<br />Dah,<br />
Watu kweli wabunifu,<br />
Hiyo kitu imetulia sana.<br />
Watu wana vipaji sana,<br />
sema basi tu serikali yenyewe ndio hii isiyojali raia wake kwa kuweka mazingira mazuri kwa watunzi kama hao.
<br />
Duh hata mi nimeikubali hiyo.