Uchaguzi mkuu ujao kufanyika mwaka 2026?

Uchaguzi mkuu ujao kufanyika mwaka 2026?

Maana huyu Rais wa sasa miaka yake mitano ya uongozi inatimia mwezi wa tatu mwaka 2026? Ina maana uchaguzi wetu wa urais unaofuata utafanyika mwaka huo?
Tunafuata katiba sio basic mathematics(hisabati za watoto).
 
KImsingi Samia ni rais wa awamu ya 5. Hiyo kusema ni awamu ya sita walifoji tu ili kujitenga na makandokando ya Magufuli. Kikatiba alichukuwa alipoishia Magufuli na atamalizia pale amabapo alitakiwa kumalizia. Hata kama Magufuli angefariki 2024 mwezi wa 3 na yeye akapokea, bado 2025 ingekuwa uchaguzi.
Ungeisoma na kuielewa Katiba ya JMT haya yote usingeyaandika maana Katiba ya JMT ipo wazi kabisa kuhusu Hilo. Ni Awamu ya Sita. Full stop!
 
Huyu ni Rais Wa awamu ya 5 ambaye kwa Tanzania ni Rais Wa Sita. Uchaguzi utafanyika 2025 kama kawaida
 
Back
Top Bottom