mirror01
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 1,797
- 1,391
DPP WalodiMgombea wako alikuwa nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DPP WalodiMgombea wako alikuwa nani?
Kama unashangaa kweli basi wewe ni Firauni subiri ya Musa. Hatua inayofuata ni kupinga matokeo kwanza kwa Tume ya Uchaguzi twnye Wajumbe wafuatao: 1. Mwenyekiti ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jaji Themistoceles Kaijage w Mahakama ya Rufaa; Makamo wake Jaji Mahmoud Makame Mahfoudh, Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, na Majaji wengine 5 wakiwamo raia 2 watumishi wa umma w muda mrefu. Je, hiyo Kamati ni huru au siyo huru kwa mtizamo wako?Binafsi huwa ninawashangaa sana wale wote wanaoshiriki kwenye hilo zoezi.
Binafsi niliapa sitokuja tena kupiga kura chini ya Katiba hii ya ccm ya mwaka 1977, na pia Tume ya Taifa ya uchaguzi inayoteuliwa na Mwenyekiti wa ccm!
Nakumbuka mara ya mwisho kupiga kura ilikuwa ni 2015!
Bila katiba mpya??Kwanini CHADEMA hamkushiriki?
Hivi mna wabunge wangapi sasa hivi? Halima Mdee na nani vile? Mkewe?Ukanywe naona kunakuwasha huko.....kabla bwana zako wa walodi wakupitie
#CCM BABA LAO,
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,
Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.
#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 & 2025 "MKISUSA SISI TWALA"
View attachment 2755944
=========
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali, Bw. Missana Kwangura amemtangaza Bi. Bahati Ndingo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 44,334 kati ya kura 56,095 halali zilizopigwa kwenye vituo 490 vya kupigia kura.
Bi. Ndingo amewashinda wagombea wengine 12 ambao walikuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 19 Septemba, 2023.
Kwenye uchaguzi huo ushindani mkubwa ulionekana ukiwa baina ya Bi. Ndingo na Bw. Modestus Kilufi aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, aliyepata kura 10,014.
Mbona mnaiongelea CHADEMA wakati haikushiriki.Ccm au act mmoja wao apite ni sawa tu, ila sio chadema.
Wewe ndio hujui kitu. Kumbe hata humjui mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi.Kama unashangaa kweli basi wewe ni Firauni subiri ya Musa. Hatua inayofuata ni kupinga matokeo kwanza kwa Tume ya Uchaguzi twnye Wajumbe wafuatao: 1. Mwenyekiti ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jaji Themistoceles Kaijage w Mahakama ya Rufaa; Makamo wake Jaji Mahmoud Makame Mahfoudh, Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, na Majaji wengine 5 wakiwamo raia 2 watumishi wa umma w muda mrefu. Je, hiyo Kamati ni huru au siyo huru kwa mtizamo wako?
Dpp walodi na NgorongoroHivi mna wabunge wangapi sasa hivi? Halima Mdee na nani vile? Mkewe?
Kajamaa kanafiki sana eti kanapiga kampeni Kwa simu. Kaliogopa kwenda site kasiwaudhi maboss wake#CCM BABA LAO,
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,
Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.
#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 na 2025
#CCM BABA LAO,
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,
Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.
#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 na 2025
CCM wamajiibia kura kutoka CCM B#CCM BABA LAO,
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,
Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura 10,014.
#UCHAGUZI SIO UADUI HONGERA SANA ACT- WAZALENDO TUKUTANE 2024 na 2025
Wakiwa kwenye Vikao vya Jaji Mitungi wanajifanya nao watawala, wakitoa nje wanaanza kulia Lia na kutoa vitamko vya kipuuziZitto na Nondo wanajiongezea masifuri tu kwenye fomu za majumuisho 😂😂🐼🔥😍
Mbona mnaiongelea CHADEMA wakati haikushiriki.
ACT imetekeleza wajibu wake wa kikatiba na kisiasa imeainisha mapungufu ya serikali uozo wa Serikali na namna hicho kinachoitwa maridhiano yanavyochezewaMbarali: ACT WAZALENDO waanza kutekwa
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI . Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa...www.jamiiforums.com
Mbarali: ACT WAZALENDO waanza kutekwa
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI . Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa...www.jamiiforums.com
Watu wanataka majimbo yaoHuyu alikuwa mbunge viti maalum, alishaanza kula kitambo
Zitazidi wapiga kura wote kwa mbaliKura zikipigwa na kuhesabiwa kihalali CCM haitoboi