Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunafuata katiba sio basic mathematics(hisabati za watoto).Maana huyu Rais wa sasa miaka yake mitano ya uongozi inatimia mwezi wa tatu mwaka 2026? Ina maana uchaguzi wetu wa urais unaofuata utafanyika mwaka huo?
Ungeisoma na kuielewa Katiba ya JMT haya yote usingeyaandika maana Katiba ya JMT ipo wazi kabisa kuhusu Hilo. Ni Awamu ya Sita. Full stop!KImsingi Samia ni rais wa awamu ya 5. Hiyo kusema ni awamu ya sita walifoji tu ili kujitenga na makandokando ya Magufuli. Kikatiba alichukuwa alipoishia Magufuli na atamalizia pale amabapo alitakiwa kumalizia. Hata kama Magufuli angefariki 2024 mwezi wa 3 na yeye akapokea, bado 2025 ingekuwa uchaguzi.
Ndio. Fisadi la msoga lilisema labda mambo yaharibike saaana. Na yule mzee wa hovyo wa bumbuli akasema watu wazuri huwa hawafiAisee! Ni Kweli Alisema Hivyo!?
Itakuwa anachanganyikiwa wanavyomuita Rais wa awamu ya sita, hivi ndivyo alivyotakiwa kuitwa.Ni rais wa 6 awamu ya 5. Hana muda wa kujiongezea.
Kataa wahuni brother.