Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

Mzee wetu Waziri Mkuu mstaafu bado yuko Jijini Arusha akijaribu kuokoa Jahazi lisizame,lakini mpaka sasa hakuna matumaini wala hauweni.
 

..arusha hawana mambo ya ukabila.

..pale wanachagua watu machachari, watu wa amsha-amsha.

..nimekupa mfano wa Makongoro Nyerere, na Godbless Lema.

..Arusha wanapenda watu wenye haiba kama za hao hapo juu.

..mrisho gambo amepooza sana, ana aibu, hawezi siasa za majukwaani.
 
gambo alikaribisha madiwani 10 ccm kutoka chadema! huu mwaka cdm is loosing vyama vingine vinagain wanachama,
Unazungumzia wale walioenda kuunga mkono juhudi kwa ushawishi wa pesa? Sikujua kama kuna daydreamer, acheni hizo buku tano za Lumumba zinawafanya muonekane vituko
 
Gambo Ni aina ya wabunge wanaokwenda kusema ndio bungeni na kudhalilisha bunge tulirudi Yale ya ndugai, tupeleke watu matured bungeni
 
Pole sana kwa kuwa na misconstrued and misguided mawazo juu ya hiki kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Arusha Mjini. Wewe subiri uone 28/10/2020. Mawazo na nadharia hasa hasa humu JF hayasaidii chochote.
 
Ile hospitali ya wanawake na watoto ambaye Lema alitaka kuanzisha kisha kufanyiwa figisu iliishia wapi?!

Yani ilisikitisha watu wengi maana watu toka mikoa mingine na nchi jirani wangekuja Arusha kupata huduma !

Yani swala lile liliwagusa watu wengi sana jamani !
 
Asante mkubwa kwa taarifa ya kuizika rasmi ccm kwa mara nyingine tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika yaani Mtu akisoma anasema Mrisho kaisha kweli. Hahahaha mwisho wa siku Mrisho anaibuka Kidedea kama ilivyokuwa kura za Wajumbe. Kishindo tu. Mrisho ndio Mbunge makini atakuwa.
Labda atakuwa mbunge kupitia jimbo la magogoni, siyo Arusha maana ccm ilishafutika kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ww upo arusha... Huyo mleta uzi mwenyewe hayupo arusha. Endeleeni kujifurahisha na kushangilia ushindi... Jana lema alikuwa na mkutano sinoni muulize alikuwa na watu wangapi....
I was born in Arusha na im still dwelling pia hali mnayoamibishana sivyo ilivyo
Wana Arusha hawawezi kuruhusu huu upuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaomuunga mkono gambo ni baadhi ya wafanya biashara wanaotaka kulindwa kwenye mambo yao ya gizani na baadhi ya wakazi wa uko chini muriet.Tena hao wakazi wenyewe wanahisi labda akiwa mbunge atasaidia yale maeneo kwabaadhi ya mambo ila kwakifupi Hakubaliki ata kidogo.
 
Naona unaota wewe siyo bure, ccm Arusha ilishakufa kitambo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…