UCHAGUZI BAVICHA: John Pambalu aibuka kidedea Uenyekiti. Nusrat Shaaban Hanje ateuliwa kuwa Katibu Mkuu

UCHAGUZI BAVICHA: John Pambalu aibuka kidedea Uenyekiti. Nusrat Shaaban Hanje ateuliwa kuwa Katibu Mkuu

Hakuna dhambi. Hapo. Acha kuchanganyA Dini na. Mambo y kijinga. Unadai Demokrasia lakini mtu akitumia uhuru na utashi wake we unaita kusaliti. Mlinde kwanza mama watoto mkuu. Huko ndo kuna kusalitiana.
Kuna kutumia kutumia uhuru kwa utashi na kuna kuamua bila kupenda.Hayo yote ni sehemu ya maisha.mi nimetoa tu tahadhali.kama hujui tu siasa ni imani.Ukisaliti imani yako huwezi kupata amani.Mzee baba unakwama wapi?
 
Hakuna kitu huyu nae ni pumba tu. Hii ndio kwa mara kwanza kaijibu kama ilivyo. Hapo ujue roho inamuuma kujibu kama alivyo muelelezea huyo dada
Ila wakati mwingine unafiki anauacha nyumbani
 
Weka akiba ya maneno
Namfahamu huyo dogo kupitia Star TV, Ni mkakamavu, mjenga hoja n
Mzuri japo ana jazba za haraka na ni mrahisi kutoka kwenye njia akipandwa na jazba. Kitu ambacho sina shaka naye ni mapenzi yake mazito kwa cdm. Nadhani ni ngumu kuhongwa kwenda kuunga juhudi, maana sasa hivi hiyo ndio fashion.
 
Back
Top Bottom