imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hebu weka picha ya sura ambayo unafikiria kuwa ni ya mtanzania kwanza halafu tuanze mjadala usipanicHiyo sura inatia mashaka!
Siamini kama ni Mtanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu weka picha ya sura ambayo unafikiria kuwa ni ya mtanzania kwanza halafu tuanze mjadala usipanicHiyo sura inatia mashaka!
Siamini kama ni Mtanzania
Vipi Hussein bashe na aden rage zile sura?Hiyo sura inatia mashaka!
Siamini kama ni Mtanzania
Hebu weka picha ya sura ambayo unafikiria kuwa ni ya mtanzania kwanza halafu tuanze mjadala usipanic
Vipi Hussein bashe na aden rage zile sura?
Huo sasa ni undondocha katafute tiba kijana mdogo.Mtanzania ukimwona tu hujiulizi mara mbili
Huyo achunguzwe uraia wake
Hivi kwanini ma Sare ya ma CCM huwa hayana Mvuto kama ya CHADEMANusrat Shabani Hanje Amechaguliwa Kuwa Katibu Mkuu Wa Baraza La Vijana Wa CHADEMA (BAVICHA Taifa).
View attachment 1288257
Haujawahi kukaa Singida na Arusha haujui chochote kuhusu Wataturu na WanyaturuWale wanajulikana ni Watanzania waliohamia kisheria
tupia na maoni yako kidogo ili utupe mwanga hasa sisi tuliopo hapa mchambawimaNusrat Shabani Hanje Amechaguliwa Kuwa Katibu Mkuu Wa Baraza La Vijana Wa CHADEMA (BAVICHA Taifa).
View attachment 1288257
Mwambie ujana unatofauti kulingana na kitu unachofanya kwa mfano kwenye mpira ukiwa na miaka 30 ni mzee!!Huyu na akina kingwangwala,January makamba,ridhiwani,nani mkubwa?. Maana hao wote wako uvccm
Mkoa wa lumumbaAnatoka mko gani?
Wakati unaliwa birianiWakati gani mgumu?
Awe shoger kama weweOk asiwe mkorofi kama Vijana wa Bavicha atafeli
Marinda haunaWasukuma wameingia kuwanyoosha wachaga huko huko kwenye kisaccos chao.
Hongera ngosha Pambalu nenda katetee maslahi ya rais Magufuli
Hivi kasoma Butimba day au Pamba?
Baraza la vijana (Bavicha) la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) linaendelea na uchaguzi wake leo kwa ngazi ya kitaifa.
Muda mfupi uliopita katika ukumbi wa Mlimani City limewapata viongozi wake wakuu ambapo Diwani wa Butimba jijini Mwanza, Bwana John Pambalu ameshinda Uenyekiti kwa kupata kura 150.
Pambalu amefuatiwa na Diwani mwenzake wa kata ya Ari wilayani Babati mkoani Manyara, Bwana Mathayo Gekul aliyepata kura 74.
Katibu wa Chadema jimbo la Kawe jijini DSM, Bi Dorcas Francis amemaliza wa tatu kwa kupata kura 58.
Kwa Makamu Mwenyekiti Tanganyika, Mwanaharakati Bi Moza Ally kashinda kwa kura 136 dhidi ya 72 za Diwani wa Nyansurura huko Serengeti Mkoani Mara, Bwana Francis Garatwa.
Kwa upande wa Zanzibar, Makamu Mwenyekiti ni Bwana Omary Nassor aliyepata kura 110 na kumzidi mpinzani wake, Bi Rukia Mohammed aliyepata kura 94.
Mwanadada Nusrat Shaaban Hanje kutoka Kigamboni DSM amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Baraza hilo.
Bi Nusrat Hanje atasaidiwa na Kaunya Yohana kutoka Bunda Mkoani Mara kama Naibu wake, upande wa Tanganyika.
Naibu Katibu Mkuu Zanzibar ni Haji Abeid Haji.
Katibu Mwenezi amechaguliwa Kamanda Twaha Salim Mwaipaya.
Nafasi ya Mhasibu ni hapo baadae.
Hongereni sana Bavicha.
#IamTheFutureIwant#.NoHateNoFear.UchaguziChadema2019.
Hahaaa! Nilizani makamu katokea somalia kumbe singida? Wonders shall never endVijana Bavicha mko.vizuri kuliko.li chadema lenyewe.Bavicha mna sura ya kitaifa.Mwenyekiti katoka Tanzania Bara na makamu katoka Zanzibar.
Lichama lenyewe linazidwa akili na vitoto vya Bavicha sababu chadema wagombea uenyekiti wanatoka Tanzania Bara na Makamu mwenyekiti Ni Tundu Lisu toka Tanzania Bara hopeless kabisa.
Lichama pumbafu linazidwa akili na vitoto vya Bavicha
Hongereni na pongezi kwenu viongozi wote wa Bavicha mlioshinda