Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,361
- 2,378
Sitashanga matokeo kubetuliwa maana rushwa ndo iko mbele na wajumbe wachache ni rahisi kutupiwa mzigo kwenye akaunti.Vibaraka vya mla rushwa
Tukumbuke wanaoachia madaraka hupenda kuwaachia watu wao hivyo Nyamlani anaweza kupewa backup na serikali ya TFF inayoondoka