Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

Tatizo nyie wachaga mnadhani mnaweza kutawala nchi bila sapoti ya kanda ya ziwa
Aliyekuambia kuwa mimi ni mchaga ama mtu wa kaskazini kakudanganya.

Mie ni mwenyeji wa Ng'walogwabagole ni msukuma pyua wa ng'weli, Ila siungi mkono Gwaji boy kugombea urais kwa tiketi ya Chadema. Hana sifa hata moja kwa kifupi.....

Hafai kabisa, Ila kwa tiketi ya ACT WAZALENDO anafaa kabisa.
 
Mimi naona kama Suk...ma Gang wameanza kampeni mapema!
Kundi linaanza kutubip wananchi kujua tunasemaje!
Hizi tabiri za nyakati za uchaguzi hazina cho chote kabisa!
Ndugu sysafiri, hebu kwanza ondoa dhana ya "Sukuma Gang" itakupoteza. Mungu humpa ufalme wa nchi yeyote amtakaye haijalishi anatoka wapi. Hayo ya "Sukuma Gang" ni mawazo na dhana potofu za wanadamu. Mungu haangalii hivyo..

Muhimu wewe ktk hili, tazama na sikiliza kinachosemwa hapo na huyu "nabii" kina ukweli kiasi gani ukikipima ktk vipimo sahihi vya vigezo vya unabii utokao kwa Mungu kisha njoo na hoja yenye vigezo..
 
Aliyekuambia kuwa mimi ni mchaga ama mtu wa kaskazini kakudanganya.

Mie ni mwenyeji wa Ng'walogwabagole ni msukuma pyua wa ng'weli, Ila siungi mkono Gwaji boy kugombea urais kwa tiketi ya Chadema. Hana sifa hata moja kwa kifupi.....

Hafai kabisa, Ila kwa tiketi ya ACT WAZALENDO anafaa kabisa.
Kwanini huungi mkono?

Unadhani nani atapinga au kuzuia jambo ambalo limeamuliwa tayari na Mungu mwenyewe?
 
Tatizo nyie wachaga mnadhani mnaweza kutawala nchi bila sapoti ya kanda ya ziwa, yaani msahau kabisa kwa kuwatukania watu wa kanda ya ziwa Dkt Magufuli, yaani hawawezi kusahau jinsi mlivyoshangilia kifo chake, never never never nyie watu wa kazikazini kushika patamu pa Tanzania and you will all eventually die na upinzani mpya utaibuka. Unabii wa Gwajima naweza sema labda ni kukipa neema chadema ambayo ilitenda dhambi 2015 kwa kula rushwa ya kumpokea lowasa ambaye alishaondolewa kwenye urais na Mungu kwa matendo yake mabaye ambayo ni mengi including kudhulumu ardhi ya kanisa n.k.
Kwani WAsukuma wanachagua viongozi kwa Kanda? Mimi nikajua Wasukuma wanachagua kiongozi kwa uwezo wake kumbe wanapangiwa nani wamuunge mkono na nani wasimuunge[Nyumbu ]?
Mtu mwenye utashi wake, anakuwa Mchaga wa Siha anamchagua Mollel-mmasai wa Loloondo kuwa mbunge.
Kumbe sehemu zingie wanapangiwa?
 
Nabii zimetokea kuibuka kwa wingi sana zenye kuzungumzia matukio ya kisiasa, kiuchumi na kijamii tuelekeapo miaka ya 2024 & 2025. Kupitia maandiko nabii huwa ananena, Bwana akamwambia mtumishi wake na kusema...

Manabii wetu wa sasa wao huonyeshwa katika ndoto tu pasipo Bwana kuwaambia nini anachokisema kwa kanisa lake. Tumeambiwa kuwa unabii unaonyesha Dat es Salaam itaangamizwa kwa kwa maji na moto kati ya mwezi huu ama ujao, sasa hivi tunapokea unabii huu.

