Uchaguzi Mdogo Mbarali: Bahati Ndingo ashinda Kiti cha Ubunge

Uchaguzi Mdogo Mbarali: Bahati Ndingo ashinda Kiti cha Ubunge

Binafsi huwa ninawashangaa sana wale wote wanaoshiriki kwenye hilo zoezi.

Binafsi niliapa sitokuja tena kupiga kura chini ya Katiba hii ya ccm ya mwaka 1977, na pia Tume ya Taifa ya uchaguzi inayoteuliwa na Mwenyekiti wa ccm!

Nakumbuka mara ya mwisho kupiga kura ilikuwa ni 2015!
Kama unashangaa kweli basi wewe ni Firauni subiri ya Musa. Hatua inayofuata ni kupinga matokeo kwanza kwa Tume ya Uchaguzi twnye Wajumbe wafuatao: 1. Mwenyekiti ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jaji Themistoceles Kaijage w Mahakama ya Rufaa; Makamo wake Jaji Mahmoud Makame Mahfoudh, Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, na Majaji wengine 5 wakiwamo raia 2 watumishi wa umma w muda mrefu. Je, hiyo Kamati ni huru au siyo huru kwa mtizamo wako?
 
Ushindani mkubwa upi? Mtu kazidiwa kura 34,000
#CCM BABA LAO,

Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,

Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.

#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 & 2025 "MKISUSA SISI TWALA"

View attachment 2755944

=========

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali, Bw. Missana Kwangura amemtangaza Bi. Bahati Ndingo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 44,334 kati ya kura 56,095 halali zilizopigwa kwenye vituo 490 vya kupigia kura.

Bi. Ndingo amewashinda wagombea wengine 12 ambao walikuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 19 Septemba, 2023.

Kwenye uchaguzi huo ushindani mkubwa ulionekana ukiwa baina ya Bi. Ndingo na Bw. Modestus Kilufi aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, aliyepata kura 10,014.
 
Kama unashangaa kweli basi wewe ni Firauni subiri ya Musa. Hatua inayofuata ni kupinga matokeo kwanza kwa Tume ya Uchaguzi twnye Wajumbe wafuatao: 1. Mwenyekiti ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jaji Themistoceles Kaijage w Mahakama ya Rufaa; Makamo wake Jaji Mahmoud Makame Mahfoudh, Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, na Majaji wengine 5 wakiwamo raia 2 watumishi wa umma w muda mrefu. Je, hiyo Kamati ni huru au siyo huru kwa mtizamo wako?
Wewe ndio hujui kitu. Kumbe hata humjui mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi.
 
#CCM BABA LAO,

Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,

Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.

#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 na 2025
 
 
#CCM BABA LAO,

Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,

Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.

#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 na 2025
Kajamaa kanafiki sana eti kanapiga kampeni Kwa simu. Kaliogopa kwenda site kasiwaudhi maboss wake
 
#CCM BABA LAO,

Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,

Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.

#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 na 2025
20230921_061148.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
#CCM BABA LAO,

Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,

Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.

#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 na 2025
CCM wamajiibia kura kutoka CCM B
 
Yule mnafiki Sana. Ndio mnafiki aliyebaki kwenye siasa za Tanzania yeye na Lipumba. Ingawa Lipumba Hana ushawishi Tena. Mimi kwa ACT namkubali Jussa pekee.
 
ACT imetekeleza wajibu wake wa kikatiba na kisiasa imeainisha mapungufu ya serikali uozo wa Serikali na namna hicho kinachoitwa maridhiano yanavyochezewa
Hawajakimbia uwanja wa vita ili waonekane hawajashindana

Mtu muoga Kuliko wote ni yule anayekimbia mapambano na kusema ningingia Mimi ningeshinda, Chadema ni wazi wamepoteza mwelekeo wa namna ya kushinikiza mabadiliko wanaamini katika nguvu badala ya akili na Kwa sababu ya Ushiriki wa ACT huko Mbarali Leo hii wachambuzi mbuzi wamepata la kuongea juu ya mustakabali wa Maridhiano
 
Back
Top Bottom