Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Mutharika kaaanguka.
Haki imetamalaki Wananchi wameamua kumtoa kuhani madarakani. Sio mapolisi wala wana wa usalama walioingilia mchakato. Hatukusikia IGP wa huko wakiingilia mchakato na kuviita vyama vya upinzani vikiitwa vyama vya hovyohovyo kama anavyoita hapa kwetu bwana SIMON SIRRO.
Hii imetukumbusha kwamba wana wa nchi ndiyo waamuzi wakuu. Nawapongeza wana wa Malawi hakika nyie ni weledi
Hongereni na ujumbe umetufikia kwamba hata watawala wanaweza kuwekwa kando.
MAENDELEO SIO BARABARA TU. MAENDELEO YA KWELI HUANZA NA WATU.
Asanteni
Haki imetamalaki Wananchi wameamua kumtoa kuhani madarakani. Sio mapolisi wala wana wa usalama walioingilia mchakato. Hatukusikia IGP wa huko wakiingilia mchakato na kuviita vyama vya upinzani vikiitwa vyama vya hovyohovyo kama anavyoita hapa kwetu bwana SIMON SIRRO.
Hii imetukumbusha kwamba wana wa nchi ndiyo waamuzi wakuu. Nawapongeza wana wa Malawi hakika nyie ni weledi
Hongereni na ujumbe umetufikia kwamba hata watawala wanaweza kuwekwa kando.
MAENDELEO SIO BARABARA TU. MAENDELEO YA KWELI HUANZA NA WATU.
Asanteni