Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,341
- 5,543
Mitandao ya kijamii nayo wainunue? -- sina uhakika kwa hilo ila kwa JF hata waje na 100billion tutasema ukweli daima fitna kwetu mwiko.
Hata humu JF wamo wanaonunuliwa. Tena wengi tu. Si unawaona akina Mwita25, FF, MS. Binafsi wala sishangai wala kuogopa. Wamulize Joji Maratu wa ITV baada ya kuripoti uongo kuhusu cdm kwenye mazishi ya Chacha Wangwe!?