Huyo Mnaemlaumu sio mgombea 😲,?Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?
Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John
Anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
Hawakuweka picha? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeWewe kina Kishoa, Minja, Kiwanga si wazoefu ?!. Labda unasumbuliwa mapenzi.
Bila shaka imerudi utumwani tena kwa akili ya mtu mmoja tu kutoka hutu Land !Toka lini makosa ya ujazaji wa fomu ikawa sababu ya kumnyima mtu haki yake ya kuchagua ama kuchaguliwa?
Kama kweli aliwahi kukutwa na makosa ya ukwepaji wa kodi,au kufungwa kwa kosa la jinai au labda si rais wa Tanzania hapo ingekuwa kweli.
Kunyimwa haki ya kugombea kwa sababu tu kuna mtawala hakutaki basi hii nchi itakuwa imerudi utumwani
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Wapinzani pekee na wewe inaingia akilini?Sema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Hakuna vita tanzania msijitie ujunga vichwani mwenuVita inalazimishwa kwa udi na uvumba
😂😂😂CHADEMA pigeni chini uchaguzi... Haina maana tena.
Mimi siyo kada wa chama chochote. Sina mahaba na chama chochote cha siasa. Mimi huandika ukweli bila kuongonzwa na mahaba.Kwa jibu hili nimegundua wewe ni kada mtiifu. Na unajitahidi sana kuwaondolea uhalali Chadema. Huna tofauti na Stroke, Jingalao etc.
HAKIKA HAKUNA ATAKAE ANDAMANA LABDA MAANDAMANO YA KWENYE SOCIAL MEDIAHakuna atakaeandamana. Ukiandamana naomba unitag nione picha/video za maandamano.
Hicho ndio tunachotaka kusikia sio habari nusunusuSema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Aliye juu wa vyote ni wa vyama vyote pia! Si Lissu alisema hatamuachia yule aliye juu ya vyote, mbona hafanyi chochote! Zilikuwa nguvu za soda? Au!CCM wanapanga ushindi wa mezani lakini hawajui Aliye juu ya vyote anapanga nini juu yao...
Sasa kama mnajazia fomu vyumbani na kuzirudisha bila kushirikisha wataalam na wanasheria mnamlaunu nani?Wapinzani pekee na wewe inaingia akilini?
Tanzania ni yetu sote mimi ni mtanzania naipenda siasa ya ccm toka enzi, lakini kwa kipindi hiki siasa yetu imekuwa chafu na isiyovutia . maana mpaka aibu! kizungumzia yanayoendelea
Kunguru ni chadema wanarandaranda tuKama CCM inaogopa wapinzani, kwanini tu isifute mfumo wa vyama vingi ibaki yenyewe ikiranda Kama kunguru
Ndo maana kama mpinzani unatakiwa utoe copy hata tatu za form ujaze kabla haujaijaza original,Maana kaa ukijua form yako itaangaliwa zaidi na watatafuta makosa kwa udi na uvumba. Hivyo inatakiwa umakini wa hali ya juu ili wakose kosa hata nusu.Wapinzani pekee na wewe inaingia akilini?
Tanzania ni yetu sote mimi ni mtanzania naipenda siasa ya ccm toka enzi, lakini kwa kipindi hiki siasa yetu imekuwa chafu na isiyovutia . maana mpaka aibu! kizungumzia yanayoendelea
Kwani walisema wanataka mkumbokwani wananchi wa ubuno walimwambia wanampenda yeye jacob?