Uchaguzi 2025, huyu mzee anazidi kumtia makamu tumbo joto

Hoja hapa Bandari yetu hatutaki iuzwe. Period
 
Mkuu yaani Wapumbavu wanazidi kuongezeka., bora hata zamani tulikuwa na wajinga na siyo hawa wapumbavu.
 
CHADEMA sio ACT hii ni CHAMA CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO KWAKIFUPI CHADEMA
Haya mkuu tusiandikie mate na wino upo. Hata 2015 kuna watu walipinga na wengine kuweka dau la nyumba zao kwamba chadema hakiwezi kufanya kosa la kumkaribisha fisadi chamani.

Lakini mwisho wa siku watu walipewa mpunga wakampokea na kumpitisha fasta fasta bila hata kutumia mchujo.
 
🤣🤣🤣🤣
 
Hoja hapa Bandari yetu hatutaki iuzwe. Period
Hoja ya bandari kwa sasa haina maana kwa sababu mods wameamua kuziunganisha thread zote zinazohusu bandari pamoja, kutokana na walalamikaje wengi kutokuwa na uwezo wa kuandika hoja zinazoeleweka, na mbaya zaidi ni kutumiwa na wajanja wachache wanaonufaika na mfumo mbovu wa bandari sasa hivi, kama vile wazee wa kukwepa kulipa ushuru wa bandarini, wezi wa vifaa mbali mbali pale bandarini, wapitisha madawa ya kulevya na vishoka wao.
 
Uharo
 
Mkuu yaani Wapumbavu wanazidi kuongezeka., bora hata zamani tulikuwa na wajinga na siyo hawa wapumbavu.
Vipi mlioambiwa Lowasa fisadi na bado 2015 mkampigia deki na kumpa kura awe raisi?
Wapumbavu au wajinga?
 
Pengo ana nguvu kuliko chama chenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…