Mchomamoto
Senior Member
- Aug 19, 2011
- 169
- 36
<br />
<br />
Hapa unaona nacheza kiduku?
Vipi kichwa maji?Kuwa CCM ufurahie maisha!!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Hakuna maelezo ya kijitosheleza hapo. Inakuwaje siku ya uzinduzi hakuwepo, ina maana hakualikwa. Ajali imetokea leo
<br />
<br />
Hapa unaona nacheza kiduku?
Vipi Lema nae atakwenda Igunga au mnaogopa hatawachafulia Kampeni, akianza kumwaga pumba zake au ile issue ya kupora magari imemkalia pabaya
Mwita=ze comedy=Futuhi.Nsiande=bimkora=matola
sura za wana igunga hawa zinaonyesha hawana imani kabisa na magamba naona hapa wamekuja kwa sababu wamepewa tu hizo jezi na nina hakika ikifika wakati wa kupiga kura hawatapigia magamba!