Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo idadi ya kura ilotolewa ni fake watu hawakujitokeza kupiga kuraKura zikipigwa na kuhesabiwa kihalali CCM haitoboi
Hizo kura ni uongo watu wachache sana walipiga kura,wanaona aibu kusema ameshinda kwa kura elfu mojaBinafsi huwa ninawashangaa sana wale wote wanaoshiriki kwenye hilo zoezi.
Binafsi niliapa sitokuja tena kupiga kura chini ya Katiba hii ya ccm ya mwaka 1977, na pia Tume ya Taifa ya uchaguzi inayoteuliwa na Mwenyekiti wa ccm!
Nakumbuka mara ya mwisho kupiga kura ilikuwa ni 2015!
Malasusa kisha wakubali hao, kashindane nae.Dpp walodi na Ngorongoro
Takujibu vizuri badae nikitulia kwasasa nipo busy nakimbiza miamala ...sipo kwenye payroll yenu huko Lumumba au mabeberu ya Walodi.Malasusa kisha wakubali hao, kashindane nae.
Na wewe ibaHuwezi shiriki kwenye kuibiwa.
Sitaki wizi nataka HAKINa wewe iba
Hakuna wa kupambana na CCM kabisa lazima ujue,Kura zikipigwa na kuhesabiwa kihalali CCM haitoboi
Kazi iendelee kabisa#CCM BABA LAO,
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,
Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.
#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 & 2025 "MKISUSA SISI TWALA"
View attachment 2755944
=========
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali, Bw. Missana Kwangura amemtangaza Bi. Bahati Ndingo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 44,334 kati ya kura 56,095 halali zilizopigwa kwenye vituo 490 vya kupigia kura.
Bi. Ndingo amewashinda wagombea wengine 12 ambao walikuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 19 Septemba, 2023.
Kwenye uchaguzi huo ushindani mkubwa ulionekana ukiwa baina ya Bi. Ndingo na Bw. Modestus Kilufi aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, aliyepata kura 10,014.
Mungu naye hawezi kupambana nayo vile?Hakuna wa kupambana na CCM kabisa lazima ujue,
Kweli ccm baba lao wametuletea mwekezaji mpya wa bandari safi sana#CCM BABA LAO,
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,
Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.
#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 na 2025
Hapana,Ni Mungu ndio anaisaidia CCMMungu naye hawezi kupambana nayo vile?
KuuaHapana,Ni Mungu ndio anaisaidia CCM