UCHAGUZI BAVICHA: John Pambalu aibuka kidedea Uenyekiti. Nusrat Shaaban Hanje ateuliwa kuwa Katibu Mkuu

UCHAGUZI BAVICHA: John Pambalu aibuka kidedea Uenyekiti. Nusrat Shaaban Hanje ateuliwa kuwa Katibu Mkuu

Sina hakika kama ana mtoto au hana, lakini mume anaye.
Mume hah ha ha .jina la huyo mume wa Halima Mdee Anaitwa Nani? Uwiiiii

Au aliye karibu na Halima Mdee amuulize munewe Anaitwa Nani?
 
Baraza la vijana (Bavicha) la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) linaendelea na uchaguzi wake leo kwa ngazi ya kitaifa.

Muda mfupi uliopita katika ukumbi wa Mlimani City limewapata viongozi wake wakuu ambapo Diwani wa Butimba jijini Mwanza, Bwana John Pambalu ameshinda Uenyekiti kwa kupata kura 150.

Pambalu amefuatiwa na Diwani mwenzake wa kata ya Ari wilayani Babati mkoani Manyara, Bwana Mathayo Gekul aliyepata kura 74.

Katibu wa Chadema jimbo la Kawe jijini DSM, Bi Dorcas Francis amemaliza wa tatu kwa kupata kura 58.

Kwa Makamu Mwenyekiti Tanganyika, Mwanaharakati Bi Moza Ally kashinda kwa kura 136 dhidi ya 72 za Diwani wa Nyansurura huko Serengeti Mkoani Mara, Bwana Francis Garatwa.

Kwa upande wa Zanzibar, Makamu Mwenyekiti ni Omary Nassor.

Baadae ni uchaguzi wa Katibu Mkuu na Manaibu wake, Katibu Mwenezi na Mhasibu.

Hongereni sana Bavicha.

#IamTheFutureIwant#.NoHateNoFear.UchaguziChadema2019.
The sad story ni kuwa hawa wanatafuta political mileage and bargaining power tu ili baadae wahamie chama dollar ...
 
Kwa sasa mnamuita ''jabali'' lakini baada ya muda mtakuja tena hapa Jamiiforums mkimzodoa na kumtukana baada ya kuunga ''juhudi'' au kuwa ''inactive''!

Hakukuwa na umuhimu wa kutuambia kabila lake labda kama na wewe una fikra za kikabila kabila! Ninajua kwa nini umefanya hivyo kwa sababu CHADEMA inatuhumiwa kwa kubeba fikra za kikabila!

Ninajua kwa nini mmechagua wa kutoka kanda ya Ziwa! Pamoja na malengo yenu ya kisiasa yaliyopelekea ''kuteua'' Mwenyekiti wa BAVICHA kutoka kanda ya Ziwa lakini ni ukweli kuwa kanda ya Ziwa kwa sasa imeishatoka mikononi mwa wapinzani ukiachilia maeneo machache kama Tarime hasa Sirali.

Hii inatoa picha na ishara kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa sasa hatatoka katika Kanda ya Ziwa! Katibu Mkuu wa sasa, Mashinji ambaye anatoka kanda ya Ziwa ajiandae kurudi kwenye taaruma yake!
 
Akapambane na fashisti mbowe
Chadema kimepata Jabali.Ndivyo tunavyowezs kusema baada ya John Pambalu Diwani wa Kata ya Butimba Mwanza kuzoa kura na kuwa Mwenyekiti mpya Bavicha akirithi mikoba ya Pateick Ole Sosopi.

Pambalu Msukuma kutoka Kanda ya ziwa mkoani Mwanza ni mpiganaji aliyekulia vyema kwenye mikono ya Freeman Aikael Mbowe Mwenyekiti wa chama hicho Taifa.
View attachment 1287918
 
Chadema kimepata Jabali.Ndivyo tunavyowezs kusema baada ya John Pambalu Diwani wa Kata ya Butimba Mwanza kuzoa kura na kuwa Mwenyekiti mpya Bavicha akirithi mikoba ya Pateick Ole Sosopi.

Pambalu Msukuma kutoka Kanda ya ziwa mkoani Mwanza ni mpiganaji aliyekulia vyema kwenye mikono ya Freeman Aikael Mbowe Mwenyekiti wa chama hicho Taifa.
View attachment 1287918
Hahahaaaa....... Hahahaaaa........ Hata Patrobas Katambi alikuwa ni msukuma kutoka kanda ya ziwa bwashee Molemo!
 
Baraza la vijana (Bavicha) la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) linaendelea na uchaguzi wake leo kwa ngazi ya kitaifa.

Muda mfupi uliopita katika ukumbi wa Mlimani City limewapata viongozi wake wakuu ambapo Diwani wa Butimba jijini Mwanza, Bwana John Pambalu ameshinda Uenyekiti kwa kupata kura 150.

Pambalu amefuatiwa na Diwani mwenzake wa kata ya Ari wilayani Babati mkoani Manyara, Bwana Mathayo Gekul aliyepata kura 74.

Katibu wa Chadema jimbo la Kawe jijini DSM, Bi Dorcas Francis amemaliza wa tatu kwa kupata kura 58.

Kwa Makamu Mwenyekiti Tanganyika, Mwanaharakati Bi Moza Ally kashinda kwa kura 136 dhidi ya 72 za Diwani wa Nyansurura huko Serengeti Mkoani Mara, Bwana Francis Garatwa.

Kwa upande wa Zanzibar, Makamu Mwenyekiti ni Omary Nassor.

Baadae ni uchaguzi wa Katibu Mkuu na Manaibu wake, Katibu Mwenezi na Mhasibu.

Hongereni sana Bavicha.

#IamTheFutureIwant#.NoHateNoFear.UchaguziChadema2019.

KAMA NI KIJANA MAKINI...

Pambalu simfahamu. Lakini kama ni kijana makini hatosalia huko CDM. Atahamia CCM muda mwafaka. Muda tutaongea.
 
Hahahahaaa kwenye hilo kapu..Huyu dogo zero ndio mmeona atawavusha
 
Chadema kimepata Jabali.Ndivyo tunavyowezs kusema baada ya John Pambalu Diwani wa Kata ya Butimba Mwanza kuzoa kura na kuwa Mwenyekiti mpya Bavicha akirithi mikoba ya Pateick Ole Sosopi.

Pambalu Msukuma kutoka Kanda ya ziwa mkoani Mwanza ni mpiganaji aliyekulia vyema kwenye mikono ya Freeman Aikael Mbowe Mwenyekiti wa chama hicho Taifa.
View attachment 1287918
kwahiyo amechaguliwa kisa amekulia kwenye mikono ya Mbowe?

kweli Mbowe ni mmliki halali wa saccos ya Chadema
 
Kwa system hii ilitakiwa mtukutu mdude tu ambae haogopi !
 
Back
Top Bottom