Lakini maandiko pia yatuambia kuwa nyakati hizi watatokea manabii wengi wa uongo na kuwapotosha wengi. Nafikiri hata huyu nabii aliyetoa unabii wa kuangamizwa kwa Dar es Salaam naye pia aliwahi kumtaja Askofu Gwajima ndiye rais mtarajiwa.

Mungu akitubariki na tukizidi kuishi na kuiona kila siku itwayo leo, basi katika majira yaliyotabiriwa, tutayapima yote. Na pia tutakuja kuwatambua kupitia matendo yao.
 
Unabii wa kishetani huu.
Watu wengi wamepandwa na mapepo bila wao kujua.
Ukitimia njoeni muniue.
Simuungi mkono Rais Samia kugombea urais 2025 ila huu unabii si wa Bwana.
Mimi ni mtu wa rohoni pia najua anachokisema huyu ni illusion.
 
Tatizo nyie wachaga mnadhani mnaweza kutawala nchi bila sapoti ya kanda ya ziwa, yaani msahau kabisa kwa kuwatukania watu wa kanda ya ziwa Dkt Magufuli, yaani hawawezi kusahau jinsi mlivyoshangilia kifo chake, never never never nyie watu wa kazikazini kushika patamu pa Tanzania and you will all eventually die na upinzani mpya utaibuka. Unabii wa Gwajima naweza sema labda ni kukipa neema chadema ambayo ilitenda dhambi 2015 kwa kula rushwa ya kumpokea lowasa ambaye alishaondolewa kwenye urais na Mungu kwa matendo yake mabaye ambayo ni mengi including kudhulumu ardhi ya kanisa n.k.
Vipi Askofu Josephat Gwajima?

Wengi (hasa waislam) wanasema ishu ni ukristo wake na title yake ya "bishop"

Lakini wanasahau kuwa nchi hii ilishatawaliwa na Shekhe & Al hadji Ally Hassan Mwinyi (hayati) mwislamu swala tano..

Hata hivyo kwangu mimi hizo zote sio hoja. Isipokuwa bado nautafakari unabii huu kabla ya kutoa msimamo wangu..

On the other hand, mimi Rais wangu siku zote amekuwa ni Tundu Lissu makamu mwenyekiti CHADEMA, mtu aliyekwisha mwaga damu yake kwa ajili ya kuitetea nchi hii...

Huyu (Tundu Lissu) ndiye kila akili, jicho na sikio la mpenda mabadiliko yeyote anatarajia CHADEMA watamsimamisha na kumshinda yeyote toka CCM come 2025...

Imenishangaza sana unabii huu kutomgusa mzalendo huyu hata chembe ili tujue position..

Hata hivyo mimi ni nani kama Mungu mwenyewe ameshaamua iwe hivyo?

Ngoja kwanza tuendelee kuutafakari na kuupima unabii huu..
 
Huyu anayeshinda sebuleni kwa lema mchana kutwa. Hili jamaa ni lilevi la kutupwa kule Unga limited
 
Siamini utabiri, ila Mungu anapenda sana nchi iongozwe na Makonda kwani ana ukali kama wa JPM. Nchi hii bila kuwa mkali na kutoangalia makunyanzi mambo hayaendi.
 
Vigezo vya nabii wa uongo unavijua? Amevifikia huyu?
Vigezo vya nabii wa uongo anavyo.

Katika unabii wake hajamtaja Yesu kama mhusika mkuu wa huo unabii, maana yake ni kwamba huo unabii ni mihemko yake binafsi na hajafunuliwa na Yesu.
 
Vipi Askofu Josephat Gwajima?

Wengi (hasa wauslamu) wanasema ishu ni ukristo wake na title yake ya "bishop"

Lakini wanasahau kuwa nchi hii ilishatawaliwa na Shekhe & Alhadji Ally Hassan Mwinyi (hayati) mwislamu swala tano..

Hata hivyo kwangu mimi hizo zote sio hoja. Isipokuwa bado nautafakari unabii kabla ya kutoa msimamo wangu..

