Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

Nimesikiliza na kusikiza kwa makini. Sijaisikia neno Wagalatia Wala habari za msichana wa miaka 17.
Heeee, hatari. Tunamasikio tofauti. Hebu tueleze kidogo juu ya ile ndoto yake ya kumuona msichana anayetembea juu ya gorofa lile. Tupe tu muhtasari wa ndoto ya Nabii feki.
 
Lisu aligombea akashindwa,

CDM Huwa hairudii mgombea Urais,Huwa inaamini anayeshindwa ni mgombea, Si chama.
Kwani kushindwa ndo kuna-mzuia asigombee tena hizi fikra za wapi

Chadema hawawezi mchagua mgombea wa ccm kuja kugombea hilo kosa hawawezi lirudia
 
Nimesikiliza na kusikiza kwa makini. Sijaisikia neno Wagalatia Wala habari za msichana wa miaka 17.
Kwa hiyo umesikia habari za msichana wa miaka mingapi? Haya sema miaka 18, pengine ndio utaelewa zaidi.
Kama unambishia PASTA FEKI, mjuane wenyewe huko huko.

Hebu jikite katika maelezo ya Binti/msichana, halafu utupe muhtasari kidogo. Kwa msaada zaidi, sikiliza dk ya 3.57 mpaka 4:02, amerudia tena dk ya 4:40 mpaka 6:15 na kwa kuhakikisha kuwa anamaanisha hivyo akarudia tena dk ya 7:39 mpaka 8:00. Huyu msichana sijui kamuusudu au!
 
Ukiitazama na kuisikiliza hii video ya unabii huu toka kwa Mwl. Steven Jacob, toka Arusha, inafikirisha na
Huyu Mtumishi wa Mungu siwezi kubeza Maono yake.

Amefafanua vizuri.

Mimi binafsi nitakuwa wa mwisho kuto amini anachokisema.

Dr Gwajima alipohamia ccm nilipatwa na shida kidogo. Baadae Mungu alisema nami kuwa lazima jambo hilo litokee ili Nchi ipate kupona.
 
Ukiitazama na kuisikiliza hii video ya unabii huu toka kwa Mwl. Steven Jacob, toka Arusha, inafikirisha na kutafakarisha kiasi chake. Tazama na sikiliza👇🏻👇🏻👇

View attachment 2969906

Kwa ufupi sana kwa wale wasio na vifurushi:

1. Mama Samia Suluhu Hassan (Rais wa sasa wa JMT) amekataliwa na Mungu - Jehovah, hatakiwi kugombea kiti cha Urais mwaka 2025. Si chaguo la Mungu - Jehova kuiongoza Tanzania mwaka 2025 - 2030..

2. Pamoja na kuwa ameshakataliwa, kitakachokuwa ni ajabu ni kuwa yeye na watu wake watalazimisha agombee. Na kwa mujibu wa unabii huu, ni kuwa atapitishwa kwa hila, atagombea lakini habari njema kwa wanamageuzi wote ni kuwa HATASHINDA UCHAGUZI HUO..!

3. Wakati huohuo ndani ya CCM yupo mtu ambaye Mungu keshamweka kuwa ndiye agombee na awe Rais ajaye wa Tanzania na jina lake katajwa kwa uwazi kabisa kuwa ni Bishop Josephat Gwajima. Ila wenzake ndani ya CCM watamkataa na hawatampa nafasi hiyo..

4. Kwa mujibu wa unabii huu, CHADEMA hawana mtu ambaye ana kibali cha Mungu - Yehova kugombea kiti cha u - Rais mwaka 2025 aliye ndani ya chama chao..

5. Na kwa kuwa Mungu tayari ameshampaka mafuta ya u - Rais wa nchi hii ndugu Josephat Gwajima, na kwa CCM watakuwa wamemkataa, basi Mungu atatengeneza mazingira ya kumtoa CCM na mara moja Freeman Mbowe au CHADEMA watampa nafasi ya ugombea u - Rais na CHADEMA kupitia kwa Ndugu Josephat Gwajima, watashinda na kuitawala nchi kwa mara ya kwanza..

6. Kwa Mama Samia Suluhu Hassan na CCM , unabii unasema, systematically Mungu ataachilia aibu iliyo kuu kwake na CCM itachinjwa kidogo kidogo mpaka ife kabisa..

