Uchaguzi Mdogo Mbarali: Bahati Ndingo ashinda Kiti cha Ubunge

Uchaguzi Mdogo Mbarali: Bahati Ndingo ashinda Kiti cha Ubunge

Binafsi huwa ninawashangaa sana wale wote wanaoshiriki kwenye hilo zoezi.

Binafsi niliapa sitokuja tena kupiga kura chini ya Katiba hii ya ccm ya mwaka 1977, na pia Tume ya Taifa ya uchaguzi inayoteuliwa na Mwenyekiti wa ccm!

Nakumbuka mara ya mwisho kupiga kura ilikuwa ni 2015!
Hizo kura ni uongo watu wachache sana walipiga kura,wanaona aibu kusema ameshinda kwa kura elfu moja
 
Uchaguzi haukuwa wa huru na haki,CCM walituma wasiojulikana
 
#CCM BABA LAO,

Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,

Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.

#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 na 2025
 
#CCM BABA LAO,

Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,

Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.

#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 & 2025 "MKISUSA SISI TWALA"

View attachment 2755944

=========

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali, Bw. Missana Kwangura amemtangaza Bi. Bahati Ndingo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 44,334 kati ya kura 56,095 halali zilizopigwa kwenye vituo 490 vya kupigia kura.

Bi. Ndingo amewashinda wagombea wengine 12 ambao walikuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 19 Septemba, 2023.

Kwenye uchaguzi huo ushindani mkubwa ulionekana ukiwa baina ya Bi. Ndingo na Bw. Modestus Kilufi aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, aliyepata kura 10,014.
Kazi iendelee kabisa
 
Mwanaume na akili zake unasema "CCM baba lao" kweli Tz mashoqer wameongezeka.
 
#CCM BABA LAO,

Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,

Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.

#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 na 2025
Kweli ccm baba lao wametuletea mwekezaji mpya wa bandari safi sana

Ova
 
Hapana,Ni Mungu ndio anaisaidia CCM
Kuua
Kuiba
Ufisadi
Kuuza nchi

Vyote hivyo kwa msaada wa Mungu?

Nahisi hapo ulipo hata kuvuka barabara huwezi kwa sababu labda akili hiyo haipo
 
Back
Top Bottom