On the other hand, mimi Rais wangu siku zote amekuwa ni Tundu Lissu, mtu aliyekwisha mwaga damu yake kwa ajili ya kuitetea nchi hii..

Imenishangaza sana unabii huu kutomgusa mzalendo huyu hata chembe ili tujue position..

Hata hivyo mimi ni nani kama Mungu mwenyewe ameshaamua iwe hivyo?
Tundu lisu haitakaa itokee awe rais kwa sababu dhihaka kwa Mwl Nyerere na Dkt Magufuli na Dkt Kikwete etc na Dkt Samia ya kuita ikulu matope etc. Kwa ufupi lisu usimuhesabie hana kabisa credibility, kupigwa risasi na mbowe kwa ugomvi wa uenyekiti hauwezi kumfanya kuwa rais. Gwajima anaweza kuwa rais na ikitokea inawezakana nchi ikapata maendeleo zaidi sema sasa hivi vingine vya kuuza bandali sijui itakuwaje maana hatujui kama inaweza pia influence upatikanaji wa rais yaani kama Gwajima hakubaliani na uuzwaji wa bandari wanaweza kumuua kabla ya uchaguzi etc au yeyote (hizi ni dhana tu). Kwa ufupi kama nchi tuna hali mbaya sana kutokana na kufa Dkt Magufuli, yaani tuna mgawanyiko mkubwa sana now hasa kwa wale wanaoamini Dkt Magufuli aliuwa kwa sababu alisimamia rasilimali ziwanufaishe watanzania vs wale waliomuua wanaoona wao ndiyo wanastahili kutawala na kuwafanya watanzania walio wengi waendelee kuwa maskini
 
Kwa wabobezi wa fasihi ujumbe tumeupata mujarabu kabisa ni kwamba kundi la Wana mtandao wameapa iwe usiku iwe Mchana Samia hatakiwi kurudi magogoni 2025 hizo za Gwajima na CDM ni kupoteza Watu maboya tu.
Rejea kauli zifuatazo za Mastermind/ Godfather
1.labda mambo yaharibike saaana
2.labda yatokee Mambo ya ovyo
Katika ujasusi wa kidola hakuna kauli ya bahati mbaya hizo ni well calculated mathematics Leo wanapitia manabii Kama speaker Mama Kizimkazi rudi tu ukalee wajukuu la sivyo uamue kuwa Ruto.
 
Kama anagombea agombee lakini msimshirikishe Mungu kwenye mambo yenu ya kitapeli. Nwajiboy muongo muongo, asiyekuwa na msimamo, opportunist ni afadhali Samia mara 10,000.
Ngwaji Boy ni msanii sana ila Tanzania sijui kwanini watu huwa wanawaamini wasanii sana.
Imani yangu ya Kikristo imekuwa diluted na manabii wa uongo na tabiri fake kila mtu nabii mazafanta

Wachawi na matapeli husimama madhabahuni na kutaka kuleta migogoro na uchonganishi!
Hii ni kutupotezea muda.
 
Kama anagombea agombee lakini msimshirikishe Mungu kwenye mambo yenu ya kitapeli. Nwajiboy muongo muongo, asiyekuwa na msimamo, opportunist ni afadhali Samia mara 10,000.
Ngwaji Boy ni msanii sana ila Tanzania sijui kwanini watu huwa wanawaamini wasanii sana.
Imani yangu ya Kikristo imekuwa diluted na manabii wa uongo na tabiri fake kila mtu nabii mazafanta
Uchanga wako kwenye neno la Mungu ndio kikwazo chako
 
Uchanga wako kwenye neno la Mungu ndio kikwazo chako
Ngwaji ni msanii muongo, mfitinishi yule anaweza kuuza nchi kabisa. Hata kwenye uchaguzi alitoa ahadi kibao za uongo jamaa opportunist.
Kila mtu nabii mmegeuza raia makondoo mimi ndio maana sikubali katu kuitwa kondoo wa bwana maana inaelekea mtu akiitwa kondoo anakuwa kondoo kweli.
 
Back
Top Bottom