Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe tena?!Chadema ya kweli ilikuwa ile ya Dr Slaa hii ya Mbowe imefeli pakubwa tu mosi aliwakaribisha Lowassa na Membe bila ya kuwafanyia vetting na sasa asubiri Nyalandu kutimka !
Ni kijana!Umri
Mkuu kwani huwezi kutoa hoja kwa kutumia lugha ya kiungwana badala ya kejeli na matusi?Vijana Bavicha mko.vizuri kuliko.li chadema lenyewe.Bavicha mna sura ya kitaifa.Mwenyekiti katoka Tanzania Bara na makamu katoka Zanzibar.
Lichama lenyewe linazidwa akili na vitoto vya Bavicha sababu chadema wagombea uenyekiti wanatoka Tanzania Bara na Makamu mwenyekiti Ni Tundu Lisu toka Tanzania Bara hopeless kabisa.
Lichama pumbafu linazidwa akili na vitoto vya Bavicha
Hongereni na pongezi kwenu viongozi wote wa Bavicha mlioshinda
Na maridhiano yakitokea wasaliti wote watapata aibuNamtakia kila la heri kijana Pambalu. Nafahamu Ni mpambanaji, ninachoomba sana kwake na kwa wote watakaoaminiwa kupata nafasi za uongozi ndani ya Chadema wajiapize mioyoni mwao kutotumia nafasi zao kujinufaisha kwa njia za kisaliti kama akina Katambi.
Wafahamu kuwa kuinufaisha CCM ili itimize azma yake ya kuangamiza Chadema na upinzani kwa ujumla ni dhambi kubwa dhidi ya Watanzania na wapenda demokrasia duniani kote. Usaliti na wasaliti kwa majina yao huwa hawafi!!!!
Hivi chato na iringa ni bara na visiwani..?Vijana Bavicha mko.vizuri kuliko.li chadema lenyewe.Bavicha mna sura ya kitaifa.Mwenyekiti katoka Tanzania Bara na makamu katoka Zanzibar.
Lichama lenyewe linazidwa akili na vitoto vya Bavicha sababu chadema wagombea uenyekiti wanatoka Tanzania Bara na Makamu mwenyekiti Ni Tundu Lisu toka Tanzania Bara hopeless kabisa.
Lichama pumbafu linazidwa akili na vitoto vya Bavicha
Hongereni na pongezi kwenu viongozi wote wa Bavicha mlioshinda
Wanaotoka Mwanza ni wazuri sana kwa kuunga mkono juhudi za Ngosha mwenzao. Ngoja tuone huyu ataahidiwa cheo gani kati ya ukuu wa mkoa au wilaya. Yaani alipotangazwa kushinda tu, jamaa wa Lumumba wameshamwandalia cheoMwanza kasoma pamba sekondary advance kasoma ihungo sec bukoba
Binafsi namfahamu tangu akiwa mtoto ni kijana mcha Mungu anayeipenda siasa tangu akiwa mtoto
Halafu Katambi naye anatoka MwanzaHata katambi mlimpamba sana ,mwisho wa siku akawapa mkono wa kwaheri
Hii ndio pale watu wanapokuwa wamevaa jezi za chama chao alafu wanawananga wenzao kama vile sio sehemu ya mafanikio ya nchi alafu tunapokuja kwenye maisha ya kawaida unakuta hatuulizwi kadi za vyama bali vitu vingine kabisa kulingana na vigezo na masharti vya maeneo husika (hapa ndipo watu huanza kupotea)Tunakukumbusha tu kwamba U-CCM, U-CHADEMA, U-CUF, U-ACT ukiisha kunabaki mambo mawili! WATAWALA na WATAWALIWA- Chagua upande wako mapema! Wakati mgumu ni wakati ambao kijani unasema ni kaki!!
Hivi kasoma Butimba day au Pamba?Mwanza kasoma pamba sekondary advance kasoma ihungo sec bukoba
Binafsi namfahamu tangu akiwa mtoto ni kijana mcha Mungu anayeipenda siasa tangu akiwa mtoto
Ngosha hatakubali Mwenyekiti Bavicha atoke Mwanza,Pambalu atapitia vishawishi vingi na mwisho huenda akaunga mkono juhudi za mheshimiwaHata katambi mlimpamba sana ,mwisho wa siku akawapa mkono wa kwaheri
Brother Tindo hawa watu siku hizi sio wa kuwapa dhamana kihivyo.Mie kamoyo kanadundadunda,Ngosha atakubali sehemu anayoitegemea kwa Kula itoe Mwenyekiti wa Bavicha? Huyu jamaa Ana mtihani mkubwa wa vishawishiNamfahamu huyo dogo kupitia Star TV, Ni mkakamavu, mjenga hoja n
Mzuri japo ana jazba za haraka na ni mrahisi kutoka kwenye njia akipandwa na jazba. Kitu ambacho sina shaka naye ni mapenzi yake mazito kwa cdm. Nadhani ni ngumu kuhongwa kwenda kuunga juhudi, maana sasa hivi hiyo ndio fashion.