Uchaguzi mkuu ujao kufanyika mwaka 2026?

Uchaguzi mkuu ujao kufanyika mwaka 2026?

Kila chama kimejiwekea utaratibu wake wa ndani wa kupata wagombea. Utaratibu wa CCM ni mgombea urais hapingwi midterms
P
Naelewa hilo, ila nazungumzia wale chawa wanaodai mama anamalizia kiporo cha Magu kisha atakuwa na nafasi ya kuhudumu vipindi viwili kikatiba yaani 2025-2030 na 2030-2035. Kama ni hivyo wanavyodai basi 2025 kila mwanachama aruhusiwe kuchukua fomu kuugombea Urais (tiketi ya chama).
 
Kila chama kimejiwekea utaratibu wake wa ndani wa kupata wagombea. Utaratibu wa CCM ni mgombea urais hapingwi midterms
P
Naelewa hilo, ila nazungumzia wale chawa wanaodai mama anamalizia kiporo cha Magu kisha atakuwa na nafasi ya kuhudumu vipindi viwili kikatiba yaani 2025-2030 na 2030-2035. Kama ni hivyo wanavyodai basi 2025 kila mwanachama aruhusiwe kuchukua fomu kuugombea Urais (tiketi ya chama)
 
Sio kweli. Ni awamu ya sita. Rais akifa kabla ya Mika mitatu anayemfuata atachukuliwa ameanza kipindi Cha miaka mitano, Yani awamu yake ya kwanza na atabakiwa na miaka mitano pekee ya kichaguliwa Tena.
NO!
 
Naelewa hilo, ila nazungumzia wale chawa wanaodai mama anamalizia kiporo cha Magu kisha atakuwa na nafasi ya kuhudumu vipindi viwili kikatiba yaani 2025-2030 na 2030-2035. Kama ni hivyo wanavyodai basi 2025 kila mwanachama aruhusiwe kuchukua fomu kuugombea Urais (tiketi ya chama)
Usiwasikilize machawa ni vilaza wa katiba!.
P
 
Hapana. Awamu yake moja inaisha 2025. Akishinda tena anakaa mpaka 2030 na baada ya hapo anatoka.
Inategemea na katiba mpya tutakauoifanyia amendment tunaweza kusema aanze kugombea 2025 kwa mihula miwili ya miaka mitano mitano kwa maana hadi 2035.

Demokrasia imeshamiri kila mahali kwahiyo Rais Samia anafaa kuendelea hata kwa miaka 20 ijayo kama katiba kutakuwa na kipengele cha kuondoa ukomo wa kugombea.
 
Hapana, Mama anamalizia urais wa JPM kwanza hiyo July 2025 halafu November 2025 ndio anaanza awamu yake, ila kwa vile kwa awamu ya pili ya JPM, Mama Mama nimehudumu miaka 4, hivyo hii inahesabika ni awamu yake ya kwanza na 2025 anamalizia ya pili.
P
Ni sahihi. Katiba ipo wazi kabisa kwamba endapo Makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais baada ya Rais aliyekuwa madarakani kufariki, kukosa sifa ya uchaguzi ama kujiuzulu basi huyo makamu wa Rais atakayeapishwa atamalizia kipindi kilichobaki kama Rais wa nchi endapo aliapishwa kushika kiti cha Urais ikiwa imebaki zaidi ya nusu ya muhula kisha atakuwa na haki ya kugombea tena kwa kipindi cha miaka mitano pekee.

Lakini endapo Makamu wa Rais ataapishwa kushika madaraka ya Rais kwa kipindi kilichozidi nusu ya muhula wa Urais kwa maana chini ya miaka miwili na nusu basi atamalizia kipindi kilichosalia kisha atakuwa na haki ya kugombea vipindi viwili vya miaka mitano mitano.

Kwa scenerio ya Rais Samia maana yake ana haki ya kugombea kipindi kimoja tu cha mitano (2025-2030) kwasababu aliapishwa kuwa Rais kwa kipindi kilichozidi nusu muhula (2021-2025).
 
Hapana, Mama anamalizia urais wa JPM kwanza hiyo July 2025 halafu November 2025 ndio anaanza awamu yake, ila kwa vile kwa awamu ya pili ya JPM, Mama Mama nimehudumu miaka 4, hivyo hii inahesabika ni awamu yake ya kwanza na 2025 anamalizia ya pili.
P
Sina hakika kama hiki kinachoitwa awamu kipo kwenye katiba.
Yaelekea kina maana ya utawala wa mtu fulani, hivyo yaweza kuwepo hata awamu ya muda mfupi kama utawala huo utakoma baada ya siku chache sana.
 
Maana huyu Rais wa sasa miaka yake mitano ya uongozi inatimia mwezi wa tatu mwaka 2026? Ina maana uchaguzi wetu wa urais unaofuata utafanyika mwaka huo?
Kasome katiba. Hakuna kitu km hicho. HUU unahesabiwa Ni muhula wa kwanza .
 
Sina hakika kama hiki kinachoitwa awamu kipo kwenye katiba.
Yaelekea kina maana ya utawala wa mtu fulani, hivyo yaweza kuwepo hata awamu ya muda mfupi kama utawala huo utakoma baada ya siku chache sana.
Narudia. Hakuna kitu kinachoitwa awamu kwenye katiba. Kuna vipindi (terms) ambavyo haviwezi kuzidi viwili kwa mtu mmoja.
 
Maana huyu Rais wa sasa miaka yake mitano ya uongozi inatimia mwezi wa tatu mwaka 2026? Ina maana uchaguzi wetu wa urais unaofuata utafanyika mwaka huo?

Hana miaka yake mi 5 maana hakuchaguliwa, hii miaka ni ya Jemedari...
 
Inategemea na katiba mpya tutakauoifanyia amendment tunaweza kusema aanze kugombea 2025 kwa mihula miwili ya miaka mitano mitano kwa maana hadi 2035.

Demokrasia imeshamiri kila mahali kwahiyo Rais Samia anafaa kuendelea hata kwa miaka 20 ijayo kama katiba kutakuwa na kipengele cha kuondoa ukomo wa kugombea.
Ni ugoro umeandika huu.
 
Narudia. Hakuna kitu kinachoitwa awamu kwenye katiba. Kuna vipindi (terms) ambavyo haviwezi kuzidi viwili kwa mtu mmoja.
Na Rais akishindwa kuendelea na Urais wake chini ya nusu ya miaka 5, makamu atakayechukua urais atahesabiwa kahudumu kipindi kimoja kwa kile kipindi kilichobaki.
 
Naelewa hilo, ila nazungumzia wale chawa wanaodai mama anamalizia kiporo cha Magu kisha atakuwa na nafasi ya kuhudumu vipindi viwili kikatiba yaani 2025-2030 na 2030-2035. Kama ni hivyo wanavyodai basi 2025 kila mwanachama aruhusiwe kuchukua fomu kuugombea Urais (tiketi ya chama)
Kuna watu wakisikia hii wanarukwa akili...Ndivyo itakavyokuwa na tutapata Rais mwingine 2035 na siyo 2030 kama mlivyodhani....Lower your expectations hasa wale ambao wanamatarajio
 
Kuna watu wakisikia hii wanarukwa akili...Ndivyo itakavyokuwa na tutapata Rais mwingine 2035 na siyo 2030 kama mlivyodhani....Lower your expectations hasa wale ambao wanamatarajio
Mnawaza ya 2030 wakati hata hiyo 2025 hajatoboa. Endeleeni kujitekenya.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom