Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hongera kwa ushindi kachape kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya mambo yote naomba mwenye takwim za waliojiandikisha kupiga kura 2020 idadi ilikua ngapi#CCM BABA LAO,
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,
Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.
#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 & 2025 "MKISUSA SISI TWALA"
View attachment 2755944
=========
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali, Bw. Missana Kwangura amemtangaza Bi. Bahati Ndingo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 44,334 kati ya kura 56,095 halali zilizopigwa kwenye vituo 490 vya kupigia kura.
Bi. Ndingo amewashinda wagombea wengine 12 ambao walikuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 19 Septemba, 2023.
Kwenye uchaguzi huo ushindani mkubwa ulionekana ukiwa baina ya Bi. Ndingo na Bw. Modestus Kilufi aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, aliyepata kura 10,014.
Huwezi shiriki kwenye kuibiwa.Kwanini CHADEMA hamkushiriki?
Umejuaje na haupo Mbarali?Hakuna wapiga kura 50,000+ waliojitokeza kwenye huo uchaguzi. Zama za ccm kushinda kwa kura halali kwenye wapiga kura wengi zilishapita.
Korani inasema unapoona uovu ondoa,ukishindwa kemea,ukishindwa hilo chukia...
Uchaguzi usio wahaki tunaukemea bila kutafuta kujipendekeza Kwa wata wala
Uchafuzi wa nini,🤔.Ukiweza kushiriki kutunza mazingira ni bora kuliko kuchafua😂.Kwanini CHADEMA hamkushiriki?
Chawa wa mama upo?Mgombea wako alikuwa nani?
Mbona hujaanza na Mundamushimuu🤔Sijui nikutukane
Sababu chadema ndo wamejaa humu kulalamika wakati hamkushiriki.Mmeshindana na wakina ACT ila mnawapiga madongo CHADEMA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuliwaambia chakula cha dhulma hamuwezi kula kwa raha
hii ni ishara njema ya ushindi wa kishindo 2024-2025 kwa chama hiki kwa ngazi zote, wenyeviti mitaa na vijiji, Urais, Ubunge na Udiwani.#CCM BABA LAO,
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,
Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.
#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 & 2025 "MKISUSA SISI TWALA"
View attachment 2755944
=========
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali, Bw. Missana Kwangura amemtangaza Bi. Bahati Ndingo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 44,334 kati ya kura 56,095 halali zilizopigwa kwenye vituo 490 vya kupigia kura.
Bi. Ndingo amewashinda wagombea wengine 12 ambao walikuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 19 Septemba, 2023.
Kwenye uchaguzi huo ushindani mkubwa ulionekana ukiwa baina ya Bi. Ndingo na Bw. Modestus Kilufi aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, aliyepata kura 10,014.
wanaweza kushinda matusi na kutukana lakini sio kura ktk uchaguz.Sababu chadema ndo wamejaa humu kulalamika wakati hamkushiriki.
Tunajua yaliyoko US itakuwa ya hapo Mbarali? Au mnapika idadi ya wapiga kura mkidhani mbarali ni mbali sana?Umejuaje na haupo Mbarali?
Ccm vs ccm#CCM BABA LAO,
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,
Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.
#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 & 2025 "MKISUSA SISI TWALA"
View attachment 2755944
=========
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali, Bw. Missana Kwangura amemtangaza Bi. Bahati Ndingo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 44,334 kati ya kura 56,095 halali zilizopigwa kwenye vituo 490 vya kupigia kura.
Bi. Ndingo amewashinda wagombea wengine 12 ambao walikuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 19 Septemba, 2023.
Kwenye uchaguzi huo ushindani mkubwa ulionekana ukiwa baina ya Bi. Ndingo na Bw. Modestus Kilufi aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, aliyepata kura 10,014.
Nimezungumzia Quran kwani?Hapo ujuwe kaishiwa kila kitu, hana tena cha kusema, inabidi ajitutumuwe kutafuta msaada wa Qur'an.