============================================

MAONI YANGU

1. Pamoja na kuwa sisi wakristo Biblia - Neno la Mungu linatuonya kuwa;

‭1 Wathesalonike 5:20-22 SUV‬​

".....msitweze unabii; jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema; jitengeni na ubaya wa kila namna.."

Lakini wakati huohuo Biblia hiyo hiyo inatuhadharisha kuwa ni lazima kila unabii (kila roho isemayo yatoka kwa Mungu) ipimwe katika vigezo vya Neno la Mungu (Biblia) kama ilivyoandikwa;

‭1 Yohana 4:1-2 SUV‬

"...Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.."

Ukipimwa na ukaenda sambamba na Neno la Mungu, huo unabii au hiyo roho iliyoleta neno hilo itakuwa inatoka kwa Mungu na kwa hiyo hapaswi mtu kuubeza (kuutweza au kuudharau)..

2. Unabii wa huyu ndugu ni mzito sana. Unahusu hatima ya nchi na taifa letu na watu wa nchi hii kwa ujumla. Natoa wito kwa wajuzi wa maandiko (Neno la Mungu) waje hapa na kutoa uchambuzi usio - base katika hisia na maarifa ya kibinadamu bali ule unaozingatia Neno la Mungu (Biblia...)

3. Je, wewe unasemaje? Toa maoni yako...
Mch Mtekela anasema Dr Gwajima hata mizimu na mashetani vinamuogopa.
 
Huyu Mtumishi wa Mungu siwezi kubeza Maono yake.

Amefafanua vizuri.

Mimi binafsi nitakuwa wa mwisho kuto amini anachokisema.

Dr Gwajima alipohamia ccm nilipatwa na shida kidogo. Baadae Mungu alisema nami kuwa lazima jambo hilo litokee ili Nchi ipate kupona.
Kilicho muhimu hapa ni CCM (Misri) mtesi wa wana wa Israel (Watanganyika) kwa zaidi ya miaka 60 si tu kushindwa bali ni kufutiliwa mbali hata mabaki yake yasionekane kabisa ktk uso wa ardhi ya Tanganyika..

However, this prophecy still has to be scrutinized through holy scriptures to check whether it's truly Godly or is just another twist and turns from the devil himself pretending to be the light in the darkness..

Na hoja kuu hapa ni kwanini mtu wa kuongoza ukombozi wa watu wa Mungu atoke Misri (CCM) miongoni mwa watesi walewale? Kwanini Tundu Lissu asitajwe kabisa?..... This troubles me very much..!!!!!!!!!!!!!!

LAKINI, narudia kusema hili, kwamba:

Kama hii ndiyo njia na namna ambavyo Mungu mwenyewe ameamua kutumia kututoa ktk uonevu na makucha ya watesi wetu hawa wa - Misri (CCM) ya miaka zaidi ya 60 ili kutuponya na kuiponya nchi yetu ya Tanganyika, basi wote na tuseme AMINA NA IWE HIVYO BWANA MUNGU WA MAJESHI MAANA NGUVU, HESHIMA, MAMLAKA NA UTUKUFU vina wewe milele na milele...!
 
Huna
Ukiitazama na kuisikiliza hii video ya unabii huu toka kwa Mwl. Steven Jacob, toka Arusha, inafikirisha na kutafakarisha kiasi chake. Tazama na sikiliza👇🏻👇🏻👇

View attachment 2969906

Kwa ufupi sana kwa wale wasio na vifurushi:

1. Mama Samia Suluhu Hassan (Rais wa sasa wa JMT) amekataliwa na Mungu - Jehovah, hatakiwi kugombea kiti cha Urais mwaka 2025. Si chaguo la Mungu - Jehova kuiongoza Tanzania mwaka 2025 - 2030..

2. Pamoja na kuwa ameshakataliwa, kitakachokuwa ni ajabu ni kuwa yeye na watu wake watalazimisha agombee. Na kwa mujibu wa unabii huu, ni kuwa atapitishwa kwa hila, atagombea lakini habari njema kwa wanamageuzi wote ni kuwa HATASHINDA UCHAGUZI HUO..!

