Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nusrat dah, nimpe hongera tu. She is a real CHADEMA.
Duh.......huyu CCM lazima wamtamani.
Nilikuwa namuona ITV malumbano ya hoja na akina Kunambi, Happi, Assenga, Katambi........ana uwezo mzuri wa kujieleza.
Maendeleo hayana vyama!
No wonder mlisema ruge (49) amekufa kijana mdogo kabisaUkijana ni umri na siyo umbo
Ongezea na lemutuz hapo.Huyu na akina kingwangwala,January makamba,ridhiwani,nani mkubwa?. Maana hao wote wako uvccm
Inasemekana Le Mutuz alifanya kazi kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki .Ongezea na lemutuz hapo.
Na mm nakutwanga swali...ni umri gani mtu anapaswa ili awe kwenye jumuiya ya wazazi ccm...maana nikipima umri wa bulembo na lemutuz[emoji848]
Aliyebakia CCM mwenye akili ni wewe tuDuh.......huyu CCM lazima wamtamani.
Nilikuwa namuona ITV malumbano ya hoja na akina Kunambi, Happi, Assenga, Katambi........ana uwezo mzuri wa kujieleza.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa hyo ndo maana yupo uvccm hadi Leo? Maana naona kama vile ni agemate na jk hiviiInasemekana Le Mutuz alifanya kazi kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki .
Na Nchimbi pia.Unamkumbuka Kibabu Sadifa na Shigella wa UVCCM?!
Hamna mtu mwembamba duniani.Kipindi hicho hata makonda alikuwa huko sana.
Na pia JK alipata urais akiwa na miaka 55 na wakasema tumepata rais kijana.No wonder mlisema ruge (49) amekufa kijana mdogo kabisa
Le-mutuz naye ni kijana [emoji777] [emoji23][emoji23]Usisahau na LE-MUTUZ yuko UVCCM.
nadhani Kikwete amemzidi Le Mutuz kwa miaka 2 au 3Kwa hyo ndo maana yupo uvccm hadi Leo? Maana naona kama vile ni agemate na jk hivii
Umeonaeeh...? Akina lemutuz?. Na swali lako Nakujibu hivi kwenye makaratasi nafikiri wameweka miaka 35 ndio umri wa ujana. Lakini wengi utakuta wana miaka 42 wako smart kiujana kabisa. Ndio akina January. Mfano ukibahatika kukutana na mimi nikikuambia nina miaka 43 huwezi kuamini. Niko smart kiujana kabisa kuliko walionifuatia wenye miaka 35/36. Sababu kubwa ni namna mtu unavyojitunza. Unakuleje vile vile. Mimi hakuna siku inanipita bila mazoezi ya saa nzima. Lakini kwa kumalizia huyo sister kwa muonekano tu hazidi miaka 34.Ongezea na lemutuz hapo.
Na mm nakutwanga swali...ni umri gani mtu anapaswa ili awe kwenye jumuiya ya wazazi ccm...maana nikipima umri wa bulembo na lemutuz[emoji848]
Na Lowassa ni mdogo kwa JK kwa miaka 2.nadhani Kikwete amemzidi Le Mutuz kwa miaka 2 au 3
Hahahaaaa.......hahahaaaa....... Chadema bhana!Aliyebakia CCM mwenye akili ni wewe tu