Uchaguzi CCM: Marufuku kuchukua fomu kama huna Cheti cha Taaluma

Status
Not open for further replies.
Amegraduate mwaka gani?
Mbowe anakuzidi kila kitu amesoma Uingereza ambako ukoo wenu wote hakuna aliyewahi kusoma zaidi mnaishia Udom mpuuzi wewe, acha kudharau watu, pia ana wazidi utajiri ukoo wenu wote
 
Mbowe anakuzidi kila kitu amesoma Uingereza ambako ukoo wenu wote hakuna aliyewahi kusoma zaidi mnaishia Udom mpuuzi wewe, acha kudharau watu, pia ana wazidi utajiri ukoo wenu wote
Mwenyekiti alishawakataza kutukana watu, mimi simthamini Freemason Mbowe kwa elimu wala utajiri wake, bali namkubali na kumuheshimu kwa sababu ni genius.

Zitto Kabwe anamzidi vyeti vya academic Mbowe haina maana Zitto ni zaidi ya Mbowe.

Vijana wa Chadema mjifunze kusikia msiyopenda kuyasikia na usirupuke tu kukashifu watu huenda wakati sisi tunakwenda kucheza disco kwenye club yake ulikuwa hujazaliwa.

Mbowe ameajiliwa BOT kama karani akiwa amemaliza form six ya zamani.
 
Kumbe ukweli unaujua vizuri, sasa unasemaje Mbowe hajasoma na wakati unakiri kuwa alimaliza F6 enzi hizo na mwaka 2006 alienda kusoma Uingereza?
 
Kwahiyo Katibu Mkuu na yeye ameanzisha zengwe jingine la kuwaengua watu bila kufuata utaratibu??
Yaani KM ametoa maelekezo bila kujua kanuni zao zinasemaje, basi ipo shida kubwa ya kiuongozi huko CCM.
 
Mama Samia hongera sanaaaa kwa hili, na Katibu Mkuu wetu hongera sana. Ukiweza chukua watu makini, wenye vyeti vya taaluma, CCM itakuwa mpya mpyaaa kabisa. Tumechelewa kwenye hili sana, ila bora muanze sasa hivi, hapa mtawatoa wale wazugaji na wapiga debe na wasio na uwezo wowote katika uongozi wa Chama chetu, CCM itakuwa CCM Daima na milele sasa.

Vyeti muhimu sana, sbb Chama kinahitaji watu wenye IQ nzuri kuongoza wanachama katika ngazi mbali mbali na matatizo mengi mno yatapungua.
 
MKUU

Vyama vikuu viwili
Vimeshapoteza muelekeo

Vitafutwa vizaliwe vipya
Ambavyo vitafundisha uzalendo!

Tuvisubiri
unaota mkuu,hivi unajua marekani republican na demoratic wameanza lini? The same kwa uingereza na German.
 
Haya ni maboresho ya Dk. Bashiru. Ahsante sana dokta!
 
Sisi ambao hatuna shule (la saba na fomu 4) tunajua sana kujifariji.
Ila ukweli ni kwamba wasomi wapewe nafasi zao.
 
Kwa kuishikilia nukta hii ni either hauna hizo sifa tajwa or kuna mtu unamsupport ila hana hizo sifa tajwa...moja kati ya hizo nadharia mbili inahusika hususani hiyo ya pili.
 
Kwa kuishikilia nukta hii ni either hauna hizo sifa tajwa or kuna mtu unamsupport ila hana hizo sifa tajwa...moja kati ya hizo nadharia mbili inahusika hususani hiyo ya pili.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona uchaguzi umekaribia kwisha , huko walikofanya uchaguzi watarudia ?
 
Naunga mkono hoja. Chama kinashika dola halafu 70% ya viongozi wake wameishia darasa la 7 au wanajua kusoma na kuandika tu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…