Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
- #21
Kikatiba ana haki ya kutawala kwa miaka 10. Akienda kama unavyosema itabaki kama miezi sita kutimia miaka kumi. Atakuwa na haki kugombea tena mwaka 2030 amalizie miezi yake sita? Hapa ni kwa sababu imebaki miezi michache. Tufanye magufuli angekufa mwaka huu. Mama angemaliza mitatu ya JPM. Kisha angeweza gombea 2025 na kufanya mitano. Jumla miaka 8. Kisheria anakuwa na hakli ya kuwa rais kwa miaka miwili tena. Anaweza gombea kuimalizia?Hapana, Mama anamalizia urais wa JPM kwanza hiyo July 2025 halafu November 2025 ndio anaanza awamu yake, ila kwa vile kwa awamu ya pili ya JPM, Mama Mama nimehudumu miaka 4, hivyo hii inahesabika ni awamu yake ya kwanza na 2025 anamalizia ya pili.
P