27 November 2024
Tunduma, Tanzania
Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Tunduma kamanda Boniface William Mwakabanje anazungumza
View: https://m.youtube.com/watch?v=jdUUVD-y6rg
Akiongea na waandishi wa habari kuhusu mchakato mzima wa uchafuzi katika uchaguzi TAMISEMI 2024 jinsi serikali ilivyoshiriki kupitia ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tunduma na Hakimu wa Wilaya zoezi zima kuapishwa kilichotokea mawakala wa CHADEMA walipofika vituo vya uchaguzi wasimamizi wasaidizi waliwazuia mawakala wa wagombea wa CHADEMA kuwa wamekosa sifa, vigezo hivyo kuzuiwa ...
Tunduma, Tanzania
Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Tunduma kamanda Boniface William Mwakabanje anazungumza
View: https://m.youtube.com/watch?v=jdUUVD-y6rg
Akiongea na waandishi wa habari kuhusu mchakato mzima wa uchafuzi katika uchaguzi TAMISEMI 2024 jinsi serikali ilivyoshiriki kupitia ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tunduma na Hakimu wa Wilaya zoezi zima kuapishwa kilichotokea mawakala wa CHADEMA walipofika vituo vya uchaguzi wasimamizi wasaidizi waliwazuia mawakala wa wagombea wa CHADEMA kuwa wamekosa sifa, vigezo hivyo kuzuiwa ...