Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
 
Nina hamu ya kuona hillo pingamizi jamani weeee acha tuu, na wasipopeleka pingamizi ina maana wote walikuwa wanajihami kama kuku mwoga
 
Mlioko Igunga,hakuna chochote? Au wameogopana?
 
Kwanini hakuna atakae muwekea pingamizi mgombea wa CuF?' JE sisiemu kumwekea pingamizi(i predict that) mgombea wa chadema ndio demokrasia au woga??

Ni heri jimbo liende kwa CUF kuliko CDM.
 
yani kuna watu hapa jf wanapenda kupotosha ukweli sana..tuwekeni wazi wakuu ni chama gani kimewekewa pingamizi???
 
Tangu lini makanjanja wakawa watu makini, hebu tuangalie pale TBC nani anaweza kutoa habari za ukweli ikiwa wote ni watu wa CCM kila mara nikuripoti habri mbofumbofu tu za upinzani huku kila baya la CCM WAKILITIA KAPUNI, Magazeti kama habari leo si ndio walitabiri kuwa DR JK atakuwa rahisi mmh. Tuwe waungwana waandishi tulionao hawana moyo wa kizalendo wako kimaslahi zaidi
 
Tatizo la chama cha Magamba ni kuona kuwa matatizo ya Wadanganyika ni ya muda tu wakati wa kampeni yaani wanafanya Wadanganyika ni watu wasiokuwa na uelewa mambo. Vyombo vilivyotajwa hapo ni vya makada wao wasiojali utu wa Watanganyika wanaozania kuwa watabaki milele wamesimama
 
Pingamizi limewekwa na vyama 3 kama ifuatavyo;

AFP -dhidi ya CCM kuwa Kafumu hana ruhusa ya mwajiri wake na hivyo ametoroka kazini anapaswa kuenguliwa na wakaweka precidence ya pingamizi la Prof.Mwandosya dhidi ya mgombea wa NCCR kule rungwe.CCM wameandikiwa juu ya pingamizi hilo na hawajajibu mpaka sasa .

AFP-dhidi ya mgombea wa CUF kuwa mgombea wa CUF hakuteuliwa na vyombo vya kikatiba vya chama kwani hakukuwahi kufanyika kikao chochote cha baraza kuu kwa ajili ya kumteua kama katiba yao inavyosema hivyo sio mgombea halali -kaandikiwa ajibu na mpaka sasa hajajibu.

CCM -dhidi ya CDM wao wamesema kuwa mgombea wa CDM sio mwanachama wa Chadema ila ni mtumishi wa serikali na hana kadi ya Chadema - Hili limetupiwa mbali kwani msimizi alipowataarifu CDM walipeleka kadi ya mgombea wao na barua ya likizo ambayo aliruhusiwa kugombea .Hivyo hakuna pingamizi dhidi ya mgombea wa CDM mpaka sasa .

More. info later ndio tuko kikaoni tunaendelea na mipango ya kuchukua jimbo.
 
kumekucha mpaka njuruku kwa waandishi na kuweka sawa wahahriri ...ngoja tuone nini kitafuata
 

Asante kwa taarifa mkuu!
 
Nyongeza ,ni kuwa AFP wamesema kuwa mgombea wa CCM kadanganya eneo la kuzaliwa kwani ameandika ni Igunga wakati amezaliwa Sengerema na kuhamia Igunga , wanasubiriwa kujibu ili tujue nini kitaendelea.
 
safi sana magamba mtakoma...CUF nao hawana jipya unafiki tu umewajaa..CHADEMA JIMBO LETU HILO
 
Naomba CCM wasienguliwe watapata cha kusema ngoma ipigwe dk 90 ila wa Kafu nilishawahi kusema toka siku ile arudishwe na msimamizi akalete barua ya chama na kwenda kuandikia baa bila kikao rasmi hana sifa.
 
baraza kuu la cuf linauzo wa kumpitisha mgombea kwa mujibu wa katiba ya CUF ndilo lenye maamuzi ya mwisho ya kuteua mgombea na walifanya hivyo. hakuna pingamizi msimamizi tupa kwenye dust bin.
 
<br />
<br />
any more updates Mkuu, it's now 19.04 jioni
 
Aksante kwa taarifa tunaomba muendelee kutujuza kama kuna lolote jipya
 
Mgombea wa CDM Igunga nasikia alishawahi kufungwa jela miaka mitatu kwa wizi
 
<br />
<br />
mkuu kweli unaimudu kazi yako ya propaganda...lakini sio poa kutumia ID mbili tofauti kupost same taarifa inayofanana kila kitu!MZEE WA MAWE=CUF ngangari!
 
Mgombea wa CDM Igunga nasikia alishawahi kufungwa jela miaka mitatu kwa wizi

kumbe ni sera ya CCM kuajiri wezi? mbona alipokuwa afisa wa serikali hukusema . Keshawapiga bao...kuhusu pingamizi someni kwenye ile thread nyingine hapa hakuna kitu ni kukurupuka bila kujua nini kinaendelea kwenye karata tunasema hujui mzungu kalalia wapi na umelamba jokeri
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…