3. Wakati huohuo ndani ya CCM yupo mtu ambaye Mungu keshamweka kuwa ndiye agombee na awe Rais ajaye wa Tanzania na jina lake katajwa kwa uwazi kabisa kuwa ni Bishop Josephat Gwajima. Ila wenzake ndani ya CCM watamkataa na hawatampa nafasi hiyo..

4. Kwa mujibu wa unabii huu, CHADEMA hawana mtu ambaye ana kibali cha Mungu - Yehova kugombea kiti cha u - Rais mwaka 2025 aliye ndani ya chama chao..

5. Na kwa kuwa Mungu tayari ameshampaka mafuta ya u - Rais wa nchi hii ndugu Josephat Gwajima, na kwa CCM watakuwa wamemkataa, basi Mungu atatengeneza mazingira ya kumtoa CCM na mara moja Freeman Mbowe au CHADEMA watampa nafasi ya ugombea u - Rais na CHADEMA kupitia kwa Ndugu Josephat Gwajima, watashinda na kuitawala nchi kwa mara ya kwanza..

6. Kwa Mama Samia Suluhu Hassan na CCM , unabii unasema, systematically Mungu ataachilia aibu iliyo kuu kwake na CCM itachinjwa kidogo kidogo mpaka ife kabisa..

============================================

MAONI YANGU

1. Pamoja na kuwa sisi wakristo Biblia - Neno la Mungu linatuonya kuwa;

‭1 Wathesalonike 5:20-22 SUV‬​

".....msitweze unabii; jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema; jitengeni na ubaya wa kila namna.."

Lakini wakati huohuo Biblia hiyo hiyo inatuhadharisha kuwa ni lazima kila unabii (kila roho isemayo yatoka kwa Mungu) ipimwe katika vigezo vya Neno la Mungu (Biblia) kama ilivyoandikwa;

‭1 Yohana 4:1-2 SUV‬

"...Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.."

Ukipimwa na ukaenda sambamba na Neno la Mungu, huo unabii au hiyo roho iliyoleta neno hilo itakuwa inatoka kwa Mungu na kwa hiyo hapaswi mtu kuubeza (kuutweza au kuudharau)..

2. Unabii wa huyu ndugu ni mzito sana. Unahusu hatima ya nchi na taifa letu na watu wa nchi hii kwa ujumla. Natoa wito kwa wajuzi wa maandiko (Neno la Mungu) waje hapa na kutoa uchambuzi usio - base katika hisia na maarifa ya kibinadamu bali ule unaozingatia Neno la Mungu (Biblia...)

3. Je, wewe unasemaje? Toa maoni yako...
Huna tofauti na yale mazombi wafuasi wa yule popoma anaejiita mfalme zamaridi
 
Na hoja kuu hapa ni kwanini mtu wa kuongoza ukombozi wa watu wa Mungu atoke Misri (CCM) miongoni mwa watesi walewale? Kwanini Tundu Lissu asitajwe kabisa?..... This troubles me very much..!!!!!!!!!!!!!!
Labda ndio vile tunasema mawazo ya Mungu si ya mwanadamu
 
Kilicho muhimu hapa ni CCM (Misri) mtesi wa wana wa Israel (Watanganyika) kwa zaidi ya miaka 60 si tu kushindwa bali ni kufutiliwa mbali hata mabaki yake yasionekane kabisa ktk uso wa ardhi ya Tanganyika..

However, this prophecy still has to be scrutinized through holy scriptures to check whether it's truly Godly or is just another twist and turns from the devil himself pretending to be the light in the darkness..

Na hoja kuu hapa ni kwanini mtu wa kuongoza ukombozi wa watu wa Mungu atoke Misri (CCM) miongoni mwa watesi walewale? Kwanini Tundu Lissu asitajwe kabisa?..... This troubles me very much..!!!!!!!!!!!!!!

