Uchaguzi kwenye taasisi una kanuni na taratibu zake, Ni jambo nyeti. Huweza sambaratisha tasisi. Jee alichofanya Lissu ni sahihi?

Uchaguzi kwenye taasisi una kanuni na taratibu zake, Ni jambo nyeti. Huweza sambaratisha tasisi. Jee alichofanya Lissu ni sahihi?

Wapi nimesema Mbowe amuachie Lissu uenyekiti?

Mbona hata kwenye Urais alichukua fomu ila baada ya kuona upepo wa Lissu akaghairi kurudisha fomu maana anajua asingepata hata kura 1. Kwahiyo Lissu hajawahi muogopa Mbowe in fact Mbowe anaogopa open election maana anaweza kushinda ila kwa kura chache possibly 52% sasa itampunguzia credibility na infallible status aliyokua amejiwekea na hawezi kubali hilo.

Hapana tunataka demokrasia agombee ila sasa asitumie incumbency kuharibu uchaguzi atavuruga chama. Akishindwa akubali matokeo na akishinda basi aweze kujenga umoja maana mpasuko utakua obvious.
Sawa Wagombee wote ili tupate chaguo sahihi la CHADEMA, maana naona kama vile LISU anabebwa na media na wafuasi wake ambao hata siyo wapiga kura.
 
Sawa Wagombee wote ili tupate chaguo sahihi la CHADEMA, maana naona kama vile LISU anabebwa na media na wafuasi wake ambao hata siyo wapiga kura.
Ogopa sana silent majority, watu hawaongei ila wanafanya maamuzi ya siri kumuondoa Mbowe. Kiukweli mtu akifanya tafiti atagundua chama kimepungua morali lazima kizaliwe upya ili kuwepo na sababu ya wanachama kuendelea kupambana. Hata timu za mpira hufanya hivyo hubadili kocha na wakati mwingine hata uwanja au jezi ili kuleta motisha na ari mpya.
 
Acha majungu. Lissu ndio alifanya watu wakaanza kufuatilia chaguzi za TLS mpaka Leo. Pamoja kwamba zilikuwa zinafanyika huko nyuma. Hilo tu ni impact.
Kwa hiyo anagombea ili aingie kwenye kumbukumbu kwamba chaguzi za chadema zinafuatiliwa?
 
Ogopa sana silent majority, watu hawaongei ila wanafanya maamuzi ya siri kumuondoa Mbowe. Kiukweli mtu akifanya tafiti atagundua chama kimepungua morali lazima kizaliwe upya ili kuwepo na sababu ya wanachama kuendelea kupambana. Hata timu za mpira hufanya hivyo hubadili kocha na wakati mwingine hata uwanja au jezi ili kuleta motisha na ari mpya.
Kwa hiyo utafiti unaonyesha Moral inaletwa na LISU? Aende chama kingine tuone kama hiyo Moral itamfuata na tafiti zenu.

Njia anayotumia ni sawa lakini washabiki mnataka LISU aingie halafu Mbowe apigwe benchi kabisaa, yani mchango wa Mbowe CHADEMA umesahaulika kwa mahaba ya LISU.

Kumbukeni Mbowe naye anawafuasi, wanaweza kumgomea Lisu na asishinde, na atachagua agombee umakamu tena au muhame naye na tafiti, na morali yenu.

Ndio maana kila siku tulikuwa tunamsikia Amosi Makala akisema Mgogoro unaokuja CHADEMA ni mkubwa sana kumbe walijua LIsu atagombea nafasi ya Mwenyekiti wa chadema, na sijui walijuaje ni Msigwa au nayo ni mipango yao CCM?
 
Hahaha Lisu huyu hawezi kuivusha CHADEMA, analia lia sana.

Alipewa TLS ikamshinda, hakufanya chochote, leo anaitaka CHADEMA bila Mbowe mtaja kusema humu humu kwamba anahujumiwa na Mbowe, lakini ukweli ni kwamba CHADEMA Lisu anaweza kelele tu lakini hawezi na hana uwezo kuendesha chadema.

CHADEMA siyo shule kwamba yeyote anaweza kuwa mwalimu mkuu, CHADEMA ni Tanzania, huwezo huo LISU hana jamani.
Huna akili
 
Kwa hiyo utafiti unaonyesha Moral inaletwa na LISU? Aende chama kingine tuone kama hiyo Moral itamfuata na tafiti zenu.

Njia anayotumia ni sawa lakini washabiki mnataka LISU aingie halafu Mbowe apigwe benchi kabisaa, yani mchango wa Mbowe CHADEMA umesahaulika kwa mahaba ya LISU.

Kumbukeni Mbowe naye anawafuasi, wanaweza kumgomea Lisu na asishinde, na atachagua agombee umakamu tena au muhame naye na tafiti, na morali yenu.

Ndio maana kila siku tulikuwa tunamsikia Amosi Makala akisema Mgogoro unaokuja CHADEMA ni mkubwa sana kumbe walijua LIsu atagombea nafasi ya Mwenyekiti wa chadema, na sijui walijuaje ni Msigwa au nayo ni mipango yao CCM?
Machawa wa Mbowe mtalia na matokeo mtayaona na mtabaki na lichama lenu liwe kama CUF.
 
Back
Top Bottom