 
Ni mikataba sio mkataba mmoja. Kuna mambo ya TEHAMA yanaingia, kuna mambo ya usafirishaji yanaingia humo.

Sio mkataba mmoja kama unavyojaribu kuwalisha watu matango pori humu JF. Bungeni lilikwenda azimio la mahusiano ya kibiashara kati ya Tanzania na Dubai na baada ya hapo ndio wadau kwa kina wanajadiliana kifungu kwa kifungu kadri ya maslahi mapana ya nchi yanavyotakiwa kulindwa.
Inaonrkana uelewa wako ni mdogo sana kwenye mikataba.

Uliopelekwa bungeni, kwa Kiswahili ungeweza kuuita ni Mkataba mkuu au mkataba kiongozi. Hiyo mingine yote ni mikataba midogo ya utekelezaji. Lakini mkataba mkuu utakaoongoza kila kitu ni huu uliopelekwa bungeni. Hakuna mkataba mwingine wowote utakaopelekwa bungeni zaidi ya huu uliosainiwa Octobwr 2022.

Usituone wajinga,wengine hapa tuna taarifa za ndani kabisa kuhusiana na huu mkataba, kutoka kwa watu walio kwenye nafasi nyeti huko huko Serikalini lakini ambao hawawezi kusimama na kutamka yaliyo ya hovyo kwenye huo mkataba, kwa sababu ya viapo vyao.
 
Sasa sio lazima wachukue maximu kila mwaka; serikali inaweza amua kuchukua asilimia kadhaa katika maeneo yao wanayoaendesha na kufanya muda wao wa kurudisha hiyo hela uwe mrefu.
Mtoa mada unatakiwa ujadili kilichoonekana kwenye mkataba na sio kuongeza nadharia ambazo hatujui hata kama zitafanywa hivyo unavyohisi. Umeulizwa muda wa mkataba ni kiasi gani wewe unakwepa swali la msingi kwa kuweka maneno mengine.
 
Inaonrkana uelewa wako ni mdogo sana kwenye mikataba.

Uliopelekwa bungeni, kwa Kiswahili ungeweza kuuita ni Mkataba mkuu au mkataba kiongozi. Hiyo mingine yote ni mikataba midogo ya utekelezaji. Lakini mkataba mkuu utakaoongoza kila kitu ni huu uliopelekwa bungeni. Hakuna mkataba mwingine wowote utakaopelekwa bungeni zaidi ya huu uliosainiwa Octobwr 2022.

Usituone wajinga,wengine hapa tuna taarifa za ndani kabisa kuhusiana na huu mkataba, kutoka kwa watu walio kwenye nafasi nyeti huko huko Serikalini lakini ambao hawawezi kusimama na kutamka yaliyo ya hovyo kwenye huo mkataba, kwa sababu ya viapo vyao.
Penye maslahi ndio fitina inakuwepo. Hao waheshimiwa wasiotajika majina yao ni sehemu tu ya wanaoumia kuona SSH na serikali yake wanaokwenda kufanikisha hizi biashara haswa kwa maana ya kushikilia soko lote la upande la DRC, Rwanda na Tanzania.
 
Mtoa mada unatakiwa ujadili kilichoonekana kwenye mkataba na sio kuongeza nadharia ambazo hatujui hata kama zitafanywa hivyo unavyohisi. Umeulizwa muda wa mkataba ni kiasi gani wewe unakwepa swali la msingi kwa kuweka maneno mengine.
Ndio shida ilipo mmeshaelezwa zaidi ya mara mia na serikali ule sio mkataba bali ni framework ya kutengenezea HGA (mikataba ya utekelezaji, ambayo bado kwa sasa) lakini mmkedhana ni ule ndio mkataba.

Huko kwenye HGA ndio kutakuwa kuna maswala ya muda na principally inaamuliwa kwa miaka ya ROI + faida za mwekezaji.
 