LAKINI, narudia kusema hili, kwamba:

Kama hii ndiyo njia na namna ambavyo Mungu mwenyewe ameamua kutumia kututoa ktk uonevu na makucha ya watesi wetu hawa wa - Misri (CCM) ya miaka zaidi ya 60 ili kutuponya na kuiponya nchi yetu ya Tanganyika, basi wote na tuseme AMINA NA IWE HIVYO BWANA MUNGU WA MAJESHI MAANA NGUVU, HESHIMA, MAMLAKA NA UTUKUFU vina wewe milele na milele...!
Ameen mtumishi wa Mungu
 
Ukiitazama na kuisikiliza hii video ya unabii huu toka kwa Mwl. Steven Jacob, toka Arusha, inafikirisha na kutafakarisha kiasi chake. Tazama na sikiliza👇🏻👇🏻👇

View attachment 2969906

Kwa ufupi sana kwa wale wasio na vifurushi:

1. Mama Samia Suluhu Hassan (Rais wa sasa wa JMT) amekataliwa na Mungu - Jehovah, hatakiwi kugombea kiti cha Urais mwaka 2025. Si chaguo la Mungu - Jehova kuiongoza Tanzania mwaka 2025 - 2030..

2. Pamoja na kuwa ameshakataliwa, kitakachokuwa ni ajabu ni kuwa yeye na watu wake watalazimisha agombee. Na kwa mujibu wa unabii huu, ni kuwa atapitishwa kwa hila, atagombea lakini habari njema kwa wanamageuzi wote ni kuwa HATASHINDA UCHAGUZI HUO..!

3. Wakati huohuo ndani ya CCM yupo mtu ambaye Mungu keshamweka kuwa ndiye agombee na awe Rais ajaye wa Tanzania na jina lake katajwa kwa uwazi kabisa kuwa ni Bishop Josephat Gwajima. Ila wenzake ndani ya CCM watamkataa na hawatampa nafasi hiyo..

4. Kwa mujibu wa unabii huu, CHADEMA hawana mtu ambaye ana kibali cha Mungu - Yehova kugombea kiti cha u - Rais mwaka 2025 aliye ndani ya chama chao..

5. Na kwa kuwa Mungu tayari ameshampaka mafuta ya u - Rais wa nchi hii ndugu Josephat Gwajima, na kwa CCM watakuwa wamemkataa, basi Mungu atatengeneza mazingira ya kumtoa CCM na mara moja Freeman Mbowe au CHADEMA watampa nafasi ya ugombea u - Rais na CHADEMA kupitia kwa Ndugu Josephat Gwajima, watashinda na kuitawala nchi kwa mara ya kwanza..

6. Kwa Mama Samia Suluhu Hassan na CCM , unabii unasema, systematically Mungu ataachilia aibu iliyo kuu kwake na CCM itachinjwa kidogo kidogo mpaka ife kabisa..

============================================

MAONI YANGU

1. Pamoja na kuwa sisi wakristo Biblia - Neno la Mungu linatuonya kuwa;

‭1 Wathesalonike 5:20-22 SUV‬​

".....msitweze unabii; jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema; jitengeni na ubaya wa kila namna.."

Lakini wakati huohuo Biblia hiyo hiyo inatuhadharisha kuwa ni lazima kila unabii (kila roho isemayo yatoka kwa Mungu) ipimwe katika vigezo vya Neno la Mungu (Biblia) kama ilivyoandikwa;

‭1 Yohana 4:1-2 SUV‬

"...Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.."

Ukipimwa na ukaenda sambamba na Neno la Mungu, huo unabii au hiyo roho iliyoleta neno hilo itakuwa inatoka kwa Mungu na kwa hiyo hapaswi mtu kuubeza (kuutweza au kuudharau)..

2. Unabii wa huyu ndugu ni mzito sana. Unahusu hatima ya nchi na taifa letu na watu wa nchi hii kwa ujumla. Natoa wito kwa wajuzi wa maandiko (Neno la Mungu) waje hapa na kutoa uchambuzi usio - base katika hisia na maarifa ya kibinadamu bali ule unaozingatia Neno la Mungu (Biblia...)

3. Je, wewe unasemaje? Toa maoni yako...
Kwa Katiba iliyopo Mpinzani anaweza kutangazwa akishindana kiti hicho?
 
Usilitaje Bure jina la bwana Mungu wako kwakuwa bwana hatamuhesabia Hana hatia mtu alitajaye jina lake bure
 
Gwajima kuwa CHADEMA hapo nabii anatakiwa kuvaa miwani kabla ya kuota. Useme jamaa ana nguvu na ana watu. Kupewa bendera ya mbogamboga atawaenyesha sana upinzani. Wacha tuone mambo yataendaje lakini pangekuwa patamu sana. Lissu Vs Gwajima hatari sana.
 
