UCHAGUZI CHADEMA: Mahojiano ya Mbowe leo Clouds yamesitisha moja kwa moja Mdahalo wa Lissu na Mbowe

UCHAGUZI CHADEMA: Mahojiano ya Mbowe leo Clouds yamesitisha moja kwa moja Mdahalo wa Lissu na Mbowe

Exactly, wamemuita kwenye vikao, leta evidence za Abdul, ..hajatoa akaingia mitini. sasa huyo kweli awe kiongozi wa juu wa chama? Lisu is good, very good katika kulumbana na polisi, Samia na watu wengine wa mikiki mikiki, lakini asiwe top,ataharibu chama. Yeye wamuache apige kelele za barabarani, ambayo yanahitaji utulivu wa akili ayafaye Mbowe na wengine, Lisu akiwa mshauri, lakini si msemaji mkuu
Alipokua mnadhimu mkuu mbona hatukuona haya in fact chadema ilipata heshima kubwa sana bunge la 10. Amekua Rais TLS mbona sikuona haya unayodai hapa? Mmempa hadi kugombea urais mbona hatukuona hayo? Leo ameomba fomu ya uenyekiti ndio amekua MROPOKAJI?

It's ironic
 
Tusubiri muda utazungumza but I bet,ikitokea Lissu akitika CDM huo ndio utakuwa mwisho wa CHadema.
Siasa ni nyakati,Kikwete hakuwaha mjinga kumleta Magufuli kipindi kile ilihali Magufuli alionekana kama Kiongozi asiyekuwa na sitaha wala bisara.
 
Alipokua mnadhimu mkuu mbona hatukuona haya in fact chadema ilipata heshima kubwa sana bunge la 10. Amekua Rais TLS mbona sikuona haya unayodai hapa? Mmempa hadi kugombea urais mbona hatukuona hayo? Leo ameomba fomu ya uenyekiti ndio amekua MROPOKAJI?

It's ironic
Hawa wamachame wapumbavu sana wanaona nafasi ya uenyekiti ni kwa ajili ya Sultan Mbowe tu,yaani hawa ni takataka kabisa ndiyo maana hata jamii nyingine ya Wachaga wanawachukia hawa wapalestina.
 
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.

Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.

Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
Muda ambao umetumia kuandika utumbo wote huu isi ungeutumia kulala ukue mkuu?
 
Muda ambao umetumia kuandika utumbo wote huu isi ungeutumia kulala ukue mkuu?
Unataka aandike fikra zako KWAKUWA unajiona ww unaakili mmno kuliko wengine kama ulivyofundishwa na tundu
 
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.

Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.

Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
Mdahalo huko pale pale,uko ndo tutajua wapi panavuja,woga wa nini!!
 
Unataka aandike fikra zako KWAKUWA unajiona ww unaakili mmno kuliko wengine kama ulivyofundishwa na tundu
Wewe ndiye mwenye akili nyingi ulizofundishwa na Mbowe na Abdul na mama yake. Endelea kuandika nimekuachia uwanja ujimwayemwaye mkuu.
 
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.

Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.

Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
Mbowe alionyesha uwezo wake kwenye mdahalo. Lakini je kuwa muongeaji mzuri kuna maanisha uwezo wa ziada kwenye utekelezaji wa mipango ya chama?
 
Nyumbu wa Sultan Mbowe mna makengeza ya akili. Mtu interview nzima hajaeleza atafanya nini zaidi anaeleza aliyofanya ambayo kila mtu anayajua eti huyo ndiye genius,mahaba yamewapofua macho
Akili ndogo kama Lissu hamuwezi kumuelewa Mbowe. Mnamuelewa Mropokaji Lissu. Mfano, Mbowe muda wote alikuwa ana address; "Mh. Lissu, Mh. Heche,..."!

Lissu Sasa akiwa ana address wenzake utasikia; " Magufuli, Samia, Mbowe,....!" Jinga sana hili takataka!
 
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.

Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.

Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.

GgorHp4XUAAE0_u.jpeg
 
Akili ndogo kama Lissu hamuwezi kumuelewa Mbowe. Mnamuelewa Mropokaji Lissu. Mfano, Mbowe muda wote alikuwa ana address; "Mh. Lissu, Mh. Heche,..."!

Lissu Sasa akiwa ana address wenzake utasikia; " Magufuli, Samia, Mbowe,....!" Jinga sana hili takataka!

Gg8eycIXkAIz-Qz.jpeg
 
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.

Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.

Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
Vipi amezungumzia lolote kuhusu ganzi aliyodungwa baada ya kutoka jela
 
Back
Top Bottom