Jibu hoja issue umesoma mkataba,Halima Mdee bungeni alishindwa kutetea hoja hajasoma vifungu
Hata we ni chawa TU tunshindwa kuendesha bandari yetu wenyewe mpaka pia nayo tusaidiwe ipo siku tutasaidiwa mpaka na wake zetu hii nchi bora uhai TU maanake na chawa NAO mnazidi kuongezeka Kwa Kasi ya 5g daah🤔
 
JPM alisema waziri anapenda ndege kwenda kusaini mkataba Ulaya, kwa kuwa hii lugha inampiga chenga anasaini asichojua. Anachoelewa tu ni kale kalugha kenye marupurupu yake.
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Wacha kutudharau watanzania. Tunaelewa kila kitu!
 
Ndio shida ilipo mmeshaelezwa zaidi ya mara mia na serikali ule sio mkataba bali ni framework ya kutengenezea HGA (mikataba ya utekelezaji, ambayo bado kwa sasa) lakini mmkedhana ni ule ndio mkataba.

Huko kwenye HGA ndio kutakuwa kuna maswala ya muda na principally inaamuliwa kwa miaka ya ROI + faida za mwekezaji.
Watu wabishi sana mkuu
 
Hata hawa pia?

Kenya imekanusha ahadi za zabuni ya Julai iliyotolewa kwa Dubai Port (DP) World ambayo ingeruhusu kampuni hiyo yenye makao yake makuu katika UAE kutoa zabuni ya maendeleo, uendeshaji na usimamizi wa bandari nne za nchi hiyo.

DP World ilisema serikali ya Kenya iliahidi kutoa ombi la pendekezo la kibiashara la mikataba ya bandari kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9.

Kenya ilikuwa imekubali kutoa upendeleo kwa DP World, inayomilikiwa na serikali ya Dubai na mojawapo ya waendeshaji wakubwa wa bandari duniani, katika makubaliano yaliyotiwa wino kati ya Mataifa hayo mawili.

Hazina imekanusha kuwepo kwa mpango huo na kukanusha kuwahi kutaja mipango ya kutoa zabuni ifikapo Julai.View attachment 2649714

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya ndio taifa lenye kiongozi anayejitambua.
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Kwahiyo ww una jua kuliko pro. Shivj na Manguli wa sheria walio kosoa mkataba huu...
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Umesoma uchambuzi wa Tanganyika Law Society?

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Kule kuwaalika wadau kwenda Dodoma kutoa maoni juu ya makubaliano yenu na DP; ndani ya massa 24, nako tatizo ni lugha? Kulikuwa na haraka gani kwenye jambo kubwa kama hili?
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Sio lugha tu kuna watu wamechukuwa itikadi zao kisiasa na kushabikia upotoshaji, na wale viongozi ambao wanasugua benchi kama kina Warioba ni watu wanachuki binafsi na wanashindwa ku move on. Mkataba wowote hauwezi kumpa side moja uwezo wa kuvunja tu nani atawekeza?
 
Aisee Watanzania aliyeturogaa alituwezaaa,,sijajua kama umepewaa sh ngapii hadii kuandikaa utumbo wako hapaa,watu kama nyiee ni wakukusanyaa na kuwatupaa baharinii mnaojifanyaa kila kitu ni kusifiaa tuu nyiee ni watu wabayaa saana zaidii ya nyokaa,,watu mnaojalii matumbo yenu tyuu shame on you,,,,
Nyinyi kwa sababu mwenyekiti wenu lazima apewe kitu mnadhani kila aliyena msimamo tofauti basi kapewa kitu, very low mawazo ya kishamba sana. Sasa na wewe umepewa na nani?
 
Umesoma uchambuzi wa Tanganyika Law Society?

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Hao baadhi wana maslahi binafsi bandarini

Wanahofu ya kesho yao
Mkuu hao wengi ni wamiliki wa clearing and Forwarding agents

Sijajua wanaogopa nini hao baadhi ya mawakili kwenye kampuni zao za clearing

Tunawafahamu

Kelele zao ni kama za Mpina ,Mpina yeye alipora mashamba Morogoro akajisahau na kunyooshea vidole wengine
 
Back
Top Bottom