Kwa Katiba iliyopo Mpinzani anaweza kutangazwa akishindana kiti hicho?
Kuna nyakati zikifika, hata mwamba (pasitarajiwa kutoka maji), yatatoka maji ya kunywa na kunywesha mimea na wanyama..

Maana yake ni kuwa, umeshafika wakati wa kilichoshindikana nyakati zile, kitawezekana sasa na kesho..

Huamini?

Subiri utaona kwa macho na kusikia kwa masikio yako...!!
 
Ukiitazama na kuisikiliza hii video ya unabii huu toka kwa Mwl. Steven Jacob, toka Arusha, inafikirisha na kutafakarisha kiasi chake. Tazama na sikiliza👇🏻👇🏻👇

View attachment 2969906

Kwa ufupi sana kwa wale wasio na vifurushi:

1. Mama Samia Suluhu Hassan (Rais wa sasa wa JMT) amekataliwa na Mungu - Jehovah, hatakiwi kugombea kiti cha Urais mwaka 2025. Si chaguo la Mungu - Jehova kuiongoza Tanzania mwaka 2025 - 2030..

2. Pamoja na kuwa ameshakataliwa, kitakachokuwa ni ajabu ni kuwa yeye na watu wake watalazimisha agombee. Na kwa mujibu wa unabii huu, ni kuwa atapitishwa kwa hila, atagombea lakini habari njema kwa wanamageuzi wote ni kuwa HATASHINDA UCHAGUZI HUO..!

3. Wakati huohuo ndani ya CCM yupo mtu ambaye Mungu keshamweka kuwa ndiye agombee na awe Rais ajaye wa Tanzania na jina lake katajwa kwa uwazi kabisa kuwa ni Bishop Josephat Gwajima. Ila wenzake ndani ya CCM watamkataa na hawatampa nafasi hiyo..

4. Kwa mujibu wa unabii huu, CHADEMA hawana mtu ambaye ana kibali cha Mungu - Yehova kugombea kiti cha u - Rais mwaka 2025 aliye ndani ya chama chao..

5. Na kwa kuwa Mungu tayari ameshampaka mafuta ya u - Rais wa nchi hii ndugu Josephat Gwajima, na kwa CCM watakuwa wamemkataa, basi Mungu atatengeneza mazingira ya kumtoa CCM na mara moja Freeman Mbowe au CHADEMA watampa nafasi ya ugombea u - Rais na CHADEMA kupitia kwa Ndugu Josephat Gwajima, watashinda na kuitawala nchi kwa mara ya kwanza..

6. Kwa Mama Samia Suluhu Hassan na CCM , unabii unasema, systematically Mungu ataachilia aibu iliyo kuu kwake na CCM itachinjwa kidogo kidogo mpaka ife kabisa..

============================================

MAONI YANGU

1. Pamoja na kuwa sisi wakristo Biblia - Neno la Mungu linatuonya kuwa;

‭1 Wathesalonike 5:20-22 SUV‬​

".....msitweze unabii; jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema; jitengeni na ubaya wa kila namna.."

Lakini wakati huohuo Biblia hiyo hiyo inatuhadharisha kuwa ni lazima kila unabii (kila roho isemayo yatoka kwa Mungu) ipimwe katika vigezo vya Neno la Mungu (Biblia) kama ilivyoandikwa;

‭1 Yohana 4:1-2 SUV‬

"...Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.."

Ukipimwa na ukaenda sambamba na Neno la Mungu, huo unabii au hiyo roho iliyoleta neno hilo itakuwa inatoka kwa Mungu na kwa hiyo hapaswi mtu kuubeza (kuutweza au kuudharau)..

2. Unabii wa huyu ndugu ni mzito sana. Unahusu hatima ya nchi na taifa letu na watu wa nchi hii kwa ujumla. Natoa wito kwa wajuzi wa maandiko (Neno la Mungu) waje hapa na kutoa uchambuzi usio - base katika hisia na maarifa ya kibinadamu bali ule unaozingatia Neno la Mungu (Biblia...)

3. Je, wewe unasemaje? Toa maoni yako...
Crap
 
Back
Top Bottom