UCHAGUZI BAVICHA: John Pambalu aibuka kidedea Uenyekiti. Nusrat Shaaban Hanje ateuliwa kuwa Katibu Mkuu

Wanawake mabinti wanaweza Sina shaka.Wana sababu kubwa ya mafanikio ya kisiasa ukizingatia Tanzania si kisiwa kilicho mbali na maendeleo ya dunia .Wanawake wengi wanafahamu changamoto Za kijamii na ni rahisi kuzitatua
 
Chadema bhana ni ya wachaga na wakurya,wasukuma wanachukuliwa kama bosheni kutafuta popularity,kulijua hili inahitaji uwaze nje ya box
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa! Nilizani makamu katokea somalia kumbe singida? Wonders shall never end

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera zake!! Sio musukuma ila amekaa na kukulia mwanza( mkuyuni). Kabila lake ni MUFIPA TOKA SUMBAWANGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…