Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
<br />
<br />
Yaani picha za mwaka jana ndiyo unazijaza hapa?

Unajua kaka kwenye ukweli kubali tu siyo kwamba utakula misumali au vipi maana kutumiwa kama kopo au nyanya kisha baadaye ukumbuke kuwa kumbe unahitaji tena kutumia hivi ndivyo nionavyo mimi kuhusu wazee, vijana, wanawake na wengine wote wenye ubongo wa kuku. kamwe ukweli hawataki kuusikia wala kuuelewa, hebu nambie kama chama si kuishiwa nguvu kwanini kitumie nguvu nyiiiingi kwa ajili tu JIMBO LA IGUNGA MAANA TUMEIMBIWA SANA OOOH TUMETHUBUTU SIJUI TUMEWEZA JE NA SIJUI NINI KAMA NI HIVYO NINI HOFU YA WATAWALA WETU..... JE si hofu ya kujua kuwa Wadanganyika wanaanza kujitambua................ mtabakia nyie wenyewe vilambishi vya makombo ya watwana wetu.
 

Sasa hiyo so ndo kawaida ya mwizi?? Hata mitaani mwizi akikamatwa lazima aseme wapi ushaidi. Salama ya mwizi ni kupotosha ushaidi. Anyway mimi sijawahi kusikia nchi yeyote duniani zaidi ya Tanzania ya ccm ambako mtuhumiwa wa uharifu hashitakiwi na badala yake serkali inatupa mzigo kwa raia wa kawaida kupeleka ushaidi kama wanataka ashitakiwe. Unajua mtu ukijinyea husikii harafu na hata kama utaisikia haitakuchefua sana kama watu wengine, ccm mmejinyea
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kazi ya Nape hiyo lakini Marwa tumia akili kwani wakati wa kuchezea watz umekwisha! Cdm ni sayari nyingine kama ni timu ya mpira ni sawa na Barcelona kwani Cdm ina viungo kumi uwanjani!
<br />
<br />
kweli kaka! Kudos
 
Kuna hoja! Mzee Mkapa hata sijui anatumika kama nani? Maana pia kuna swali kama iwapo waliopo sasa hawafai au?

Huyu sio Mzee ni Jambazi au Fisadi Mkapa ndio hawa siku tutakapo pata Ukombozi nyumba zao zitakuwa ni Jela. Mkapa, Kikwete, Chenge, Lowassa, Rostam, Manji, Nimrod Mkono, Shimbo na list nyingine zimalizieni hao Mafisadi waliobakia
 
Chadema wakichukua Igunga mimi nahama mji narudi kijijini Komuge.
Komuge huwezi kurudi kwa sababu ulikimbia tohara - wewe ni MURISYA hawatakukubali. Bora ukatafuta kibarua cha usafi ofisi ya magamba Lumumba
 

Tatizo la vijana wengi wanatumiwa tu kwa maslahi ya hao mabwanyenye hivyo simshangai ndugu yangu mwita huu inaonyesha ni wale vijana maslahi tu hawajali wala haumii kutokana na sera nzuri za CCM za kuwaumiza WAISLAM KWA KUAHIDI MAHAKAMA YA KADHI KISHA BAADA YA KUTUTUMIA KAMA KONDOMU LEO RAHISI WETU KIRAHISI TU ANSEMA ETI HAWAWEZI KUUTUNDIA MAHAKAMA HII.....
 
Baada ya jana CHADEMA kuuteka mji wa Igunga na CCM kujikuta kwenye wakati mgumu leo wameshindwa kuzindua kampeni kama walivyotangaza na kufanya maandalizi hapo awali na hii ni dalili kuwa wamejua moto uliowashwa jana ni mkubwa mno.

Sasa wameamua kuwa wataenda kuzindulia kampeni zao kijiji kinaitwa Choma na hiki kipo mpakani na Nzega , inawezekana wanataka wabebe watu kwa malori siku hiyo na uzinduzi sio kesho wala kesho kutwa .

Nawapa taarifa hiyo , hadi baadae.
 
KAGODA inamhusu Rostam na agenda ya Rostam ilishatekwa na CCM na ndio wanapaswa kuizungumzia na waeleze umma Rostamu alihusikaje? Dr Slaa alishamaliza yeye anashughulikia CCM na serikali yake wakati CCM inapaswa kujinasua kwa kuzungumzia walioifikisha CCM pahala pa kuchukiwa na wananchi. Uwanja huo ni wa Mkapa, Nape na Mwigulu
 
Mimi Chadema ikishinda Igunga wallahi natembea uchi kutoka Ubungo mpaka Posta kwa miguu.

Kwenye RED, kabla hujafika Posta watoto wa Kihuni watakuwa washakubaka na kukuharibu Kabisaaaa yan, from there utakuwa Mtoto si Ridhki
 
Viongozi na wanachama wa CHADEMA waliamua kutoa kaulimbiu isemayo: "Kashindye ashinde, Kafumu afumuliwe."
.

Hizi sasa bangi, hii ipo chini ya kiwango ata cha vijana walio kwenye foolish age, Wanapaswa Wawe Makini Kuliko Hivi.
 
Kubeba watu toka mikoa, wilaya na kata jirani ndio zao! Ccm hovyo sana!
 

Sasa ndugu yangu nakuomba tu sali tu kimoyo moyo huu mradi ulionao wa kutumiwa mtu mzima na akili zako tabu tupu yote hii ni kwa kudhani kila kitu ni hisani. Nimeamini waliosema umasikini mbaya hawakukosea mtu unauza utu wako kwa kudhani eti unalinda chama chako ilihali wanachi wanazidi kuwa masikini kila siku. je ni kuthubutu kupi unako lingia je ni VIMISAADA UNAVYOPEWA AU NI AHADI ZA KUKUPA MAISHA RAHISI KIASI KWAMBA UNAJIRAHISI
 
Sidhani kama wanaweza kumidharirisha kiasi hicho mzee wao Mkapa. Nadhani watajitutumua wafanye hapohapo mjini. Kama kweli hawatazindulia mjini basi itakuwa kweli wanawakimbia watu wenyeuelewa wa mambo na kukimbilia kijijini ili wakawadanganye kwa urahisi. CDM wafateni nyayo zao mkawaumbuwe huko wanakopita.
 
The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
 
Patamu hapo! Magamba yamestukia kufunikwa sasa hata Choma cha Nkola nako shughuli itakuwa ileile labda wawasombe kwa maroli toka Nzega na Bukene
 
Angalia hizo picha za Chadema Igunga, na fananisha na msafara wa Mkapa na mafuso ya kubeba wanafunzi sio kuja hapa na Kiengereza kisicho na kichwa wala miguu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…