sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #21
Kwa hiyo demokrasia ni Lissu aachiwe kiti bila uchaguzi?Wanaodai demokrasia hawataki demokrasia kwenye chama chao kwa kuamini ni mtu mmoja tu anastahili kushikilia wadhifa wa uenyekiti. Siku wakipewa nchi wataweza kweli kuondoka madarakani au ndio watakuwa ni mvinyo ule ule kwenye kikombe cha dhahabu
Hata hivyo, Wacha niwaache wafu wazikane
uchaguzi wa ndani ya chama hauna uadui hivyo!View attachment 3175794
Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.
Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.
Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.
Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?
Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.
Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.
Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.
Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.
Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.
Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.
Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.
Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.
Sababu ni moja ni TRAITOR.
Alimsaliti JPM mkamshangilia.
Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.
Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.
Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Lissu atabaki upinzani ila ataondoka CHADEMA na timu yake.Napenda lisu awe kiongozi, lakini , uchaguzi huu lisu atashindwa, anatumia mkwara wa kelele, kwenye vyombo vya habari, lakini kikubwa najua lisu utashindwa Ila usikimbie chama , ubaki kuimarisha chama.
Naona lisu anajua kwamba anaenda kushindwa,Sasa Kuna mazingira anayaanda ionekane kushindwa kwake kuwa ni mizengwe,mfano:-
1. Rushwa imetamkwa kutoka mdomoni mwa lisu kuwa chaguzi za CHADEMA zimegubikwa na Rushwa,Rushwa,hii yote ni kujenga mawingu yenye mwangwi wa radi ,ku justify kuonesha ameenguliwa kwa sura ya kukichafua chama na mwenyekiti,hivyo ili cama kiwe Safi na ili wakinusuru chama,inabidi Lisu ashindwe,hiyo ni ngao anayojaribu kuijenga lisu kwenye jamii ,ili akishindwa apate utetezi
2.Kelele za Lisu na mkwara wa lisu kupitia Media,bila shaka nguvu ya mbowe bado ni kubwa Sana,ndani ya chama,Sasa anachokifanya Lisu ni sawa na mbwa kumbwekea fisi,lakini fisi akijitikisa kidogo tu huyu mbwa anatimua mbio Hadi vumbi linatimka.
3.Bado naona mbowe Yuko strong,mkwara w kwenye midia unaotolewa na Lisu haujamtisha mbowe, mbowe ni mpambanaji Sana katika siasa hizi za kuchaguliwa,
Mwisho,sipendi kumkosa lisu katika Safi za upinzani Bora wa Tanzania
Kwa nini lissu achukuliwe kama adui kwa kutaka kuwa mwenyekiti wakati katiba ya chama inaruhusu.Kwa hiyo demokrasia ni Lissu aachiwe kiti bila uchaguzi?
Anataka nafasi basi apambane hakuna ushindi wa mezani.
Unaota ndoto za mchana.uchaguzi wa ndani ya chama hauna uadui hivyo!
Mbowe anakwenda kumuunga mkono Lisu, game is over.
make cdm great again
Lissu ni adui sababu kasaliti chama.Kwa nini lissu achukuliwe kama adui kwa kutaka kuwa mwenyekiti wakati katiba ya chama inaruhusu.
Kwani CHADEMA ni mali binafsi au ya wananchi
Mbowe MUST go,hakuna namnaView attachment 3175794
Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.
Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.
Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.
Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?
Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.
Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.
Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.
Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.
Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.
Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.
Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.
Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.
Sababu ni moja ni TRAITOR.
Alimsaliti JPM mkamshangilia.
Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.
Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.
Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Hadi kuitwa SACCOS kuna mengi nyuma ya paziaKwa nini lissu achukuliwe kama adui kwa kutaka kuwa mwenyekiti wakati katiba ya chama inaruhusu.
Kwani CHADEMA ni mali binafsi au ya wananchi
Kwa hiyo yeye ndio aliemilikisha chama Mzee Mbowe?Lissu ni adui sababu kasaliti chama.
Yeye kila siku anapita anapopita anakishambulia chama mbaya zaidi kwa mambo ambayo yeye ni sehemu ya maamuzi.
Hujui kitu katika hili, tunaojua tunakucheka tu. Eti leo Mbowe kawa rafiki yenu wakti siku zote mlikuwa mnamuita Nkurunzinza hataki kuachia kiti. Mmefeli bigtime. Lissu ndiye Mwenyekiti ajaye.Nilimuonya kama mtu naemtakia mema. Anajua vizuri sana anaenda kupewa kichapo cha mbwa mwizi na mtabaki mnalialia mtandaoni hakuna kitu mtamsaidia.
Bado hamjasema..🚮🚮🚮View attachment 3175794
Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.
Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.
Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.
Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?
Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.
Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.
Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.
Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.
Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.
Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.
Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.
Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.
Sababu ni moja ni TRAITOR.
Alimsaliti JPM mkamshangilia.
Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.
Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.
Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Lisu ametufanya tuwajue...Lissu atabaki upinzani ila ataondoka CHADEMA na timu yake.
View attachment 3175794
Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.
Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.
Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.
Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?
Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.
Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.
Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.
Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.
Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.
Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.
Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.
Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.
Sababu ni moja ni TRAITOR.
Alimsaliti JPM mkamshangilia.
Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.
Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.
Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Lissu anaenda kugaragazwa vibaya sana na Mbowe hizi hasira hazitobadili chochote.Kama ulishindwa kumshauri bosi wako asiende kwa P Diddy unapata wapi ujasiri wa kumshauri Lissu na Wana Chadema?
Mbowe bado yupo sana kama alivyosema. Wataondoka watamuacha na chadema itabaki haiendi popote.Mbowe MUST go,hakuna namna
Lissu atabaki mwenyekiti wa mioyoni mwenu.Hujui kitu katika hili, tunaojua tunakucheka tu. Eti leo Mbowe kawa rafiki yenu wakti siku zote mlikuwa mnamuita Nkurunzinza hataki kuachia kiti. Mmefeli bigtime. Lissu ndiye Mwenyekiti ajaye.
unadhani akiwa mwenyekiti ataendelea kukisaliti chama kama mnavyodai?Lissu ni adui sababu kasaliti chama.
Yeye kila siku anapita anapopita anakishambulia chama mbaya zaidi kwa mambo ambayo yeye ni sehemu ya maamuzi.