Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Maana huyu Rais wa sasa miaka yake mitano ya uongozi inatimia mwezi wa tatu mwaka 2026? Ina maana uchaguzi wetu wa urais unaofuata utafanyika mwaka huo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So Samia anaendeleza awamu ya JPM au hii ni awamu tofauti?Katiba iko very clear.. uchaguzi ni mwaka 2025
Samia had 2035 baada ya katiba mpya,,##kataa wagalatia wauajiNi rais wa 6 awamu ya 5. Hana muda wa kujiongezea.
Kataa wahuni brother.
Awamu ya SITA ..itakua pungufu miezi lakini since ilianza sababu ya kifo ..katiba iko hivyo.....itaisha 2025...So Samia anaendeleza awamu ya JPM au hii ni awamu tofauti?
KImsingi Samia ni rais wa awamu ya 5. Hiyo kusema ni awamu ya sita walifoji tu ili kujitenga na makandokando ya Magufuli. Kikatiba alichukuwa alipoishia Magufuli na atamalizia pale amabapo alitakiwa kumalizia. Hata kama Magufuli angefariki 2024 mwezi wa 3 na yeye akapokea, bado 2025 ingekuwa uchaguzi.Maana huyu Rais wa sasa miaka yake mitano ya uongozi inatimia mwezi wa tatu mwaka 2026? Inamaana uchaguzi wetu wa urais unaofuata utafanyika mwaka huo?
Hapana. Awamu yake moja inaisha 2025. Akishinda tena anakaa mpaka 2030 na baada ya hapo anatoka.Samia anamalizia ,awamu yake itaanza 2026 Hadi 2036 🔥🔥🔥
Ni Kweli, atakuwa akilea wajukuu Kwa Umakini kabisa nyumbani kwake.Samia anamalizia ,awamu yake itaanza 2026 Hadi 2036 🔥🔥🔥
Hama nchiKImsingi Samia ni rais wa awamu ya 5. Hiyo kusema ni awamu ya sita walifoji tu ili kujitenga na makandokando ya Magufuli. Kikatiba alichukuwa alipoishia Magufuli na atamalizia pale amabapo alitakiwa kumalizia. Hata kama Magufuli angefariki 2024 mwezi wa 3 na yeye akapokea, bado 2025 ingekuwa uchaguzi.
Tutamuomba aendelee maana huyu ndio Mama wa Taifa.Hapana. Awamu yake moja inaisha 2025. Akishinda tena anakaa mpaka 2030 na baada ya hapo anatoka.
Chukua hii scenario. Tufanye JPM angekufa baada ya kutawala miaka miwili. Maana yake samia angemalizia mitatu na akigombea anapata mitano. Jumla 8. Lakini katiba inamruhusu kutawala miaka 10. Je anaweza kugombea tena na kutawala kwa miaka miwili?Awamu ya SITA ..itakua pungufu miezi lakini since ilianza sababu ya kifo ..katiba iko hivyo.....itaisha 2025...T
Hapana, Mama anamalizia urais wa JPM kwanza hiyo July 2025 halafu November 2025 ndio anaanza awamu yake, ila kwa vile kwa awamu ya pili ya JPM, Mama Mama nimehudumu miaka 4, hivyo hii inahesabika ni awamu yake ya kwanza na 2025 anamalizia ya pili.Maana huyu Rais wa sasa miaka yake mitano ya uongozi inatimia mwezi wa tatu mwaka 2026? Inamaana uchaguzi wetu wa urais unaofuata utafanyika mwaka huo?
Chukua hii scenario. Tufanye JPM angekufa baada ya kutawala miaka miwili. Maana yake samia angemalizia mitatu na akigombea anapata mitano. Jumla 8. Lakini katiba inamruhusu kutawala miaka 10. Je anaweza kugombea tena na kutawala kwa miaka miwili?
Kwa hali iliyopo, ataweza kugombea na kutawala kwa miezi kama sita ambayo itapungua kwenye miaka kumi ya haki yake?
Atakuwa na haki ya kugombea tena kumzlizia miezi sita yake?KImsingi Samia ni rais wa awamu ya 5. Hiyo kusema ni awamu ya sita walifoji tu ili kujitenga na makandokando ya Magufuli. Kikatiba alichukuwa alipoishia Magufuli na atamalizia pale amabapo alitakiwa kumalizia. Hata kama Magufuli angefariki 2024 mwezi wa 3 na yeye akapokea, bado 2025 ingekuwa uchaguzi.
Chawa tumejipangaHapana, Mama anamalizia urais wa JPM kwanza hiyo July 2025 halafu November 2025 ndio anaanza awamu yake, ila kwa vile kwa awamu ya pili ya JPM, Mama Mama nimehudumu miaka 4, hivyo hii inahesabika ni awamu yake ya kwanza na 2025 anamalizia ya pili.
P