<br />Nakumbuka chama cha nccr mageuzi kilitoa msimamo wa kutoshiriki uchaguzi Igunga na kilisema kitakiunga mkono <b>chama cha upinzani kitakachoonyesha kukubalika.<br />
</b> Sasa kampeni zimezinduliwa na msimamo wa wanaIgunga umeanza kuonekana sasa je NCCR wanaegemea wapi..?<br />
<br />
mwita25 vp na ccm ni chama cha upinzani? soma vizuri hapo nilipobold
Anza kuandika na herufi kubwa mbona uelewi wewe!!!
Huu tu ndiyo mchango wako kuhusu uzinduzi wa kampeni za ccm Igunga??? Naona kweli mmeishiwa!Anza kuandika na herufi kubwa mbona uelewi wewe!!!
Baada ya jana CHADEMA kuuteka mji wa Igunga na CCM kujikuta kwenye wakati mgumu leo wameshindwa kuzindua kampeni kama walivyotangaza na kufanya maandalizi hapo awali na hii ni dalili kuwa wamejua moto uliowashwa jana ni mkubwa mno.
Sasa wameamua kuwa wataenda kuzindulia kampeni zao kijiji kinaitwa Choma na hiki kipo mpakani na Nzega , inawezekana wanataka wabebe watu kwa malori siku hiyo na uzinduzi sio kesho wala kesho kutwa .
Nawapa taarifa hiyo , hadi baadae.
Id yako mwenyewe haijaanza kwa herufi kubwa.
Tupe taarifa za kweli mkuu.
<br />Mimi Chadema ikishinda Igunga wallahi natembea uchi kutoka Ubungo mpaka Posta kwa miguu.
Suala la Kagoda halimgusi Dk. Slaa peke yake,Pamoja na Tambo nyingi kwa Viongozi wa Chadema kwa kurusha makombora kwa CCM hakuna alie thubutu kugusa suala la Kagodaa kwenye uzinduzi wa kampeni Igunga. Hakugusia hata kidogo kashfa ya Kagoda!
Watalamu wa mambo ya siasa wanasema Chadema hawana ushahidi juu ya Kagoda kama Ushahidi wa Msema kweli! Imekua vigumu kwa CDM kuongelea Kagoda tofauti na hapo nyuma kwani suala la Kagoda kwa sasa halitakiwi porojo za kisiasa kinachotakiwa ni Ushidi uwe kama ule wa Msemakweli au Zaidi! Suala la Kagoda linaipunguzia Chadema kuaminiwa kwani hawana ukweli wake.
Aroo MraOle wako usipojibu maana mkono hautakwenda kinywani.Kujiunga 15 April 2011Post 787 katika siku 148 mpaka leo 09/09/2011 sawa na wasitani wa post 5 kwa siku.The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
Pamoja na Tambo nyingi kwa Viongozi wa Chadema kwa kurusha makombora kwa CCM hakuna alie thubutu kugusa suala la Kagodaa kwenye uzinduzi wa kampeni Igunga. Hakugusia hata kidogo kashfa ya Kagoda!
Watalamu wa mambo ya siasa wanasema Chadema hawana ushahidi juu ya Kagoda kama Ushahidi wa Msema kweli! Imekua vigumu kwa CDM kuongelea Kagoda tofauti na hapo nyuma kwani suala la Kagoda kwa sasa halitakiwi porojo za kisiasa kinachotakiwa ni Ushidi uwe kama ule wa Msemakweli au Zaidi!
Suala la Kagoda linaipunguzia Chadema kuaminiwa kwani hawana ukweli wake.
<br />Yaan wana CDM hawa ccm B ndo wana niuzi ile mbaya kuliko A
<br />Aroo MraOle wako usipojibu maana mkono hautakwenda kinywani.Kujiunga 15 April 2011Post 787 katika siku 148 mpaka leo 09/09/2011 sawa na wasitani wa post 5 kwa siku.
KWANI UNAPATA NINI KUTOA TAARIFA ZA UONGO KAMA HIZII? shame on you
<br />
<br />
<br />
<br />
Umetoa miezi miwili niliyopigwa ban kwa kumtukana Slaa?